Uchaguzi 2020 Mbowe umekumbwa na nini?

Mweleka tutamchapa kibaraka wa Mabeberu na rafiki wa robertison wa Amsterdam
Tunawasubiri mmalize kuchapana makonde akili ziwarudiπŸ‘·πŸ‘·πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Nimekupa takwimu hapo

Magufuli kapeleka umeme kwenye vijiji alfu tisa vimebaki vijiji vichache sana

Km umenuna kunywa wembe
 
Tunawasubiri mmalize kuchapana makonde akili ziwarudi[emoji62][emoji62][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mkuu umasikini bado ni mkubwa sana tena sana, hio tu ni kiashiria kwamba hawa wanasiasa UCHWARA wapo kwa ajili ya matumbo yao na biashara zao ziende vizuri ndio mana unaona wako radhi kupigana makonde mazito mazito kama Mwakinyo ili tu selfish reason zao zipate kukamilika, wamewasahau watanzania na shida zao.

Sent from my Nokia 2 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu umenifumbua macho, kuna habari mbaya zinaenea kuwa robertison wa Amsterdam hajao,je atakuwa ktk mahusiano ya aina gani


Lipumba yuko kwenye mahusiano ya aina gani hebu nikumbushe hapo
 
Hivi unafahamu kuwa Mbowe ni mgonjwa alivunjika mguu na hajaunga vizuri bado? Hivi unafahamu maumivu apatayo mtu aliyevunjika? Nakuombea japo uteguke tu Mkuu uone shughuli yake. Sembuse kuvunjika mtu mzima over 50 yrs kuunga kwenyewe ni shida na anatakiwa awe mwangalifu mno asitoneshe hiyo fracture. Kwanza tumpongeze mno. Nilifikiri hata kampeni hataweza kuhudhuria. Hata kama ni mwema CCM kama Mimi ni vizuri kuwaza kwanza kwa lens ya mbali kabla ya kudondosha Uzi. Hiyo ndiyo inaitwa Matured thinking and acting.
 
Mmeanza kutafuta sababu ulevi wake ndio ulimletea shida
 
Nimekupa takwimu hapo

Magufuli kapeleka umeme kwenye vijiji alfu tisa vimebaki vijiji vichache sana

Km umenuna kunywa wembe
sijaona ukijibu hoja, takwimu hizo za kuandika tu hata mimi naweza kuandika hapa mfano, 50%, 33% n.k
wembe sio chakula...watanzania wanataka wapate milo mitatu kwa siku angalau lakini kwa sasa ni kawaida kukuta mtanzania ameshindia mlo mmoja kwa siku au pengine maji tu kwa wiki nzima, hali ni ngumu mtaani pita ujionee, muachane na Robert wa uholanzi bali mshuhulike na UMASIKINI wa watanzania uondoke.
 
Dah, umekuwa mke wake unafahamu mood yake au unatamani uwe..!!!
 
We mtoa mada upo, nilijua corona ishakubeba umerudi baada ya kukatwa na wajumbe ushaanza kuleta porojo
 
Serkali haitafutii watu chakula, serkali inarahisisha njia za kupata chakula

Imekuondolea tozo za kilim,imekujengea lami, imekupea umeme, imebaki kazi yako kutafuta
 
Kwani anagombea?
 
Chadema ya robertison wa Amsterdam ipo kwenye machela
We mtoa mada upo, nilijua corona ishakubeba umerudi baada ya kukatwa na wajumbe ushaanza kuleta porojo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…