Mbowe umesamehewa na Rais, nawe wasamehe Mdee na wenzake 18

Mbowe umesamehewa na Rais, nawe wasamehe Mdee na wenzake 18

Hii haimaanishi kwamba DPP hakupokea maagizo ya kuachana na Kesi hata baada ya mahakama kuwakuta na Kesi ya kujibu. Mahakama ya jamii ulimuona babu na wanawe hawana makosa Lakin mahakama mlimfunga maisha. Lakini jpm alimsamehe. Hata mama ametumia misuli yake kuwasamehe iwe wana kosa la kujibu au la. Ninachofurahi mm ni mbowe kuwa nje pamoja na wenzake kuungana na familia yake. Angeweza kufungwa hata kwa ushahidi wa kuchonga kama mama angetaka iwe hivyo.
Mahakama imeingiliwa? Afu unasema dpp alipokea maelekezo (can you prove it?) ,Usiishi kwa hear sayings ,huo ni utoto.
 
Hayo ni mawazo yako, chadema Kuna Siri gani ya kupeleleza? Chama kikubwa kama chadema kinachojiandaa kushika dola hakiwezi kukumbatia wanaofikiria kama wewe . Chadema walikuwepo hata akina Lowassa, Sumaye, zitto, mwigamba, kingunge na wengi TU wakarudi CCM, kama ni Siri basi zimejulikaba tayari.

Mbowe kasamehewa kwanini iwe dhambi kuwasamehe wanawake?
Wewe lazima ni ccm mnaohangaika kuwaweka KIKULACHO wenu ndani ya Chadema ili mkisambaratishe chama!! Kama mnawapenda sana wachukueni muwe nao.
 
Mbaada ya kupitia ushahidi wote DPP kasema Mbowe alikuwa na kesi ya kujibu, ni nani kamfanya apige U turn? Wacheni uzuzu, nchi zetu za Afrika hizi hata jaji mkuu na DPP wote ni wateule wa Rais.
Hivyo bas hatuna mahakama huru, Rais ndie anaamua chochote atakacho? Wanaodai katiba mpya wapo sahihi ✔️
 
Wewe lazima ni ccm mnaohangaika kuwaweka KIKULACHO wenu ndani ya Chadema ili mkisambaratishe chama!! Kama mnawapenda sana wachukueni muwe nao.
Hiyo sio kweli, mchango wa Halima na Esther kwa chadema sio wa kutiliwa mashaka koboya kama hivyo unavyosema wewe. Lazima tukubali kuwa awamu ya tano haikuwa nzuri kwa demokrasia nchini, ukurasa ule lazima tuufunge sote kama taifa, Rais Samia ameanza kuufunga na sisi lazima tufanye hivyohivyo ndani mioyo yetu na vyama vyetu pia, tuuone kama upepo mbaya uliolipitia taifa letu. Hata Mama Samia upepo ule ulimpitia pia wa kuitwa majina mbalimbali hadharani. Ile sio tu kuwa ni historia kwa taifa letu lakini imetukumbusha sote kuhusu umakini katika kuchagua watendaji kwenye nafasi mbalimbali na kuwa na Katiba imara isiyotegemea utashi wa kiongozi wa siku hiyo ameamkaje.

Kuwaondoa akina Halima na Ester inaweza isiwe shida sana kwenye chama lakini shida inayoweza kukipasua chama vipandevipande ni sura za wale watakaokwenda kujaza nafasi zitakazoachwa na akina Mdee. Hapa namaanisha makabila na kanda watakazotoka, uhusiano wao na waasisi na viongozi wa chadema na mchango na uzoefu wao ndani ya chadema. Ni afadhali nafasi zao zikaachwa wazi ziende vyama vingine kuliko viongozi wa chadema kuingia kwenye mtego wa kupeleka "watu wao" bungeni kumalizia hiyo miaka 3 iliyosalia.

Kwetu tumezaliwa wasichana 5 na wavulana 3, baba yetu aliniambia mwanaume halisi hapigani na mwanamke, ikimaanisha kuwa sisi wanaume tusamehe zaidi dada zetu kuliko dada zetu wanavyowasamehe kaka zao.
 
Usijitoe ufaham, alisema Mbowe alienda kumshukuru
Hakuna ubishi Lisu na Mbowe walikwenda kwa mama kuomba na kushukuru. Mama ni mstaarabu lazima tuseme ukweli hata kama kufanya hivyo tunaona kutatudhoofisha. Tuna watanzania wenzetu waliogeuka wakimbizi, mama huyu hawezi kufika huko.
 
Mahakama imeingiliwa? Afu unasema dpp alipokea maelekezo (can you prove it?) ,Usiishi kwa hear sayings ,huo ni utoto.
dpp huyu ndiye yuleyule aliyekuwepo awamu ya tano na ndiye yuleyule aliemfutia Lisu na Mbowe makosa yao. Keep everything (IGP, PM, CDF, Jaji Mkuu, Gavana, etc) constant, then find the factor influencing the DPP to act differently in the two regimes (5 and 6).
 
Chadema ya Lisu na Mbowe iliyakataa matokeo ya uchaguzi wa 2020 mpaka Leo hii hawajatengua kauli yao.

Akina Halima na wenzake kama wanawake walitumia fursa Yao ya upendeleo kwenda bungeni badala ya kuiacha fursa hiyo ipotee au ichukuliwe na CCM.

Kuwafukuza wabunge hao wanawake kutoka bungeni hakuijengi chadema bali kutaleta mpasuko ndani ya chama, na kuonyesha namna chadema isivyokuwa na hekima ya kusamehe, kufikiria na kuona heshima za wanawake.

Maana Kuna watu wengi wanaoamini kuwa mbowe na wenzake Kuna watu wao walipenda ndio wangekwenda bungeni kwa maslahi Yao, wako watu wanaoamini kuwa kama Mbowe, sugu, msigwa, heche na Prof Jay kama wangeshinda ubunge kwenye majimbo Yao chadema isingesusia bunge, wangekwenda bungeni.

Mbowe usitangulize Sheria kwenye hili tangulizeni ukurasa mpya unaokiunganisha Chama badala ya kukipasua kizembe.

Adui wa chadema sio akina Mdee bali tume ya uchaguzi na katiba ambayo ni chanzo kikuu Cha kilichotokea 2020.

Kudai Katiba hata akina Mdee wanahitajika, tumia hekima na busara zaidi kuliko Sheria, kanuni, taratibu na mazoea.

Wacha waendelee wamalize kipindi Cha ubunge hadi 2025. Onyesheni ukomavu waonyeni ndani kwa ndani ndani ya chama badala ya kutumia majukwaa.

Your common enemy is tume na maagizo ya viongozi wa serikali na bunge. Ukubwa wa Chama inaonekana katika nyakati kama hizi.
Hapa Mh. Mbowe kabisa hajautendea haki msamaha wa Rais; yeye naye alitakiwa awasamehe pia wabunge hawa. After all, ni wabunge wa JMT na si wa CHADEMA
 
Hapa Mh. Mbowe kabisa hajautendea haki msamaha wa Rais; yeye naye alitakiwa awasamehe pia wabunge hawa. After all, ni wabunge wa JMT na si wa CHADEMA
kila mtu akibaki na sumu kwenye moyo wake nchi haitakalika. Nakubali kwamba chadema iwaite hawa wabunge wote kwenye chama ili wayajenge na the way forward kuelekea 2025, 2030. Chadema iwape agenda zake hawa wabunge akina Mdee maana wao ndio wanaofahamu kile kinachoendelea huko bungeni maana walikuwepo na wapo huko.
 
kila mtu akibaki na sumu kwenye moyo wake nchi haitakalika. Nakubali kwamba chadema iwaite hawa wabunge wote kwenye chama ili wayajenge na the way forward kuelekea 2025, 2030. Chadema iwape agenda zake hawa wabunge akina Mdee maana wao ndio wanaofahamu kile kinachoendelea huko bungeni maana walikuwepo na wapo huko.
 

Anawafukuza wanawake madhubuti sana ambayo walikubali kupigwa na hata kuvunjwa miguu na mikono na vyombo vya dola kwaajili ya chadema, hawa ni wanawake ambao walikataa mamilioni ya fedha ili kwenda kuunga juhudi, wanawake wa aina hii ya Mdee na Ester hawazaliwi wengi duniani, wallah nakwambia chadema itafanya kosa ambalo litabaki kwenye kumbukumbu zao kwa miaka yote.
 
Hapa Mh. Mbowe kabisa hajautendea haki msamaha wa Rais; yeye naye alitakiwa awasamehe pia wabunge hawa. After all, ni wabunge wa JMT na si wa CHADEMA

Kama ni wa JMT basi waende huko kwenye serikali ndio iwape ubunge!! Kwanini mnalilia warudishwe CHADEMA? Mnataka kukihujumu chama sasa mnatafuta pa kuingilia!!
 
Chadema ya Lisu na Mbowe iliyakataa matokeo ya uchaguzi wa 2020 mpaka Leo hii hawajatengua kauli yao.

Akina Halima na wenzake kama wanawake walitumia fursa Yao ya upendeleo kwenda bungeni badala ya kuiacha fursa hiyo ipotee au ichukuliwe na CCM.

Kuwafukuza wabunge hao wanawake kutoka bungeni hakuijengi chadema bali kutaleta mpasuko ndani ya chama, na kuonyesha namna chadema isivyokuwa na hekima ya kusamehe, kufikiria na kuona heshima za wanawake.

Maana Kuna watu wengi wanaoamini kuwa mbowe na wenzake Kuna watu wao walipenda ndio wangekwenda bungeni kwa maslahi Yao, wako watu wanaoamini kuwa kama Mbowe, sugu, msigwa, heche na Prof Jay kama wangeshinda ubunge kwenye majimbo Yao chadema isingesusia bunge, wangekwenda bungeni.

Mbowe usitangulize Sheria kwenye hili tangulizeni ukurasa mpya unaokiunganisha Chama badala ya kukipasua kizembe.

Adui wa chadema sio akina Mdee bali tume ya uchaguzi na katiba ambayo ni chanzo kikuu Cha kilichotokea 2020.

Kudai Katiba hata akina Mdee wanahitajika, tumia hekima na busara zaidi kuliko Sheria, kanuni, taratibu na mazoea.

Wacha waendelee wamalize kipindi Cha ubunge hadi 2025. Onyesheni ukomavu waonyeni ndani kwa ndani ndani ya chama badala ya kutumia majukwaa.

Your common enemy is tume na maagizo ya viongozi wa serikali na bunge. Ukubwa wa Chama inaonekana katika nyakati kama hizi.
Tatizo lililopo Hawa wabunge Hawana faida yoyote Kwa chama
 
Chadema ya Lisu na Mbowe iliyakataa matokeo ya uchaguzi wa 2020 mpaka Leo hii hawajatengua kauli yao.

Akina Halima na wenzake kama wanawake walitumia fursa Yao ya upendeleo kwenda bungeni badala ya kuiacha fursa hiyo ipotee au ichukuliwe na CCM.

Kuwafukuza wabunge hao wanawake kutoka bungeni hakuijengi chadema bali kutaleta mpasuko ndani ya chama, na kuonyesha namna chadema isivyokuwa na hekima ya kusamehe, kufikiria na kuona heshima za wanawake.

Maana Kuna watu wengi wanaoamini kuwa mbowe na wenzake Kuna watu wao walipenda ndio wangekwenda bungeni kwa maslahi Yao, wako watu wanaoamini kuwa kama Mbowe, sugu, msigwa, heche na Prof Jay kama wangeshinda ubunge kwenye majimbo Yao chadema isingesusia bunge, wangekwenda bungeni.

Mbowe usitangulize Sheria kwenye hili tangulizeni ukurasa mpya unaokiunganisha Chama badala ya kukipasua kizembe.

Adui wa chadema sio akina Mdee bali tume ya uchaguzi na katiba ambayo ni chanzo kikuu Cha kilichotokea 2020.

Kudai Katiba hata akina Mdee wanahitajika, tumia hekima na busara zaidi kuliko Sheria, kanuni, taratibu na mazoea.

Wacha waendelee wamalize kipindi Cha ubunge hadi 2025. Onyesheni ukomavu waonyeni ndani kwa ndani ndani ya chama badala ya kutumia majukwaa.

Your common enemy is tume na maagizo ya viongozi wa serikali na bunge. Ukubwa wa Chama inaonekana katika nyakati kama hizi.
Waliamua kujufukuza wenyewe; mbowe hana cha kufanya.

Unapokiuka misingi ya taasisi unapofqnyia kazi hufujuzwi wala kusamehewa na boss, bali unafukuzwa nabtaasis husika, ina ku reject.
 
Chadema ya Lisu na Mbowe iliyakataa matokeo ya uchaguzi wa 2020 mpaka Leo hii hawajatengua kauli yao.

Akina Halima na wenzake kama wanawake walitumia fursa Yao ya upendeleo kwenda bungeni badala ya kuiacha fursa hiyo ipotee au ichukuliwe na CCM.

Kuwafukuza wabunge hao wanawake kutoka bungeni hakuijengi chadema bali kutaleta mpasuko ndani ya chama, na kuonyesha namna chadema isivyokuwa na hekima ya kusamehe, kufikiria na kuona heshima za wanawake.

Maana Kuna watu wengi wanaoamini kuwa mbowe na wenzake Kuna watu wao walipenda ndio wangekwenda bungeni kwa maslahi Yao, wako watu wanaoamini kuwa kama Mbowe, sugu, msigwa, heche na Prof Jay kama wangeshinda ubunge kwenye majimbo Yao chadema isingesusia bunge, wangekwenda bungeni.

Mbowe usitangulize Sheria kwenye hili tangulizeni ukurasa mpya unaokiunganisha Chama badala ya kukipasua kizembe.

Adui wa chadema sio akina Mdee bali tume ya uchaguzi na katiba ambayo ni chanzo kikuu Cha kilichotokea 2020.

Kudai Katiba hata akina Mdee wanahitajika, tumia hekima na busara zaidi kuliko Sheria, kanuni, taratibu na mazoea.

Wacha waendelee wamalize kipindi Cha ubunge hadi 2025. Onyesheni ukomavu waonyeni ndani kwa ndani ndani ya chama badala ya kutumia majukwaa.

Your common enemy is tume na maagizo ya viongozi wa serikali na bunge. Ukubwa wa Chama inaonekana katika nyakati kama hizi.
Bila shaka mmoja wa hao Covid 19 ni ndugu yako au hawara. Wasaliti unawapigiaje debe?
 
Bila shaka mmoja wa hao Covid 19 ni ndugu yako au hawara. Wasaliti unawapigiaje debe?
Kwahiyo unataka na wewe umpeleke hawara yako, tit for tat? Ukabila unakutafuna TU wewe, hivi Tanzania Kuna wanawake shupavu kama Halima na Esther? Wanaokubali kuswekwa lupango. Nakumbuka Halima alikuwa anakojolea kwenye kopo hadharani ndani ya chumba Cha kuhesabia kulinda kura za chadema zisiibiwe. Wacheni ujinga wenu wa uroho wa pesa. Walah kama Mbowe na Sugu wangetangazwa kushinda ubunge kwenye majimbo Yao kusingekuwa na kususia ubunge. Hela mbaya sana, tabia ya tume mbona ndiyo hiyohiyo kwenye chaguzi zote? Na malalamiko ya wapinzani mbona ndiyo hayohayo kwa chaguzi zote za vyama vingi. What is so special with this 2020 election results? The only different is all men not announced winners,
 
Back
Top Bottom