Mbowe umesamehewa na Rais, nawe wasamehe Mdee na wenzake 18

Mbowe umesamehewa na Rais, nawe wasamehe Mdee na wenzake 18

Chadema ya Lisu na Mbowe iliyakataa matokeo ya uchaguzi wa 2020 mpaka Leo hii hawajatengua kauli yao.

Akina Halima na wenzake kama wanawake walitumia fursa Yao ya upendeleo kwenda bungeni badala ya kuiacha fursa hiyo ipotee au ichukuliwe na CCM.

Kuwafukuza wabunge haio wanawake kutoka bungeni hakuijengi chadema bali kutaleta masuko ndani ya chama, na kuonyesha namna chadema isivyokuwa na hekima ya kusamehe, kufikiria na kuona heshima za wanawake.

Maana Kuna watu wengi wanaoamini kuwa mbowe na wenzake Kuna watu wao walipenda ndio wangekwwnda bungeni kwa maslahi Yao, wako watu wanaoamini kuwa kama Mbowe, sugu, msigwa, heche na Prof Jay kama wangeshinda ubunge kwenye majimbo Yao chadema isingesusia bunge.

Mbowe usitangulize Sheria kwenye hili tangulizeni ukurasa mpya unaokiunganisha Chama badala ya kukipasua kizembe.

Adui wa chadema sio akina Mdee bali tume ya uchaguzi na katiba ambayo ni chanzo kikuu Cha kilichotokea 2020.

Kudai Katiba hata akina Mdee wanahitajika, tumia hekima na busara zaidi kuliko Sheria, kanuni, taratibu na mazoea.

Wacha waendelee wamalize kipindi Cha ubunge hadi 2025. Onyesheni ukomavu waonyeni ndani kwa ndani ndani ya chama badala ya kutumia majukwaa.

Your common enemy is tume na maagizo ya viongozi wa serikali na bunge.
Nikajua DPP aliona hawana kesi ya kujibu, kumbe ni Rais ndio kawasamehe!!
 
Ni kama una magonjwa ya akili, hivi kama CHADEMA wangewarubuni na kuyafanya CCM waliyoyafanya kwa wanachama 19 ingechukua hatua gani?
Wote tunakubaliana kuwa mbaya wetu ni tume ya uchaguzi sio Halima Mdee na wenzake 18. Yaliyopita si ndwele tudai tume mpya na katiba mpya. Nikisikia chadema wanawashupalia akina Mdee najisikia homa, ukabila, chuki, na maslahi binafsi
 
Kwani hizo nafasi 19 zingebaki wazi kama wangesusia kwenda bungeni? Pili akina Halima wanalitumikia bunge na michango Yao bungeni tunaisikia wakichangia. Unaposema wanakula Kodi bure inaonekana huna uelewa wa kutosha.
Kuhusu kuona sina uwelewa wakutosha hayo ni maoni yako na huo ndio uhuru wa kujieleza tunaoutaka. Kama umefukuzwa uwanachama ya nini unang'ang'ania ? Siii wamefukuzwa sasa izo posho na mishahara wanazopokea si ndio kula kodi za wananchi
 
tuwe straight, mbowe ametoka mahabusu baada ya rais kuingilia kati...logically huo ni msamaha..maana hakushinda kesi..ndio maana akaenda ikulu kushukuru.
 
Akina mdee wamekikosea chama na sio wamemkosea mbowe. Msamaha wao utatolewa na chama na sio mbowe

Kuwasamehe covid 19 baada ya kuonesha jeuri na dharau kwa chama kutadhoofisha chama irreparably ! Maadui wa Chadema ndio waliosuka mpango wa hao wanawake kukiasi chama; na sasa wanasuka mpango wa kukipasua chama kwa kutaka kutumia watu ili warudi chadema ili wawatumie kama wapelelezi wao ndani ya chama!! LET THE CORONA WOMEN GO!!
 
Chadema ya Lisu na Mbowe iliyakataa matokeo ya uchaguzi wa 2020 mpaka Leo hii hawajatengua kauli yao.

Akina Halima na wenzake kama wanawake walitumia fursa Yao ya upendeleo kwenda bungeni badala ya kuiacha fursa hiyo ipotee au ichukuliwe na CCM.

Kuwafukuza wabunge haio wanawake kutoka bungeni hakuijengi chadema bali kutaleta masuko ndani ya chama, na kuonyesha namna chadema isivyokuwa na hekima ya kusamehe, kufikiria na kuona heshima za wanawake.

Maana Kuna watu wengi wanaoamini kuwa mbowe na wenzake Kuna watu wao walipenda ndio wangekwwnda bungeni kwa maslahi Yao, wako watu wanaoamini kuwa kama Mbowe, sugu, msigwa, heche na Prof Jay kama wangeshinda ubunge kwenye majimbo Yao chadema isingesusia bunge.

Mbowe usitangulize Sheria kwenye hili tangulizeni ukurasa mpya unaokiunganisha Chama badala ya kukipasua kizembe.

Adui wa chadema sio akina Mdee bali tume ya uchaguzi na katiba ambayo ni chanzo kikuu Cha kilichotokea 2020.

Kudai Katiba hata akina Mdee wanahitajika, tumia hekima na busara zaidi kuliko Sheria, kanuni, taratibu na mazoea.

Wacha waendelee wamalize kipindi Cha ubunge hadi 2025. Onyesheni ukomavu waonyeni ndani kwa ndani ndani ya chama badala ya kutumia majukwaa.

Your common enemy is tume na maagizo ya viongozi wa serikali na bunge.
Sidhani kama Mboye ana hayo mamlaka.Hizo nafasi za akina mdee zilitakiwa kuenda kwa wakina mama wanaokipigania chama
 
Chadema ya Lisu na Mbowe iliyakataa matokeo ya uchaguzi wa 2020 mpaka Leo hii hawajatengua kauli yao.

Akina Halima na wenzake kama wanawake walitumia fursa Yao ya upendeleo kwenda bungeni badala ya kuiacha fursa hiyo ipotee au ichukuliwe na CCM.

Kuwafukuza wabunge haio wanawake kutoka bungeni hakuijengi chadema bali kutaleta masuko ndani ya chama, na kuonyesha namna chadema isivyokuwa na hekima ya kusamehe, kufikiria na kuona heshima za wanawake.

Maana Kuna watu wengi wanaoamini kuwa mbowe na wenzake Kuna watu wao walipenda ndio wangekwwnda bungeni kwa maslahi Yao, wako watu wanaoamini kuwa kama Mbowe, sugu, msigwa, heche na Prof Jay kama wangeshinda ubunge kwenye majimbo Yao chadema isingesusia bunge.

Mbowe usitangulize Sheria kwenye hili tangulizeni ukurasa mpya unaokiunganisha Chama badala ya kukipasua kizembe.

Adui wa chadema sio akina Mdee bali tume ya uchaguzi na katiba ambayo ni chanzo kikuu Cha kilichotokea 2020.

Kudai Katiba hata akina Mdee wanahitajika, tumia hekima na busara zaidi kuliko Sheria, kanuni, taratibu na mazoea.

Wacha waendelee wamalize kipindi Cha ubunge hadi 2025. Onyesheni ukomavu waonyeni ndani kwa ndani ndani ya chama badala ya kutumia majukwaa.

Your common enemy is tume na maagizo ya viongozi wa serikali na bunge.
Awesomeness kwani wamemkisea Mbowe?

Hata wakisamehewa na Mbowe halafu iweje kuhusu mabwana zao.
 
Nikajua DPP aliona hawana kesi ya kujibu, kumbe ni Rais ndio kawasamehe!!
Mbaada ya kupitia ushahidi wote DPP kasema Mbowe alikuwa na kesi ya kujibu, ni nani kamfanya apige U turn? Wacheni uzuzu, nchi zetu za Afrika hizi hata jaji mkuu na DPP wote ni wateule wa Rais.
 
Wewe ni mfano mzuri wa akili zilizodumaa
Wewe huna akili kabisa Bora yangu imedumaa. Ulikuwa unafurahia Mbowe kuendelea kumkosa mke wake kwa miezi 7 wewe ukiwa uraiani na mkeo. Imekuuma sana Mbowe kuwa nje maana huna agenda tena. Mama Samia ametufilisi kwa kumuachia Mbowe, hata mabeberu wameishiwa hoja wanabaki kumwaga misaada iliyokuwa imesimamishwa.

Mbowe kasamehewa hata kama tukitumia lugha zilizonakshiwa.
 
Jana nilikuwa naangalia mahojiano ya Samia na Kikeke BBC, Samia kakiri binafsi yeye kwa kinywa chake kwamba kwenye sakata la Mbowe hakuna aliyemwomba mwenzake msamaha.
Lugha ya kiutu uzima hiyo,amekubali kutokukubaliana.
 
Kuhusu kuona sina uwelewa wakutosha hayo ni maoni yako na huo ndio uhuru wa kujieleza tunaoutaka. Kama umefukuzwa uwanachama ya nini unang'ang'ania ? Siii wamefukuzwa sasa izo posho na mishahara wanazopokea si ndio kula kodi za wananchi
Wanefukuzwa na nani mbona wanachapa kazi mjengoni na kulipwa sawa kazi Yao? Hawa wako kwenye kamati mbalimbali za bunge, wanahudhuria na kuchangia pia. Kaka mnyinge mnyongeni lakini
 
Kuwasamehe covid 19 baada ya kuonesha jeuri na dharau kwa chama kutadhoofisha chama irreparably ! Maadui wa Chadema ndio waliosuka mpango wa hao wanawake kukiasi chama; na sasa wanasuka mpango wa kukipasua chama kwa kutaka kutumia watu ili warudi chadema ili wawatumie kama wapelelezi wao ndani ya chama!! LET THE CORONA WOMEN GO!!
Hayo ni mawazo yako, chadema Kuna Siri gani ya kupeleleza? Chama kikubwa kama chadema kinachojiandaa kushika dola hakiwezi kukumbatia wanaofikiria kama wewe . Chadema walikuwepo hata akina Lowassa, Sumaye, zitto, mwigamba, kingunge na wengi TU wakarudi CCM, kama ni Siri basi zimejulikaba tayari.

Mbowe kasamehewa kwanini iwe dhambi kuwasamehe wanawake?
 
Chadema ya Lisu na Mbowe iliyakataa matokeo ya uchaguzi wa 2020 mpaka Leo hii hawajatengua kauli yao.

Akina Halima na wenzake kama wanawake walitumia fursa Yao ya upendeleo kwenda bungeni badala ya kuiacha fursa hiyo ipotee au ichukuliwe na CCM.

Kuwafukuza wabunge haio wanawake kutoka bungeni hakuijengi chadema bali kutaleta masuko ndani ya chama, na kuonyesha namna chadema isivyokuwa na hekima ya kusamehe, kufikiria na kuona heshima za wanawake.

Maana Kuna watu wengi wanaoamini kuwa mbowe na wenzake Kuna watu wao walipenda ndio wangekwwnda bungeni kwa maslahi Yao, wako watu wanaoamini kuwa kama Mbowe, sugu, msigwa, heche na Prof Jay kama wangeshinda ubunge kwenye majimbo Yao chadema isingesusia bunge.

Mbowe usitangulize Sheria kwenye hili tangulizeni ukurasa mpya unaokiunganisha Chama badala ya kukipasua kizembe.

Adui wa chadema sio akina Mdee bali tume ya uchaguzi na katiba ambayo ni chanzo kikuu Cha kilichotokea 2020.

Kudai Katiba hata akina Mdee wanahitajika, tumia hekima na busara zaidi kuliko Sheria, kanuni, taratibu na mazoea.

Wacha waendelee wamalize kipindi Cha ubunge hadi 2025. Onyesheni ukomavu waonyeni ndani kwa ndani ndani ya chama badala ya kutumia majukwaa.

Your common enemy is tume na maagizo ya viongozi wa serikali na bunge.
Embu elezea Hapo kwenye IPOTEEE AU ICHUKULIWE NA CCM !!!?? Humor kichwani itakuwa na makamasi mengi sana..... CCM anachukuaje matokeo ya kura za urais za chadema Ili apeleke hao wanawake wake kuwa viti maalum !!!?? Ila wajinga ni wengi.. na ndio mtaji wa CCM.
 
Back
Top Bottom