Mbowe umesamehewa na Rais, nawe wasamehe Mdee na wenzake 18

Mbowe umesamehewa na Rais, nawe wasamehe Mdee na wenzake 18

Kaka kazi ya kwanza waliyonayo chadema ni kuyatambua matokeo ya uchaguzi 2020
Kaka kuruhusu tu yule mbunge mmoja aingie bungeni ni kuyatambua matokeo

Zingine ni sarakasi tu za siasa.
 
Chadema ya Lisu na Mbowe iliyakataa matokeo ya uchaguzi wa 2020 mpaka Leo hii hawajatengua kauli yao.

Akina Halima na wenzake kama wanawake walitumia fursa Yao ya upendeleo kwenda bungeni badala ya kuiacha fursa hiyo ipotee au ichukuliwe na CCM.

Kuwafukuza wabunge haio wanawake kutoka bungeni hakuijengi chadema bali kutaleta masuko ndani ya chama, na kuonyesha namna chadema isivyokuwa na hekima ya kusamehe, kufikiria na kuona heshima za wanawake.

Maana Kuna watu wengi wanaoamini kuwa mbowe na wenzake Kuna watu wao walipenda ndio wangekwwnda bungeni kwa maslahi Yao, wako watu wanaoamini kuwa kama Mbowe, sugu, msigwa, heche na Prof Jay kama wangeshinda ubunge kwenye majimbo Yao chadema isingesusia bunge.

Mbowe usitangulize Sheria kwenye hili tangulizeni ukurasa mpya unaokiunganisha Chama badala ya kukipasua kizembe.

Adui wa chadema sio akina Mdee bali tume ya uchaguzi na katiba ambayo ni chanzo kikuu Cha kilichotokea 2020.

Kudai Katiba hata akina Mdee wanahitajika, tumia hekima na busara zaidi kuliko Sheria, kanuni, taratibu na mazoea.

Wacha waendelee wamalize kipindi Cha ubunge hadi 2025. Onyesheni ukomavu waonyeni ndani kwa ndani ndani ya chama badala ya kutumia majukwaa.

Your common enemy is tume na maagizo ya viongozi wa serikali na bunge.
Ni kama una magonjwa ya akili, hivi kama CHADEMA wangewarubuni na kuyafanya CCM waliyoyafanya kwa wanachama 19 ingechukua hatua gani?
 
Nadhan kama hawatambui uchaguzi wa 2020 ni vizuri pia hata yule mbunge asitambuliwe pia

Maana kumtambua yule mmoja ni sawa a kukinzana na maneno yao wenyewe juu ya uchaguzi mkuu uliopita

Na hapa ndio ninapoona tofauti ya siasa za Tanzania na nchi zingine waliotuzidi ukomavu wa kisiasa

Huwezi kupinga uchaguzi kwa kukataa wabunge 19 wasiende bungeni ila ukakubali mmoja aende bungeni

Huo utakuwa ni unafiki na kuwapeleka wafuasi wasiojielewa

Kama wamekubali mbunge mmoja aingie bungeni ni sawa na kuukubali uchaguzi wa 2020.
Hakuna wabunge 19. Ni batili. Mbona vijana mnashindwa hata uelewa mdogo mazito tutaelewana kweli? Ni aibu.
 
Itakuwa kosa kubwa sana kama hao covid 19 wataachwa waendelee kuwa wabunge viti maalumu wa CDM kwani utakuwa ushindi mkubwa kwa waliochonga huo mchongo wa kuwaapisha hao wahuni wakiwa na lengo la kukidharau CDM na viongoz wake .Timueni hao C 19 soon after kikao cha tarehe 25 pasipo kupepesa macho na kama wataachwa hili suala litakuwa sugu na litatokea tena miaka si mingi na hamtaweza kuwachukulia hatua kwani dhamira zitasuta .Hata kama wataomba msamaha wasisamehewe abadani kwani dharau walizoonesha hasa bwana yule sauti ya zege ni unforgivable
 
Chadema ya Lisu na Mbowe iliyakataa matokeo ya uchaguzi wa 2020 mpaka Leo hii hawajatengua kauli yao.

Akina Halima na wenzake kama wanawake walitumia fursa Yao ya upendeleo kwenda bungeni badala ya kuiacha fursa hiyo ipotee au ichukuliwe na CCM.

Kuwafukuza wabunge haio wanawake kutoka bungeni hakuijengi chadema bali kutaleta masuko ndani ya chama, na kuonyesha namna chadema isivyokuwa na hekima ya kusamehe, kufikiria na kuona heshima za wanawake.

Maana Kuna watu wengi wanaoamini kuwa mbowe na wenzake Kuna watu wao walipenda ndio wangekwwnda bungeni kwa maslahi Yao, wako watu wanaoamini kuwa kama Mbowe, sugu, msigwa, heche na Prof Jay kama wangeshinda ubunge kwenye majimbo Yao chadema isingesusia bunge.

Mbowe usitangulize Sheria kwenye hili tangulizeni ukurasa mpya unaokiunganisha Chama badala ya kukipasua kizembe.

Adui wa chadema sio akina Mdee bali tume ya uchaguzi na katiba ambayo ni chanzo kikuu Cha kilichotokea 2020.

Kudai Katiba hata akina Mdee wanahitajika, tumia hekima na busara zaidi kuliko Sheria, kanuni, taratibu na mazoea.

Wacha waendelee wamalize kipindi Cha ubunge hadi 2025. Onyesheni ukomavu waonyeni ndani kwa ndani ndani ya chama badala ya kutumia majukwaa.

Your common enemy is tume na maagizo ya viongozi wa serikali na bunge.
Mzee Halima tulize wenge
 
Chadema ya Lisu na Mbowe iliyakataa matokeo ya uchaguzi wa 2020 mpaka Leo hii hawajatengua kauli yao.

Akina Halima na wenzake kama wanawake walitumia fursa Yao ya upendeleo kwenda bungeni badala ya kuiacha fursa hiyo ipotee au ichukuliwe na CCM.

Kuwafukuza wabunge haio wanawake kutoka bungeni hakuijengi chadema bali kutaleta masuko ndani ya chama, na kuonyesha namna chadema isivyokuwa na hekima ya kusamehe, kufikiria na kuona heshima za wanawake.

Maana Kuna watu wengi wanaoamini kuwa mbowe na wenzake Kuna watu wao walipenda ndio wangekwwnda bungeni kwa maslahi Yao, wako watu wanaoamini kuwa kama Mbowe, sugu, msigwa, heche na Prof Jay kama wangeshinda ubunge kwenye majimbo Yao chadema isingesusia bunge.

Mbowe usitangulize Sheria kwenye hili tangulizeni ukurasa mpya unaokiunganisha Chama badala ya kukipasua kizembe.

Adui wa chadema sio akina Mdee bali tume ya uchaguzi na katiba ambayo ni chanzo kikuu Cha kilichotokea 2020.

Kudai Katiba hata akina Mdee wanahitajika, tumia hekima na busara zaidi kuliko Sheria, kanuni, taratibu na mazoea.

Wacha waendelee wamalize kipindi Cha ubunge hadi 2025. Onyesheni ukomavu waonyeni ndani kwa ndani ndani ya chama badala ya kutumia majukwaa.

Your common enemy is tume na maagizo ya viongozi wa serikali na bunge.
Mbowe hakuna aliyemsamehe.. waliona aibu waliyoipata kwenye ndogo, wakaona wasije aibika zaidi kwenye kesi kubwa
 
Mbowe amesamehewa?!Siku hizi magaidi huwa yanasamehewa?🐒🐒🐒
Hata Hanspope (RIP) na lugakingira walisamehewa na Nyerere. Hata utumie lugha gani Mama amemtoa Mbowe mahabusu.
 
Hata Hanspope (RIP) na lugakingira walisamehewa na Nyerere. Hata utumie lugha gani Mama amemtoa Mbowe mahabusu.
Nyerere kusamehe magaidi haihalalishi kuwa magaidi yanapaswa kusamehewa.Two wrongs don't make a right.Changamoto kubwa tulionayo hapa JF sasa hivi ni members wengi kuwa na utapiamlo wa akili kama wewe.
 
Hakuna wabunge 19. Ni batili. Mbona vijana mnashindwa hata uelewa mdogo mazito tutaelewana kweli? Ni aibu.
Umeelewa hoja yangu lakini au unajibu tu ili kutetea

Nakubaliana na hyo hoja ya kuwa wale 19 ni batili swali langu,Je yule mmoja anaehudhuria vikao vya bunge ameruhusiwa na chama?

Kama hajaruhusiwa je alichukuliwa hatua za kinidhamu,Kama hajachukuliwa je hauoni kama hapo inaonesha matokeo ya uchaguzi ule wanayatambua ila tu ni zuga.
 
Ulipoharibu kabisa ni kusema kuwa eti Rais Samia amemsamehe Mbowe. Amemsamehe, kwani Mbowe amekosa nini?

Katika Mbowe kutoka mahabusu, kuna mahali popote imetamkwa kuwa Mbowe amesamehewa?

Kinachofahamika ni kuwa yale maharamia yaliyombambikia kesi Mbowe, baada ya sauti za wapenda haki mbalimbali kuzidi, na kibano cha nchi za Ulaya, yaliona aibu na kuamua kuachana na kesi ya kutengeneza dhidi ya Mbowe.
Mbowe mwenyewe akiona hii coment yako atacheka sana

Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom