Ghosryder
JF-Expert Member
- Jul 6, 2014
- 10,403
- 4,373
Huyu lofa tu, anapima kina cha maji sio!!Mbowe yupo sahihi maana amekomaa na issue ya 50/50 hakuna la maana anafanya.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu lofa tu, anapima kina cha maji sio!!Mbowe yupo sahihi maana amekomaa na issue ya 50/50 hakuna la maana anafanya.
Wananchi ni mabosi wa rais na rais ni mtumishi wetu. Bosi ana mamlaka ya kumpangia kazi mtumishi wake.Leo mbowe akiwa mkoani Morogoro amesema walimuandikia barua kuomba kukutana na Rais Samia ila hadi leo hajakutana nao.
Anasema anaona tu anakutana na makundi mengine ila wao hataki kukutana nao, hivyo hawatasubiri mwaka kukutana na Raisi na ipo siku atawatafuta.
Hadi haoaa itoshe kusema chadema ni chama ambacho hakipo makini, ni vipi unaweza kumpangia Raisi ratiba zake?
Kama sasa hivi kabanwa atakutanaje na nyie? Mbowe ameenda mbali na kumtisha Rais eti ipo siku atatutafuta. Asipokutafuta utamfanya nini?
Walio karibu na mwenyekiti wampumzishe kidogo maana ni Kama Kuna kitu hakipo sawa kwenye medula.
#mamasamia kanyaga twende# kazi iendelee#
View attachment 1813320View attachment 1813322
View attachment 1813356HATA rAIS AMEONA HAKUNA HAJA YA KUKUTANA NA WATU WENYE TABIA ZA HIVI MTAONGEA NAYE NINI ?
Hapana Raisi atapata muda sahihi wa kukutana nao na sio kulazimishwaWananchi ni mabosi wa rais na rais ni mtumishi wetu. Bosi ana mamlaka ya kumpangia kazi mtumishi wake.
Tuko pamoja mwanamboka?
mnakuwa kama hamna akili yaani wote anawaburuza mnyw akonyagi na kuwapiga vipara wanaume wazimaPole mrs mwendazake
Kwenye report Kama hajaona chochote ulitaka afanyaje?Kama apunguze maneno, kazi ionekane...
Aliomba ripoti ya BOT ya march, mbona kimya au alipewa akaisoma yakaisha.
Kuna pressing issues. Watu wanasota magerezani kwa kesi za kubumba za kisiasa. Wale watu wana familia zao.Hapana Raisi atapata muda sahihi wa kukutana nao na sio kulazimishwa
siwalitaka wenyewe kama mdude unamhurumia mhuni yuleKuna pressing issues. Watu wanasota magerezani kwa kesi za kubumba za kisiasa. Wale watu wana familia zao.
mnakuwa kama hamna akili yaani wote anawaburuza mnyw akonyagi na kuwapiga vipara wanaume wazima
Watu wapo magerezani kwa kesi za kisiasa, wamefungwa kwa kua ni wapinzani wa Mwendawazimu, hili awezi akasubiri mpaka ajisikie.Hoja ya msingi ni kukutana na viongozi wa upunzani kujadili masuala ya muhimu kwa mustakabali mzima wa maendeleo ya watu na demokrasia nchini.
Wewe kwa kuwa una akili za kushikiwa huwezi kutambua hoja hizo.
DEMOCRASIA GANI MNAYOIHUBIRI NYIE WAKATI MADARAKA ANALAZIMISHA MTU MMPOJA TU AWE MWENYEKITI INAMAANA CHAMA HAKINA HAZINA YA VIONGOZI? HUO NDIYO UVUNJAJI WA DEMOCRASIA KWAHIYO CHAMA CHENU SIYO CHA KIDEMOCRASIA NI GENGE LA UHALIFUYe ni nan ampangie Rais wetu Ratiba yake?..
Wamemuomba Mama kakubali watulie sasa Mbona hata mikutano wanafanya wanazunguka mama Hajawazuia hawaon utofaut wa Rais wetu mpendwa ulivyo?...
Iwe ina chochote, iwe haina.... taarifa ni muhimu kama alivopokea zile nyingine.Kwenye report Kama hajaona chochote ulitaka afanyaje?
Hata dingi yako ni hivyo hivyoHuyu lofa tu, anapima kina cha maji sio!!
Mungu kasikia kilio cha Mdude......kuna mtu saa hizi ni chakula cha mchwa 6-feet under!siwalitaka wenyewe kama mdude unamhurumia mhuni yule
Mnapohoji matumizi mabaya ya fedha za umma, unaofanywa na viongozi wa Serikali, mfanye hivyo hivyo kwa matumizi ya Ruzuku, kodi yetu.Akila wewe unaumia nini?
Mwambie na mume akalewe kama ana pesa ya kuleweaMnapohoji matumizi mabaya ya fedha za umma, unaofanywa na viongozi wa Serikali, mfanye hivyo hivyo kwa matumizi ya Ruzuku, kodi yetu.
Hivi kwa nini mnamwogopa Mbowe? Km alilewa chakari akadondoka, hadi leo kimya, kama vile hilo tukio halikuwepo, na hata yeye, mhusika, halizungumzii kabisa.
Ndiyo majibu yako ya kitoto hayoMwambie na mume akalewe kama ana pesa ya kulewea
Mbowe yupo sahihi maana amekomaa na issue ya 50/50 hakuna la maana anafanya.