Mbowe unakosea sana kumpangia Rais Samia ratiba zake

Mbowe unakosea sana kumpangia Rais Samia ratiba zake

Leo mbowe akiwa mkoani Morogoro amesema walimuandikia barua kuomba kukutana na Rais Samia ila hadi leo hajakutana nao.
Anasema anaona tu anakutana na makundi mengine ila wao hataki kukutana nao, hivyo hawatasubiri mwaka kukutana na Raisi na ipo siku atawatafuta.

Hadi haoaa itoshe kusema chadema ni chama ambacho hakipo makini, ni vipi unaweza kumpangia Raisi ratiba zake?

Kama sasa hivi kabanwa atakutanaje na nyie? Mbowe ameenda mbali na kumtisha Rais eti ipo siku atatutafuta. Asipokutafuta utamfanya nini?

Walio karibu na mwenyekiti wampumzishe kidogo maana ni Kama Kuna kitu hakipo sawa kwenye medula.

#mamasamia kanyaga twende# kazi iendelee#

View attachment 1813320View attachment 1813322
Wananchi ni mabosi wa rais na rais ni mtumishi wetu. Bosi ana mamlaka ya kumpangia kazi mtumishi wake.

Tuko pamoja mwanamboka?
 
Kwani mbona kipindi Cha mwendazake Mbowe alikuwa wapi amepata mteremko Sasa anafanya kulazimisha ,kukutana nao sio lazima na waliomba Kama wanaona kimya wajue ombi lao halijakubaliwa au bado linafanyiwa kazi
 
Wananchi ni mabosi wa rais na rais ni mtumishi wetu. Bosi ana mamlaka ya kumpangia kazi mtumishi wake.

Tuko pamoja mwanamboka?
Hapana Raisi atapata muda sahihi wa kukutana nao na sio kulazimishwa
 
Hoja ya msingi ni kukutana na viongozi wa upunzani kujadili masuala ya muhimu kwa mustakabali mzima wa maendeleo ya watu na demokrasia nchini.

Wewe kwa kuwa una akili za kushikiwa huwezi kutambua hoja hizo.
DEMOCRASIA GANI MNAYOIHUBIRI NYIE WAKATI MADARAKA ANALAZIMISHA MTU MMPOJA TU AWE MWENYEKITI INAMAANA CHAMA HAKINA HAZINA YA VIONGOZI? HUO NDIYO UVUNJAJI WA DEMOCRASIA KWAHIYO CHAMA CHENU SIYO CHA KIDEMOCRASIA NI GENGE LA UHALIFU
Ye ni nan ampangie Rais wetu Ratiba yake?..
Wamemuomba Mama kakubali watulie sasa Mbona hata mikutano wanafanya wanazunguka mama Hajawazuia hawaon utofaut wa Rais wetu mpendwa ulivyo?...
Watu wapo magerezani kwa kesi za kisiasa, wamefungwa kwa kua ni wapinzani wa Mwendawazimu, hili awezi akasubiri mpaka ajisikie.
Mbowe yupo sahihi kabisa.

Samia aache kuhubiri uzalendo na umoja feki.
 
Mama yupo busy na 50/50 mbowe acha kazi iendelee
 
Akila wewe unaumia nini?
Mnapohoji matumizi mabaya ya fedha za umma, unaofanywa na viongozi wa Serikali, mfanye hivyo hivyo kwa matumizi ya Ruzuku, kodi yetu.

Hivi kwa nini mnamwogopa Mbowe? Km alilewa chakari akadondoka, hadi leo kimya, kama vile hilo tukio halikuwepo, na hata yeye, mhusika, halizungumzii kabisa.
 
Mnapohoji matumizi mabaya ya fedha za umma, unaofanywa na viongozi wa Serikali, mfanye hivyo hivyo kwa matumizi ya Ruzuku, kodi yetu.

Hivi kwa nini mnamwogopa Mbowe? Km alilewa chakari akadondoka, hadi leo kimya, kama vile hilo tukio halikuwepo, na hata yeye, mhusika, halizungumzii kabisa.
Mwambie na mume akalewe kama ana pesa ya kulewea
 
Mbowe yupo sahihi maana amekomaa na issue ya 50/50 hakuna la maana anafanya.

Amuache mama wa watu, asimpangie ratiba ya kukutana nao.
Naona sasa baada ya lisu kutulia, yeye kaamua kulianziasha.
 
Back
Top Bottom