Mbowe: Wabunge wamejiongezea Mishahara Kutoka Tsh milioni 13 za awali na sasa wanalipwa Tsh milioni 18 kwa mwezi mbali na posho

Ila wandugu, hili swala la Mishahara ya hawa wapiga makofi na shukrani zilizopitiliza kwa Dr. Linapaswa litengewe muda wa mjadala..wenzetu wanakula keki eti. Sisi tutaishia kula na.sisimizi vile vipande vinavyoanguka chini. Kama pande lipo basi na wengine waongezewe. Kama kitu ilikuwa 13m na Sasa ni 18m, hilo ni ongezeko kubwa sana..
 
Kwanza nianze kumshukuru Jemedari Mama Samia kwa kuniwezesha kukomenti!
Pili niseme wazi hata watendaji wa vijiji wanapaswa kulipwa posho!
 
Porojo
 
Vijana kenya wanaingia barabarani.....Tz kazi kushabikia simba na yanga
Ina maana huko Kenya hakuna vijana wanaoshabikia michezo? Hao vijana wa Kenya walioingia barabarani ni asilimia ngapi ya vijana wote wa Kenya?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…