Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
FiksiMatokeo ya 'mono-party' ndio haya.
hahahahahaKwa kazi gani hasa wanayoifanya huko Bungeni hawa fisi na nguruwe wasioshiba! wala kutosheka!!
Sisi hatuna wabunge bali tuna wachumiatumbo wakubwa. Kama ingewezekana nchi hii irudi kwenye utawala wa kichifu au mkoloni arudi kutawala tungekuwa mbali sana kiuchumi. Sijawahi kuona nchi ya kipumbavu kama hii nchi ya kusadikika.Mwenyekiti wa Chadema mh Freeman Mbowe amesema Wabunge wa Bunge la JMT wamejiongezea Mishahara kutoka TSH 13 million walizokuwa wanalipwa awali hadi TSH 18 million
Mbowe amesema mshahara huo ni mbali na Posho mbalimbali wanazolipwa kila Siku
Jumaa Mubarak 😀🔥
----
Mwenyekiti wa chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Taifa Freeman Mbowe amedai kuwa Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wamejiongezea mishahara yao kutoka milioni 13 waliyokuwa wanapata hapo awali hadi kufikia milioni 18 kwa mwezi, hiyo ikiwa ni nje ya posho ya vikao anayopatiwa Mbunge kila anapohudhuria kikao kimoja cha Bunge
Akizungumza kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika Machi 21.2024 Babati mjini, mkoani Manyara Mbowe amesema kuwa mara nyingi viongozi wa serikali wamekuwa wakijitokeza hadharani na kueleza kuwa uchumi umekua hapa nchini, jambo ambalo anakubaliananalo kwa kutumia kipimo cha pato la Taifa (GDP) lakini ameeleza kuwa uchumi huo umekua kwa watu wachache walioko serikalini na sio kwa mtu mmoja mmoja au jamii kwa ujumla wake
Amesema viongozi walioko serikalini wamekuwa wakiendekeza maisha ya anasa ambayo kwa kiasi kikubwa hayaangalii maslahi ya nchi na wananchi wake ndio maana inawawia vigumu kukubali kufanya marekebisho ya msingi ya sheria za nchi kutokana na msingi wa uwepo wa Katiba mpya
Ametolea mfano kupitishwa kwa sheria ya mafao ya wenza wa viongozi kama sehemu ya anasa hizo kwa kuwa sasa mwenza wa Rais mstaafu analazimika kupokea asilimia 60 ya mshahara wa Rais aliyeko madarakani, wakati Rais mstaafu akipokea asilimia 80 ya mshahara huo, hiyo ikienda sambamba na kupatiwa magari yanayobadilishwa kila baada ya muda, walinzi, nyumba na watumishi wengine binafsi.
Chanzo: Jambo Tv
Itakuja hapa misukule akina choice variable na MamaSamia2025 kusifia ujinga na ufisadi wa maCCM. Majitu kama haya bora yafe tu!Bado kuna mijinga inaisifia ccm kila siku humu ndani, dunia hii ina maajabu sana!
Hopeless mindNakumbuka what’s wao walijiongezea posho
Wakiwa nje wanauona San mchezo
Wakiwa ndani… watakwambia kwa ground iz ze difflenti
Mmmmmh ni yakweli haya?
Mada ni kuona million 13 ni ndogo na 18 ni nyingijikite kwenye mada
Watz tumekuwa wajinga sana ingekuwa nchi nyingine kama malawi hao wabunge hawangekuwa bungeni mpaka muda huu.kwa kuwa watz ni waoga wacha tu tuburuzwe.maskini abaki na umaskini wake na wabunge waendelee kutesa
Mimi silipwi na mtu yeyote yule kwa ajili ya kuandika hapa jukwaani.kama unao huo ushahidi basi naomba uweke hapa jukwaani, kuliko kufanya kazi ya kunichafua na kunidhalilisha bila sababu ya msingi.Ulikuwa hujui?
Ncho ya wajinga. Watu wanagawana 18m plus kwa mwezi, akina Mwashambwa wanabweka kila siku kusifia kwa malipo shilingi 10,000 kwa siku, yaani laki 3 kwa mwezi! Halafu anajiona amefanikiwa sana!!
Aliyewaongezea mishahara ni Rais hawana mamlaka ya kujiongezea mishahara hapa wa kumpa lawama ni Rais
Mbona leo umebadilika hivyo? Huna tusi kwa Mbowe kama kawaida yako na yule mwingine Etwege halimtoki neno humu jukwaani isipokuwa tusi kwa Mbowe! Habari ndio hiyo!Samia huyo,!
Ukimuona anavyozurura huko angani utafikiri yuko serious!
Namlaumu sana Mabeyo ile kukuru kakara ya uapisho kumbe wenzie waliona mbali