Mbowe: Wabunge wamejiongezea Mishahara Kutoka Tsh milioni 13 za awali na sasa wanalipwa Tsh milioni 18 kwa mwezi mbali na posho

Sisi hatuna wabunge bali tuna wachumiatumbo wakubwa. Kama ingewezekana nchi hii irudi kwenye utawala wa kichifu au mkoloni arudi kutawala tungekuwa mbali sana kiuchumi. Sijawahi kuona nchi ya kipumbavu kama hii nchi ya kusadikika.
 
Ulikuwa hujui?

Ncho ya wajinga. Watu wanagawana 18m plus kwa mwezi, akina Mwashambwa wanabweka kila siku kusifia kwa malipo shilingi 10,000 kwa siku, yaani laki 3 kwa mwezi! Halafu anajiona amefanikiwa sana!!
Mimi silipwi na mtu yeyote yule kwa ajili ya kuandika hapa jukwaani.kama unao huo ushahidi basi naomba uweke hapa jukwaani, kuliko kufanya kazi ya kunichafua na kunidhalilisha bila sababu ya msingi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…