johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Biashara ndio hiyo SiasaMbowe endelea na biashara zako. Tanzania ipo salama chini ya Samia Suluhu, mwenyewe umekiri hili mara kadhaa
Kipaumbele ni nini?Angesema CHADEMA ndiyo wana hizo sifa maana ndiyo wenye itikadi moja na yeye.
Watu nje ya CDM wako reluctant sababu kinachopiganiwa na hao jamaa siyo vipaumbele vyao.
Kipaumbele ni nini?
Huhitaji hata elimu ya madrasa kuvijua.Kipaumbele ni nini?
Mwenyekiti wa Chadema mh Mbowe amesema Watanzania ni Wavivu wanategemea kila kitu afanye Tundu Lisu na Mbowe
Kwa utaratibu huu hata Katiba mpya itakuwa ngumu kuupata, amesema
Wananchi ni lazima mtumie WINGI wenu kuibana Serikali itekeleze matarajio yenu vinginevyo mtaendelea Kuwa Walalamikaji wa kudumu, amesisitiza Mbowe katika mkutano wa hadhara Temeke
Ndio hivyo anavyovitaja Tundu Lisu kila sikuHuhitaji hata elimu ya madrasa kuvijua.
Ni akili timamu pekee.
Wewe humuamini Tundu LisuTofauti na chama cha mambuzi huku kwingine uchawa ni machukizo.
https://www.jamiiforums.com/threads...f-mtikila-julius-malema-au-kina-tutu.2013213/
Wengi tunatofautiana na hoja hiyo ya Mwenyekiti Mbowe.
Ikumbukwe kutofautiana si dhambi maana hata watoto mapacha hutokea mahali wakashindwa kuelewana.
https://www.jamiiforums.com/threads/tathmini-yakinifu-uzinduzi-wa-mikutano-ya-siasa-mwanza.2058702/
Kutofautiana ni jambo la afya tu.
Ninakazia:
"Harakati huongozwa, haziwezi kuja (spontaneously) kama mvua.
Kadamnasi lisililokuwa na viongozi thabiti ni sawa na kundi la kondoo bila Mchungaji."
Huo uoga ulijengwa kwa mda mrefu, kuanzia enzi za Nyerere, siasa za ujamaa zilileta hofu sanaa kwa wana nchi, na elimu duni hi inapotoshwa sanaa wa tanzania pamoja na umasikini, huo uoga ndo mtaji mkubwa wa CCM, bila huo uoga CCM haiwezi kurudi madarakani .Mwenyekiti wa Chadema mh Mbowe amesema Watanzania ni Wavivu wanategemea kila kitu afanye Tundu Lisu na Mbowe
Kwa utaratibu huu hata Katiba mpya itakuwa ngumu kuupata, amesema
Wananchi ni lazima mtumie WINGI wenu kuibana Serikali itekeleze matarajio yenu vinginevyo mtaendelea Kuwa Walalamikaji wa kudumu, amesisitiza Mbowe katika mkutano wa hadhara Temeke
Magufuli: Watanzania Siyo WajingaWameanza matusi baada ya kuona wamepuuzwa na watanzania
Wewe humuamini Tundu Lisu
Huyu huyu Tundu Lisu ambaye akiona polisi anakimbilia Ubalozi wa Ujerumani?Wapi nimesema simuamini Tundu Lissu? Vipi huyo ndiyo anawapeleka puta? Umeona wapi Lissu anasema watanzania ni waoga?
Zingatia aliyesema hayo ni Mwenyekiti Mbowe Wala si Lissu nami nimesema:
"Harakati huongozwa, haziwezi kuja (spontaneously) kama mvua.
Kadamnasi lisililokuwa na viongozi thabiti ni sawa na kundi la kondoo bila Mchungaji."
Hayo si leo Wala jana
Ukitegemea mabadiliko ya haraka ya siasa kutoka kwa wa Tanzania hapo utakua umebugi, Mbowe alifungwa miezi 9 jela ila watanzania waliendelea na maisha yao ya kawaida bila hata mgomo wa aina yoyote, kwahiyo watanzania wamesha mfanya akate tamaa kabisa hawezi kuwapigania tena. Na umri wake umeenda, kubali au kataa mbowe kabla ya kuenda Jela sio yule Mbowe wa baada ya Jela kajifunza mengi sana amekua na mtazamo mpya.Wapi nimesema simuamini Tundu Lissu? Vipi huyo ndiyo anawapeleka puta? Umeona wapi Lissu anasema watanzania ni waoga?
Zingatia aliyesema hayo ni Mwenyekiti Mbowe Wala si Lissu nami nimesema:
"Harakati huongozwa, haziwezi kuja (spontaneously) kama mvua.
Kadamnasi lisililokuwa na viongozi thabiti ni sawa na kundi la kondoo bila Mchungaji."
Hayo si leo Wala jana
Inaonesha mlipokosa kumwua kwa mara nyingine alivyokimbilia ubalozi wa ujerumani baada ya dodoma mngali na lenu jambo. Beberu anawaona.Huyu huyu Tundu Lisu ambaye akiona polisi anakimbilia Ubalozi wa Ujerumani?