Mbowe: Watanzania ni Wavivu na Waoga. Wanataka kila kitu afanye Tundu Lissu au Mbowe, hatutafika kwa utaratibu huu!

Mbowe: Watanzania ni Wavivu na Waoga. Wanataka kila kitu afanye Tundu Lissu au Mbowe, hatutafika kwa utaratibu huu!

Hapo umenena, freeman tapeli yeye na lisu wake maana wameshakiri watoto wao ni wamarekani alafu anataka tufanye vurugu katika nchi yetu ambayo watoto wetu ni Watanzania!
Hapana, haiendi hivyo kabisa!
Haya huyo lisu kashamtimua mke wa kitanzania kachukua mdhungu tena mdhungu kabisa walahi!
Dadadeki zao hawa watu ni waongo waongo mpaka wanasikitisha, chinjia baharini tupa kule walahi [emoji35]

Kwani Yesu alipokuja kuwapigania wanadamu alikuja na familia yake?
 
Mwenyekiti wa Chadema mh Mbowe amesema Watanzania ni Wavivu wanategemea kila kitu afanye Tundu Lisu na Mbowe

Kwa utaratibu huu hata Katiba mpya itakuwa ngumu kuupata, amesema

Wananchi ni lazima mtumie WINGI wenu kuibana Serikali itekeleze matarajio yenu vinginevyo mtaendelea Kuwa Walalamikaji wa kudumu, amesisitiza Mbowe katika mkutano wa hadhara Temeke
Yupo sahihi kabisa
 
Hapo umenena, freeman tapeli yeye na lisu wake maana wameshakiri watoto wao ni wamarekani alafu anataka tufanye vurugu katika nchi yetu ambayo watoto wetu ni Watanzania!
Hapana, haiendi hivyo kabisa!
Haya huyo lisu kashamtimua mke wa kitanzania kachukua mdhungu tena mdhungu kabisa walahi!
Dadadeki zao hawa watu ni waongo waongo mpaka wanasikitisha, chinjia baharini tupa kule walahi [emoji35]
Pamoja na hayo Hakuna Tapeli mkubwa aliyewahi kutokea katika nchi hii kama Magufuli
 
Sikubaliani nawe ndugu. Mgomo utatoka wapi bila organization?

Ninakazia:

"Harakati huongozwa, haziwezi kuja (spontaneously) kama mvua."

"Kadamnasi lisililokuwa na viongozi thabiti ni sawa na kundi la kondoo bila Mchungaji."

Ukweli huu si wa leo:

https://www.jamiiforums.com/threads...f-mtikila-julius-malema-au-kina-tutu.2013213/
Mkuu kubaliana na mimi siku hizi most of the successful revolutions zinakua leaderless revolution inakua massuprising bila kiongozi moja, Egypt Tunisia, Malawi hawakuo na kiongozi moja, kwa aina ya siasa ya Tanzania kiongozi ananunuliwa, anapewa kila linawezakanalo achane nao, akikataa anafungwa au kuawa, Zitto iko wapi? wangapi wenye potentia ya uongozi Chadema wamerubuniwa na kuacha struggle, revolution does need one leader but mass-uprising. Kama baadhi ya raia hawako tayari kujitoa kufa au kujeruhuwa sahau mabadiliko.
 
Kwa taarifa yako ili anayodai Mbowe yatimizwe, ni lazima Lisu awepo. Hiyo itapelekea kuona madai ya Lisu ya mabavu hatayapata, ila wataona aibu mbona hata ya Mbowe anayoyadai kiungwana bado hawayatoi? Hapo ni aidha wakubali ya Lisu ya mabavu, au ya Mbowe ya kiungwana. Hivyo tu Boss.
Mkuu kazi ya CCM kwa sasa ni kuhakikisha hao wawili wana gon'gana kifkra na kiutendaji lazima moja asaidiwe na CCM directly au indirectly, ila naona CCM itaka upande wa Mbowe kwasbb ni flexible Lissu bado ana hasira nao ya jaribio ya kumuua sio rahisi ku-compromise na hao watu.
 
Mwenyekiti wa Chadema mh Mbowe amesema Watanzania ni Wavivu wanategemea kila kitu afanye Tundu Lisu na Mbowe

Kwa utaratibu huu hata Katiba mpya itakuwa ngumu kuupata, amesema

Wananchi ni lazima mtumie WINGI wenu kuibana Serikali itekeleze matarajio yenu vinginevyo mtaendelea Kuwa Walalamikaji wa kudumu, amesisitiza Mbowe katika mkutano wa hadhara Temeke

Sasa wao si ndio wanataka madaraka? Kwani katiba mpya itampa nafuu gani mtanzania ambae hagombanii cheo chochote wala hataki siasa?
 
Mkuu kazi ya CCM kwa sasa ni kuhakikisha hao wawili wana gon'gana kifkra na kiutendaji lazima moja asaidiwe na CCM directly au indirectly, ila naona CCM itaka upande wa Mbowe kwasbb ni flexible Lissu bado ana hasira nao ya jaribio ya kumuua sio rahisi ku-compromise na hao watu.
CCM wamsaidie wamtakaye kwenye wawili hao, lakini katiba mpya ni lazima.
 
Sasa wao si ndio wanataka madaraka? Kwani katiba mpya itampa nafuu gani mtanzania ambae hagombanii cheo chochote wala hataki siasa?
Ila wewe unajua katiba ya sasa na udhaifu wake, au unaongea kwasbb hujui, hi katiba ya sasa ina athari moja kwa moja kwa raia wa kawaida, Raisi anamamlaka mengi huwezi kumfanya chochote anaweza kuvunja bunge likianza kumjadili, anauwezo wa kuteua wakuu wa mikoa, wilaya wakurungezi, kutoka chama chake, sasa mranzania asie kua na chama atapata lini hicho cheo.
 
Mkuu kubaliana na mimi siku hizi most of the successful revolutions zinakua leaderless revolution inakua massuprising bila kiongozi moja, Egypt Tunisia, Malawi hawakuo na kiongozi moja, kwa aina ya siasa ya Tanzania kiongozi ananunuliwa, anapewa kila linawezakanalo achane nao, akikataa anafungwa au kuawa, Zitto iko wapi? wangapi wenye potentia ya uongozi Chadema wamerubuniwa na kuacha struggle, revolution does need one leader but mass-uprising. Kama baadhi ya raia hawako tayari kujitoa kufa au kujeruhuwa sahau mabadiliko.

Hakuna uprising isiyokuwa na uongozi. Bila uongozi ni chaos. Ukiona vyaelea vimeundwa.

Kina Nyerere, Mandela, Seif - jela ziliwahusu na bado walikomaa.

Watu hawatatoka barabarani kwa kuanzia bila wito. Huo ndiyo ulio ukweli mchungu.

https://www.jamiiforums.com/threads...f-mtikila-julius-malema-au-kina-tutu.2013213/

Wito hautatokea mbinguni bali Kwa viongozi mahiri. Wala si kwa viongozi viongozi tu.
 
Shida inaanzia hapa, kwamba wanaotafuta katiba mpya ni wanasiasa fulani.

Yes katiba mpya ni maalumu Kwa kugawana mamlaka,

Raia wa kawaida, anapata faida gani na katiba? Au katiba hii ya sasa inamsumbua nn
 
Mwenyekiti wa Chadema mh Mbowe amesema Watanzania ni Wavivu wanategemea kila kitu afanye Tundu Lisu na Mbowe

Kwa utaratibu huu hata Katiba mpya itakuwa ngumu kuupata, amesema

Wananchi ni lazima mtumie WINGI wenu kuibana Serikali itekeleze matarajio yenu vinginevyo mtaendelea Kuwa Walalamikaji wa kudumu, amesisitiza Mbowe katika mkutano wa hadhara Temeke
Lakini Mbowe kasema ukweli.....watanzania ni watu wanaopenda vitu vya kijinga tu kila kukicha. Ukiwaambia vitu vya maana vitakavyowasaidia maishani mwao hawataki kusikiliza na wanakushangaa, wao wanataka habari za kijinga tu kuhusu mastaa uchwara wa Kibongo ambao hawana ishu yoyote.
 
Ila wewe unajua katiba ya sasa na udhaifu wake, au unaongea kwasbb hujui, hi katiba ya sasa ina athari moja kwa moja kwa raia wa kawaida, Raisi anamamlaka mengi huwezi kumfanya chochote anaweza kuvunja bunge likianza kumjadili, anauwezo wa kuteua wakuu wa mikoa, wilaya wakurungezi, kutoka chama chake, sasa mranzania asie kua na chama atapata lini hicho cheo.

Madaraka ya rais kuvunja Bunge au kuteua, yananiadhiri vipi mm Raia?


Still hoja zenu ni dhaifu katiba ya sasa haiko Sawa Kwa mambo ya mamlaka na sio Kwa mambo ambayo yanamgusa mwanainchi Moja Kwa moja
 
Back
Top Bottom