Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
Hapo umenena, freeman tapeli yeye na lisu wake maana wameshakiri watoto wao ni wamarekani alafu anataka tufanye vurugu katika nchi yetu ambayo watoto wetu ni Watanzania!
Hapana, haiendi hivyo kabisa!
Haya huyo lisu kashamtimua mke wa kitanzania kachukua mdhungu tena mdhungu kabisa walahi!
Dadadeki zao hawa watu ni waongo waongo mpaka wanasikitisha, chinjia baharini tupa kule walahi [emoji35]
Kwani Yesu alipokuja kuwapigania wanadamu alikuja na familia yake?