Hapo umenena, freeman tapeli yeye na lisu wake maana wameshakiri watoto wao ni wamarekani alafu anataka tufanye vurugu katika nchi yetu ambayo watoto wetu ni Watanzania!
Hapana, haiendi hivyo kabisa!
Haya huyo lisu kashamtimua mke wa kitanzania kachukua mdhungu tena mdhungu kabisa walahi!
Dadadeki zao hawa watu ni waongo waongo mpaka wanasikitisha, chinjia baharini tupa kule walahi [emoji35]
Yupo sahihi kabisaMwenyekiti wa Chadema mh Mbowe amesema Watanzania ni Wavivu wanategemea kila kitu afanye Tundu Lisu na Mbowe
Kwa utaratibu huu hata Katiba mpya itakuwa ngumu kuupata, amesema
Wananchi ni lazima mtumie WINGI wenu kuibana Serikali itekeleze matarajio yenu vinginevyo mtaendelea Kuwa Walalamikaji wa kudumu, amesisitiza Mbowe katika mkutano wa hadhara Temeke
Pamoja na hayo Hakuna Tapeli mkubwa aliyewahi kutokea katika nchi hii kama MagufuliHapo umenena, freeman tapeli yeye na lisu wake maana wameshakiri watoto wao ni wamarekani alafu anataka tufanye vurugu katika nchi yetu ambayo watoto wetu ni Watanzania!
Hapana, haiendi hivyo kabisa!
Haya huyo lisu kashamtimua mke wa kitanzania kachukua mdhungu tena mdhungu kabisa walahi!
Dadadeki zao hawa watu ni waongo waongo mpaka wanasikitisha, chinjia baharini tupa kule walahi [emoji35]
Amehisi asali ya lissu ilifika ubeligiji ikiwa ya baridi hakulamba vizuri yeye ni kutema cheche. Anahofu yeye na hotuba yake ya kule mwanza ilikua hovyo hovyo
Ni wajinga grade 1Magufuli: Watanzania Siyo Wajinga
Sio tatizo, kwani hataashi milele, lakini historia itamkumbuka kuwa hakuwa kondoo wa majizi ya kura ya CCM.Huyo mbowe na lisu wanafanya nn? Cha muhimu tena safari hii akiingia cha kike tutoe na rambirambi kabisa
Mkuu kubaliana na mimi siku hizi most of the successful revolutions zinakua leaderless revolution inakua massuprising bila kiongozi moja, Egypt Tunisia, Malawi hawakuo na kiongozi moja, kwa aina ya siasa ya Tanzania kiongozi ananunuliwa, anapewa kila linawezakanalo achane nao, akikataa anafungwa au kuawa, Zitto iko wapi? wangapi wenye potentia ya uongozi Chadema wamerubuniwa na kuacha struggle, revolution does need one leader but mass-uprising. Kama baadhi ya raia hawako tayari kujitoa kufa au kujeruhuwa sahau mabadiliko.Sikubaliani nawe ndugu. Mgomo utatoka wapi bila organization?
Ninakazia:
"Harakati huongozwa, haziwezi kuja (spontaneously) kama mvua."
"Kadamnasi lisililokuwa na viongozi thabiti ni sawa na kundi la kondoo bila Mchungaji."
Ukweli huu si wa leo:
https://www.jamiiforums.com/threads...f-mtikila-julius-malema-au-kina-tutu.2013213/
Waache Sasa vilio mara oh vitu vimepanda bei mara oh umeme unakatika ovyo ovyo wakati suluhisho wanalo nalo ni katiba mpyaPengine hawana haja na katiba mpya
Mkuu kazi ya CCM kwa sasa ni kuhakikisha hao wawili wana gon'gana kifkra na kiutendaji lazima moja asaidiwe na CCM directly au indirectly, ila naona CCM itaka upande wa Mbowe kwasbb ni flexible Lissu bado ana hasira nao ya jaribio ya kumuua sio rahisi ku-compromise na hao watu.Kwa taarifa yako ili anayodai Mbowe yatimizwe, ni lazima Lisu awepo. Hiyo itapelekea kuona madai ya Lisu ya mabavu hatayapata, ila wataona aibu mbona hata ya Mbowe anayoyadai kiungwana bado hawayatoi? Hapo ni aidha wakubali ya Lisu ya mabavu, au ya Mbowe ya kiungwana. Hivyo tu Boss.
Mwenyekiti wa Chadema mh Mbowe amesema Watanzania ni Wavivu wanategemea kila kitu afanye Tundu Lisu na Mbowe
Kwa utaratibu huu hata Katiba mpya itakuwa ngumu kuupata, amesema
Wananchi ni lazima mtumie WINGI wenu kuibana Serikali itekeleze matarajio yenu vinginevyo mtaendelea Kuwa Walalamikaji wa kudumu, amesisitiza Mbowe katika mkutano wa hadhara Temeke
CCM wamsaidie wamtakaye kwenye wawili hao, lakini katiba mpya ni lazima.Mkuu kazi ya CCM kwa sasa ni kuhakikisha hao wawili wana gon'gana kifkra na kiutendaji lazima moja asaidiwe na CCM directly au indirectly, ila naona CCM itaka upande wa Mbowe kwasbb ni flexible Lissu bado ana hasira nao ya jaribio ya kumuua sio rahisi ku-compromise na hao watu.
Message sent and well deliveredHakunaga mchagga mjinga wa kuingia barabarani!
Ila wewe unajua katiba ya sasa na udhaifu wake, au unaongea kwasbb hujui, hi katiba ya sasa ina athari moja kwa moja kwa raia wa kawaida, Raisi anamamlaka mengi huwezi kumfanya chochote anaweza kuvunja bunge likianza kumjadili, anauwezo wa kuteua wakuu wa mikoa, wilaya wakurungezi, kutoka chama chake, sasa mranzania asie kua na chama atapata lini hicho cheo.Sasa wao si ndio wanataka madaraka? Kwani katiba mpya itampa nafuu gani mtanzania ambae hagombanii cheo chochote wala hataki siasa?
Sasa wao si ndio wanataka madaraka? Kwani katiba mpya itampa nafuu gani mtanzania ambae hagombanii cheo chochote wala hataki siasa?
Haya karibuni barabarani!Message sent and well delivered
Mkuu kubaliana na mimi siku hizi most of the successful revolutions zinakua leaderless revolution inakua massuprising bila kiongozi moja, Egypt Tunisia, Malawi hawakuo na kiongozi moja, kwa aina ya siasa ya Tanzania kiongozi ananunuliwa, anapewa kila linawezakanalo achane nao, akikataa anafungwa au kuawa, Zitto iko wapi? wangapi wenye potentia ya uongozi Chadema wamerubuniwa na kuacha struggle, revolution does need one leader but mass-uprising. Kama baadhi ya raia hawako tayari kujitoa kufa au kujeruhuwa sahau mabadiliko.
Basi kaeni kwa kutuliaHaya karibuni barabarani!
Shida inaanzia hapa, kwamba wanaotafuta katiba mpya ni wanasiasa fulani.
Lakini Mbowe kasema ukweli.....watanzania ni watu wanaopenda vitu vya kijinga tu kila kukicha. Ukiwaambia vitu vya maana vitakavyowasaidia maishani mwao hawataki kusikiliza na wanakushangaa, wao wanataka habari za kijinga tu kuhusu mastaa uchwara wa Kibongo ambao hawana ishu yoyote.Mwenyekiti wa Chadema mh Mbowe amesema Watanzania ni Wavivu wanategemea kila kitu afanye Tundu Lisu na Mbowe
Kwa utaratibu huu hata Katiba mpya itakuwa ngumu kuupata, amesema
Wananchi ni lazima mtumie WINGI wenu kuibana Serikali itekeleze matarajio yenu vinginevyo mtaendelea Kuwa Walalamikaji wa kudumu, amesisitiza Mbowe katika mkutano wa hadhara Temeke
Ila wewe unajua katiba ya sasa na udhaifu wake, au unaongea kwasbb hujui, hi katiba ya sasa ina athari moja kwa moja kwa raia wa kawaida, Raisi anamamlaka mengi huwezi kumfanya chochote anaweza kuvunja bunge likianza kumjadili, anauwezo wa kuteua wakuu wa mikoa, wilaya wakurungezi, kutoka chama chake, sasa mranzania asie kua na chama atapata lini hicho cheo.