Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Daah! Kweli ccm kumejaa mbumbumbu.Jiulize wewe unayesoma hapa kuwa Ni lini mama yako au Bibi yako kule kijijini alikuomba umtumie katiba?
Naunga mkono hoja
P
Wewe sio mzalendo na huipendi nchi yako. Wewe ni mchumia tumbo. Hata CCM kupitia aliyekuwa katibu mwenezi ilishatamka nia ya kutaka katiba mpya. Huwezi kuwa mzalendo kuwa na katiba inayosema sifa ya kuwa mbunge ni kujua kusoma na kuandika kwenye hizi nyakati za wasomi wengi kupindukia. Au hujui kwamba bunge ndo linatunga sheria na kuisimamia serikali? Mbunge wa darasa la saba ataweza kuuchambua muswada wa kitaalamu uliotoka wizarani? Halafu kama bibi na babu hawataki katiba ndo sisi wote tusitake katiba? Acha fikra za kijinga. Mabadiliko ya kweli yataletwa na vijana ila sio wenye akili kama zako. Vijana wa CCM jitahidini kujenga hoja za kuwapinga CHADEMA na sio kuja na porojo zilizozoeleka. Mnafanya tuonekane CCM wote ni vilaza.Ndugu zangu watanzania,
Baada ya matarajio ya Chadema kuwa tofauti na kupokelewa tofauti na watanzania na kupuuzwa na watanzania katika harakati zao kutokana na kukosa hoja na Sera za kuwashawishi na kugusa maisha Yao wameanza kuwatupia watanzania lugha za udhalilishaji kwa kusema watanzania Ni waoga na wavivu.
Chadema wameanza mikutano Yao kwa porojo pasipo Sera Wala ajenda Wala hoja zenye kugusa maisha ya watanzania na kufikiri kuwa ndio Mahitaji ya watanzania na kupelekea kukosa uungwaji mkono, kutokana na kukuta kazi kubwa imefanywa na mh Rais wetu mpendwa mama Samia suluhu Hassani.
Shida ya watanzania siyo katiba mpya na Wala ukija vijijini kwetu huku Hakuna anayelia Wala kuwa na mahitaji ya katiba na Wala hawana habari na katiba na Wala haiwagusi katika suala la mbolea ,Bei za mazao yao Wala Elimu au Afya au Miundombinu au ajira kwa vijana vitu ambavyo Rais Samia amevigusa na kuvipatia majibu yaliyoleta Tabasamu mioyoni mwao na kuinua matumaini kwao.
Jiulize wewe unayesoma hapa kuwa Ni lini mama yako au Bibi yako kule kijijini alikuomba umtumie katiba? Lini alikuomba umtumie na kumsaidia kuipata rasimu ya warioba?
Hayo siyo Mahitaji ya watanzania ndugu zangu,Mahitaji ya watanzania Ni Yale ayafanyayo Rais Samia na serikali yake Kama vile kuwapatia watanzania maji Safi na salama,Elimu bure na Bora,ajira na mikopo ya Elimu ya juu kwa vijana,mbolea za Ruzuku,huduma Bora za Afya,uwepo wa madawa mahospitalini,vitendea kazi na wataalamu wa Afya,mazingira mazuri ya biashara,maslahi Bora na mazingira mazuri kwa watumishi wa umma,kutendeka kwa haki kwa kila mwenye kuhitaji haki,Usawa katika utolewaji wa huduma na mgao wa keki ya Taifa.
Sasa baada ya kuwa Rais Samia amekata kiu ya watanzania kwa kuwapatia wanachohitaji na kupata uungwaji mkono iliyopelekea watanzania kuwatupilia mbali wapinzani, imepelekea chadema wachanganyikiwe na kuanza kuwatukana watanzania bila sababu za msingi,Nasema na bado maana Moto wa mama Samia utachoma kila kichaka na kuteketeza vyama vyote vya kibabaishaji vilivyokuwa Kama miradi ya watu kujipatia Ruzuku,vinakwenda kusambaratika muda siyo mrefu.
Kazi Iendeleee , mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.
0742-676627
Wee unapenda nchi wewe au unapenda vyeoNdugu zangu watanzania,
Baada ya matarajio ya Chadema kuwa tofauti na kupokelewa tofauti na watanzania na kupuuzwa na watanzania katika harakati zao kutokana na kukosa hoja na Sera za kuwashawishi na kugusa maisha Yao wameanza kuwatupia watanzania lugha za udhalilishaji kwa kusema watanzania Ni waoga na wavivu.
Chadema wameanza mikutano Yao kwa porojo pasipo Sera Wala ajenda Wala hoja zenye kugusa maisha ya watanzania na kufikiri kuwa ndio Mahitaji ya watanzania na kupelekea kukosa uungwaji mkono, kutokana na kukuta kazi kubwa imefanywa na mh Rais wetu mpendwa mama Samia suluhu Hassani.
Shida ya watanzania siyo katiba mpya na Wala ukija vijijini kwetu huku Hakuna anayelia Wala kuwa na mahitaji ya katiba na Wala hawana habari na katiba na Wala haiwagusi katika suala la mbolea ,Bei za mazao yao Wala Elimu au Afya au Miundombinu au ajira kwa vijana vitu ambavyo Rais Samia amevigusa na kuvipatia majibu yaliyoleta Tabasamu mioyoni mwao na kuinua matumaini kwao.
Jiulize wewe unayesoma hapa kuwa Ni lini mama yako au Bibi yako kule kijijini alikuomba umtumie katiba? Lini alikuomba umtumie na kumsaidia kuipata rasimu ya warioba?
Hayo siyo Mahitaji ya watanzania ndugu zangu,Mahitaji ya watanzania Ni Yale ayafanyayo Rais Samia na serikali yake Kama vile kuwapatia watanzania maji Safi na salama,Elimu bure na Bora,ajira na mikopo ya Elimu ya juu kwa vijana,mbolea za Ruzuku,huduma Bora za Afya,uwepo wa madawa mahospitalini,vitendea kazi na wataalamu wa Afya,mazingira mazuri ya biashara,maslahi Bora na mazingira mazuri kwa watumishi wa umma,kutendeka kwa haki kwa kila mwenye kuhitaji haki,Usawa katika utolewaji wa huduma na mgao wa keki ya Taifa.
Sasa baada ya kuwa Rais Samia amekata kiu ya watanzania kwa kuwapatia wanachohitaji na kupata uungwaji mkono iliyopelekea watanzania kuwatupilia mbali wapinzani, imepelekea chadema wachanganyikiwe na kuanza kuwatukana watanzania bila sababu za msingi,Nasema na bado maana Moto wa mama Samia utachoma kila kichaka na kuteketeza vyama vyote vya kibabaishaji vilivyokuwa Kama miradi ya watu kujipatia Ruzuku,vinakwenda kusambaratika muda siyo mrefu.
Kazi Iendeleee , mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.
0742-676627
Utapigiwa simuNdugu zangu watanzania,
Baada ya matarajio ya Chadema kuwa tofauti na kupokelewa tofauti na watanzania na kupuuzwa na watanzania katika harakati zao kutokana na kukosa hoja na Sera za kuwashawishi na kugusa maisha Yao wameanza kuwatupia watanzania lugha za udhalilishaji kwa kusema watanzania Ni waoga na wavivu.
Chadema wameanza mikutano Yao kwa porojo pasipo Sera Wala ajenda Wala hoja zenye kugusa maisha ya watanzania na kufikiri kuwa ndio Mahitaji ya watanzania na kupelekea kukosa uungwaji mkono, kutokana na kukuta kazi kubwa imefanywa na mh Rais wetu mpendwa mama Samia suluhu Hassani.
Shida ya watanzania siyo katiba mpya na Wala ukija vijijini kwetu huku Hakuna anayelia Wala kuwa na mahitaji ya katiba na Wala hawana habari na katiba na Wala haiwagusi katika suala la mbolea ,Bei za mazao yao Wala Elimu au Afya au Miundombinu au ajira kwa vijana vitu ambavyo Rais Samia amevigusa na kuvipatia majibu yaliyoleta Tabasamu mioyoni mwao na kuinua matumaini kwao.
Jiulize wewe unayesoma hapa kuwa Ni lini mama yako au Bibi yako kule kijijini alikuomba umtumie katiba? Lini alikuomba umtumie na kumsaidia kuipata rasimu ya warioba?
Hayo siyo Mahitaji ya watanzania ndugu zangu,Mahitaji ya watanzania Ni Yale ayafanyayo Rais Samia na serikali yake Kama vile kuwapatia watanzania maji Safi na salama,Elimu bure na Bora,ajira na mikopo ya Elimu ya juu kwa vijana,mbolea za Ruzuku,huduma Bora za Afya,uwepo wa madawa mahospitalini,vitendea kazi na wataalamu wa Afya,mazingira mazuri ya biashara,maslahi Bora na mazingira mazuri kwa watumishi wa umma,kutendeka kwa haki kwa kila mwenye kuhitaji haki,Usawa katika utolewaji wa huduma na mgao wa keki ya Taifa.
Sasa baada ya kuwa Rais Samia amekata kiu ya watanzania kwa kuwapatia wanachohitaji na kupata uungwaji mkono iliyopelekea watanzania kuwatupilia mbali wapinzani, imepelekea chadema wachanganyikiwe na kuanza kuwatukana watanzania bila sababu za msingi,Nasema na bado maana Moto wa mama Samia utachoma kila kichaka na kuteketeza vyama vyote vya kibabaishaji vilivyokuwa Kama miradi ya watu kujipatia Ruzuku,vinakwenda kusambaratika muda siyo mrefu.
Kazi Iendeleee , mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.
0742-676627
Namba za simu za nn? [emoji23][emoji23][emoji23]Ndugu zangu watanzania,
Baada ya matarajio ya Chadema kuwa tofauti na kupokelewa tofauti na watanzania na kupuuzwa na watanzania katika harakati zao kutokana na kukosa hoja na Sera za kuwashawishi na kugusa maisha Yao wameanza kuwatupia watanzania lugha za udhalilishaji kwa kusema watanzania Ni waoga na wavivu.
Chadema wameanza mikutano Yao kwa porojo pasipo Sera Wala ajenda Wala hoja zenye kugusa maisha ya watanzania na kufikiri kuwa ndio Mahitaji ya watanzania na kupelekea kukosa uungwaji mkono, kutokana na kukuta kazi kubwa imefanywa na mh Rais wetu mpendwa mama Samia suluhu Hassani.
Shida ya watanzania siyo katiba mpya na Wala ukija vijijini kwetu huku Hakuna anayelia Wala kuwa na mahitaji ya katiba na Wala hawana habari na katiba na Wala haiwagusi katika suala la mbolea ,Bei za mazao yao Wala Elimu au Afya au Miundombinu au ajira kwa vijana vitu ambavyo Rais Samia amevigusa na kuvipatia majibu yaliyoleta Tabasamu mioyoni mwao na kuinua matumaini kwao.
Jiulize wewe unayesoma hapa kuwa Ni lini mama yako au Bibi yako kule kijijini alikuomba umtumie katiba? Lini alikuomba umtumie na kumsaidia kuipata rasimu ya warioba?
Hayo siyo Mahitaji ya watanzania ndugu zangu,Mahitaji ya watanzania Ni Yale ayafanyayo Rais Samia na serikali yake Kama vile kuwapatia watanzania maji Safi na salama,Elimu bure na Bora,ajira na mikopo ya Elimu ya juu kwa vijana,mbolea za Ruzuku,huduma Bora za Afya,uwepo wa madawa mahospitalini,vitendea kazi na wataalamu wa Afya,mazingira mazuri ya biashara,maslahi Bora na mazingira mazuri kwa watumishi wa umma,kutendeka kwa haki kwa kila mwenye kuhitaji haki,Usawa katika utolewaji wa huduma na mgao wa keki ya Taifa.
Sasa baada ya kuwa Rais Samia amekata kiu ya watanzania kwa kuwapatia wanachohitaji na kupata uungwaji mkono iliyopelekea watanzania kuwatupilia mbali wapinzani, imepelekea chadema wachanganyikiwe na kuanza kuwatukana watanzania bila sababu za msingi,Nasema na bado maana Moto wa mama Samia utachoma kila kichaka na kuteketeza vyama vyote vya kibabaishaji vilivyokuwa Kama miradi ya watu kujipatia Ruzuku,vinakwenda kusambaratika muda siyo mrefu.
Kazi Iendeleee , mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.
0742-676627
punguaniNdugu zangu watanzania,
Baada ya matarajio ya Chadema kuwa tofauti na kupokelewa tofauti na watanzania na kupuuzwa na watanzania katika harakati zao kutokana na kukosa hoja na Sera za kuwashawishi na kugusa maisha Yao wameanza kuwatupia watanzania lugha za udhalilishaji kwa kusema watanzania Ni waoga na wavivu.
Chadema wameanza mikutano Yao kwa porojo pasipo Sera Wala ajenda Wala hoja zenye kugusa maisha ya watanzania na kufikiri kuwa ndio Mahitaji ya watanzania na kupelekea kukosa uungwaji mkono, kutokana na kukuta kazi kubwa imefanywa na mh Rais wetu mpendwa mama Samia suluhu Hassani.
Shida ya watanzania siyo katiba mpya na Wala ukija vijijini kwetu huku Hakuna anayelia Wala kuwa na mahitaji ya katiba na Wala hawana habari na katiba na Wala haiwagusi katika suala la mbolea ,Bei za mazao yao Wala Elimu au Afya au Miundombinu au ajira kwa vijana vitu ambavyo Rais Samia amevigusa na kuvipatia majibu yaliyoleta Tabasamu mioyoni mwao na kuinua matumaini kwao.
Jiulize wewe unayesoma hapa kuwa Ni lini mama yako au Bibi yako kule kijijini alikuomba umtumie katiba? Lini alikuomba umtumie na kumsaidia kuipata rasimu ya warioba?
Hayo siyo Mahitaji ya watanzania ndugu zangu,Mahitaji ya watanzania Ni Yale ayafanyayo Rais Samia na serikali yake Kama vile kuwapatia watanzania maji Safi na salama,Elimu bure na Bora,ajira na mikopo ya Elimu ya juu kwa vijana,mbolea za Ruzuku,huduma Bora za Afya,uwepo wa madawa mahospitalini,vitendea kazi na wataalamu wa Afya,mazingira mazuri ya biashara,maslahi Bora na mazingira mazuri kwa watumishi wa umma,kutendeka kwa haki kwa kila mwenye kuhitaji haki,Usawa katika utolewaji wa huduma na mgao wa keki ya Taifa.
Sasa baada ya kuwa Rais Samia amekata kiu ya watanzania kwa kuwapatia wanachohitaji na kupata uungwaji mkono iliyopelekea watanzania kuwatupilia mbali wapinzani, imepelekea chadema wachanganyikiwe na kuanza kuwatukana watanzania bila sababu za msingi,Nasema na bado maana Moto wa mama Samia utachoma kila kichaka na kuteketeza vyama vyote vya kibabaishaji vilivyokuwa Kama miradi ya watu kujipatia Ruzuku,vinakwenda kusambaratika muda siyo mrefu.
Kazi Iendeleee , mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.
0742-676627
Umenifurahisha sana mtani kwa hii nondo. Kumbe wewe ni akili kubwa.Kaka mkeka wa ma DC umetoka peupe, sasa hasira zimehamia kwa Chadema tena?
Wenzako hawaongei neno hata moja, wanateuliwa. Wewe umemaliza maneno yote na namba juu, ila bado huonekani!!!
Tupo kwa pembeni tuna wasolola!Ndugu zangu watanzania,
Baada ya matarajio ya Chadema kuwa tofauti na kupokelewa tofauti na watanzania na kupuuzwa na watanzania katika harakati zao kutokana na kukosa hoja na Sera za kuwashawishi na kugusa maisha Yao wameanza kuwatupia watanzania lugha za udhalilishaji kwa kusema watanzania Ni waoga na wavivu...
Watz wana aksi hili lundo la waliopata Zero.Mwenyekiti wa Chadema mh Mbowe amesema Watanzania ni Wavivu wanategemea kila kitu afanye Tundu Lisu na Mbowe
Kwa utaratibu huu hata Katiba mpya itakuwa ngumu kuupata, amesema
Wananchi ni lazima mtumie WINGI wenu kuibana Serikali itekeleze matarajio yenu vinginevyo mtaendelea Kuwa Walalamikaji wa kudumu, amesisitiza Mbowe katika mkutano wa hadhara Temeke
Una uzalendo gani wewe si Machawa tu kazini!Ndugu zangu watanzania,
Baada ya matarajio ya Chadema kuwa tofauti na kupokelewa tofauti na watanzania na kupuuzwa na watanzania katika harakati zao kutokana na kukosa hoja na Sera za kuwashawishi na kugusa maisha Yao wameanza kuwatupia watanzania lugha za udhalilishaji kwa kusema watanzania Ni waoga na wavivu.
Chadema wameanza mikutano Yao kwa porojo pasipo Sera Wala ajenda Wala hoja zenye kugusa maisha ya watanzania na kufikiri kuwa ndio Mahitaji ya watanzania na kupelekea kukosa uungwaji mkono, kutokana na kukuta kazi kubwa imefanywa na mh Rais wetu mpendwa mama Samia suluhu Hassani.
Shida ya watanzania siyo katiba mpya na Wala ukija vijijini kwetu huku Hakuna anayelia Wala kuwa na mahitaji ya katiba na Wala hawana habari na katiba na Wala haiwagusi katika suala la mbolea ,Bei za mazao yao Wala Elimu au Afya au Miundombinu au ajira kwa vijana vitu ambavyo Rais Samia amevigusa na kuvipatia majibu yaliyoleta Tabasamu mioyoni mwao na kuinua matumaini kwao.
Jiulize wewe unayesoma hapa kuwa Ni lini mama yako au Bibi yako kule kijijini alikuomba umtumie katiba? Lini alikuomba umtumie na kumsaidia kuipata rasimu ya warioba?
Hayo siyo Mahitaji ya watanzania ndugu zangu,Mahitaji ya watanzania Ni Yale ayafanyayo Rais Samia na serikali yake Kama vile kuwapatia watanzania maji Safi na salama,Elimu bure na Bora,ajira na mikopo ya Elimu ya juu kwa vijana,mbolea za Ruzuku,huduma Bora za Afya,uwepo wa madawa mahospitalini,vitendea kazi na wataalamu wa Afya,mazingira mazuri ya biashara,maslahi Bora na mazingira mazuri kwa watumishi wa umma,kutendeka kwa haki kwa kila mwenye kuhitaji haki,Usawa katika utolewaji wa huduma na mgao wa keki ya Taifa.
Sasa baada ya kuwa Rais Samia amekata kiu ya watanzania kwa kuwapatia wanachohitaji na kupata uungwaji mkono iliyopelekea watanzania kuwatupilia mbali wapinzani, imepelekea chadema wachanganyikiwe na kuanza kuwatukana watanzania bila sababu za msingi,Nasema na bado maana Moto wa mama Samia utachoma kila kichaka na kuteketeza vyama vyote vya kibabaishaji vilivyokuwa Kama miradi ya watu kujipatia Ruzuku,vinakwenda kusambaratika muda siyo mrefu.
Kazi Iendeleee , mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.
0742-676627
Hivi,huwa unajiona kama unahutubia mkutano vile?Very "minute" mindset!Luca kama Lucas!ππππNdugu zangu watanzania,
Baada ya matarajio ya Chadema kuwa tofauti na kupokelewa tofauti na watanzania na kupuuzwa na watanzania katika harakati zao kutokana na kukosa hoja na Sera za kuwashawishi na kugusa maisha Yao wameanza kuwatupia watanzania lugha za udhalilishaji kwa kusema watanzania Ni waoga na wavivu.
Chadema wameanza mikutano Yao kwa porojo pasipo Sera Wala ajenda Wala hoja zenye kugusa maisha ya watanzania na kufikiri kuwa ndio Mahitaji ya watanzania na kupelekea kukosa uungwaji mkono, kutokana na kukuta kazi kubwa imefanywa na mh Rais wetu mpendwa mama Samia suluhu Hassani.
Shida ya watanzania siyo katiba mpya na Wala ukija vijijini kwetu huku Hakuna anayelia Wala kuwa na mahitaji ya katiba na Wala hawana habari na katiba na Wala haiwagusi katika suala la mbolea ,Bei za mazao yao Wala Elimu au Afya au Miundombinu au ajira kwa vijana vitu ambavyo Rais Samia amevigusa na kuvipatia majibu yaliyoleta Tabasamu mioyoni mwao na kuinua matumaini kwao.
Jiulize wewe unayesoma hapa kuwa Ni lini mama yako au Bibi yako kule kijijini alikuomba umtumie katiba? Lini alikuomba umtumie na kumsaidia kuipata rasimu ya warioba?
Hayo siyo Mahitaji ya watanzania ndugu zangu,Mahitaji ya watanzania Ni Yale ayafanyayo Rais Samia na serikali yake Kama vile kuwapatia watanzania maji Safi na salama,Elimu bure na Bora,ajira na mikopo ya Elimu ya juu kwa vijana,mbolea za Ruzuku,huduma Bora za Afya,uwepo wa madawa mahospitalini,vitendea kazi na wataalamu wa Afya,mazingira mazuri ya biashara,maslahi Bora na mazingira mazuri kwa watumishi wa umma,kutendeka kwa haki kwa kila mwenye kuhitaji haki,Usawa katika utolewaji wa huduma na mgao wa keki ya Taifa.
Sasa baada ya kuwa Rais Samia amekata kiu ya watanzania kwa kuwapatia wanachohitaji na kupata uungwaji mkono iliyopelekea watanzania kuwatupilia mbali wapinzani, imepelekea chadema wachanganyikiwe na kuanza kuwatukana watanzania bila sababu za msingi,Nasema na bado maana Moto wa mama Samia utachoma kila kichaka na kuteketeza vyama vyote vya kibabaishaji vilivyokuwa Kama miradi ya watu kujipatia Ruzuku,vinakwenda kusambaratika muda siyo mrefu.
Kazi Iendeleee , mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.
0742-676627