Mkunazi Njiwa
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 8,538
- 7,559
[emoji1787][emoji1787]Wazalendo wako wengi mno , nyie wachumia tumbo mko wachache sana
Mkuu karibu tena JukwaaniHilo bichwa lako na bichwa la mbwa tofauti ni muonekano tu, vilivyomo ndani ya bichwa lako na kwenye bichwa la mbwa vinafanana
Hakuna kitu kama hicho....kwani lile genge wanalotuhumiwa akina mh.Polepole nalo lipo?!!!Msoga gang
Slaa alinunuliwa na ccm kupitia tawi la Tiss kwa udalali wa Mwakyembe , ushahidi wote uko hapahapa jf[emoji1787][emoji1787]
Simzidi mh.Mbowe "mzee wa kubadilisha gia angani"....alilamba kwa mzee Lowassa na akawa radhi kuona akina Dr.Slaa na Lipumba wakiikimbia UKAWA....
Si tu hizi bilioni 2....kamarada Mbowe mzoefu sana wa hayo mambo.....
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Tanzania hii kila mbulula ana uwezo wa kuita waandishi wa habari akaongea na kesho akaonekana magazetini au mitandaoni.Akihojiwa na vyomba vya Habari vya Kimataifa huko Ulaya kwenye ziara yake ya Kikazi , kuhusu Kuuzwa kwa Bandari za Tanzania kwa Waarabu wa Dubai, Freeman Mbowe ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chadema alisema hivi, Nanukuu,
"It is a Shame that people can get our country in such a mess. I asked the Press to save our nation from this Shame by Withdrawing the Intention to go into that kind of a contract." mwisho wa kunukuu.
Toa Maoni yako.
=======
View attachment 2657284
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Slaa alinunuliwa na ccm kupitia tawi la Tiss kwa udalali wa Mwakyembe , ushahidi wote uko hapahapa jf
Mbowe hakuita Waandishi , ila yeye ndiye amefuatwa kutokana na umaarufu wake DunianiTanzania hii kila mbulula ana uwezo wa kuita waandishi wa habari akaongea na kesho akaonekana magazetini au mitandaoni.
Mbowe mzee wa bapa, anajichukulia points muda huu kwa hoja nyepesi sana.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mbowe hakuita Waandishi , ila yeye ndiye amefuatwa kutokana na umaarufu wake Duniani
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Tanzania hii kila mbulula ana uwezo wa kuita waandishi wa habari akaongea na kesho akaonekana magazetini au mitandaoni.
Mbowe mzee wa bapa, anajichukulia points muda huu kwa hoja nyepesi sana.
Huna hata ujualo zaidi ya kutumika , nakutabiria kukimbia jukwaa muda si mrefu kama walivyokimbia chawa wengine[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Bilioni 2 kibindoni....
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Hiv hujavisoma vifungu mpaka muda huu mkuu. Kuwa serious basiManeno kila mtu anaweza kuongea. Muulize how kwa mujibu wa mkataba akupe na vifungu kama atakuwa na jibu
Nimevisoma ila sijaona kifungu cha ku surrender our sovereignty. Wewe ambae pia umesoma vifungu niambie kifungu gani kime surrender our sovereignty?Hiv hujavisoma vifungu mpaka muda huu mkuu. Kuwa serious basi
Hapo muondoe kulwa jilala huyu ni mlinda legacy pure wala hataki kusikia kuhusu awamu hii 🤣🤣🤣🤣Hahaha..
Bila kusahau ma CHAWA sugu kama akina Mkunazi Njiwa, Magonjwa Mtambuka, Kulwa Jilala, Lucas mwashambwa, nk
Nilijua mtatoka mapangoni 🤣🤣 chezea payroll wewe!!Huyo mbowe ni failure toka shule, ataelewa wapi kilichomo kwenye mkataba? Anafikiri IGA ni kupiga mziki watu wakatike?
Shule alienda kusomea ujinga.
Subal'kheri chawa wa mama!!Anatumika...
Anatumiwa....
Dhidi ya waarabu....
Mbowe ni mjinga sana....
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Minka wa minkum....shukran jazila yaaa akhui! [emoji120]Subal'kheri chawa wa mama!!
Billion 2. 9 za ruzuku ziko wapi?
Hayo mamikopo ya mama yenu Kila siku...
Waarabu wamemzidi akili.....
Wamefanya butter trade system ya kibabe....kiuchumi...ya kuupora uchumi wa Tanganyika....!
Uchumi wa Tanganyika sasa mfukoni mwa ka-Emirate ka Dubai. Dah!
Hivi nani mshauri wa huyu mama aisee! Inauma saana!
Acha ukuda basi 🤣🤣🤣🤣Minka wa minkum....shukran jazila yaaa akhui! [emoji120]
Mwezi wa 7 insh'Allah tunakwenda Makunduchi kutambika sherehe za kuoga mwaka "mwakakogwa" karibu mkuu wangu [emoji1787][emoji1787]
#MuunganoUdumuMileleAmin[emoji120]
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app