Mbowe: We are surrendering our Sovereignty to Dubai

Mbowe: We are surrendering our Sovereignty to Dubai

Kwani wewe ni kiziwi? Mkataba ulisomwa pale bungeni pia. Hata kama pengine una shida na uwezo wa kusoma, ulishindwa hata kusikia?

Machache tu yaliyopo kwenye mkataba:

1. Serikali italazimika kuwapa DP eneo lolote la ardhi watakalolihitaji kwa shughuli za bandari.

2. Ukomo wa mkataba ni wakati shughuli zilizoridheshwa kwenye mkataba zitakapokoma. Maana yake hakuna ukomo.

3. Kuuvunja mkataba ni mpaka pande zote zikubaliane, na hakuna mahali imeelezwa mambo gani yakifanyika au yasipofanyika, mkataba utalazimika kuvunjwa.

4. Serikali itahakikisha mkataba hauathiriki hata kama sheria za nchi au serikali vitabadilika.

5. Serikali italazimika kutoa unafuu wa kodi kwa shughuli zinazofanywa na DP. Hii maana yake tubadilishe sheria zetu za kodi kwa sababu ya DP.

6. Hukumu ya disputes itafanyika na mahakama ya South Afrika kwa kutumia sheria za UK, wakati sheria zetu za nchi zinasema disputes zote zinazohusiana na rasilimali zetu zitaamliwa na mahakama za ndani kwa kutumia sheria za nchini mwetu. Kwa hiyo tutalazimika kubadilisha sheria hiyo kama wanavyotaka hawa waarabu. Hii ina maana sasa ni DP ndio wenye maamuzi juu ya sheria zetu ziwe namna gani ili zifuate matakwa yao DP. Huko ni kupoteza mamlaka ya nchi kama Taifa huru kwenye maamuzi yake.

7. Hakuna sehemu ambayo mkataba unatamka uwekezaji wa DP ni kiasi gani mpaka kufikia ku-dilute uwekezaji uliofanywa na Tanzania kuwa zero percent. Inawezekana vipi, bandari ambayo nchi imewekeza mabilioni ya pesa, halafu nchi iwe na umiliki wa zero percent? Huu si upumbavu wa hali ya juu na wa pekee?

Kanuni ya umiliki wa miradi, ili wewe uwe na 90% ni lazima uwekezaji wako uwe mara tisa zaidi ya uwekezaji wangu. Huwezi kutoka ulikotoka na upumbavu wako, mahali mimi nimewekeza trillioni 10, wewe unakuja na vibilioni 700, halafu unasema kwamba wewe utakuwa na umiliki wa 100%. Halafu mimi niseme ni sawa. Ndiyo maana tunasema bunge hilo lililoridhia limejaa mijitu mijinga, punguani wa akili na maarifa, iliyojaa uwendawazimu ambao haujawahi kuonekana mahali popote Duniani.
1. Kifungu cha ngapi kinasema hivyo?
2. Shuguli zipi hizo? Zimesemwa kwenye kifungu kipi?
3. Unaelewaje wanaposema watatumia mabaraza ya usuluhishi ya Afrika kusini?

4. Mbona mikataba mingi inasema hivyo? Kiwanda cha Urafiki mkataba aliingia nyerere ila Serikali zote zimerithi mkataba huo

5. Kifungu cha ngapi kimesema hivyo?

6. Hoja yako no 3 na no 6 mbona zinakizanza? Unajielewa kweli? Kama hakuna kuvunja mkataba kwa nini wapelekane mahakamani? Wanaenda mahakamani kuangalia tamthilia?

Alafu huu ni mkataba wa nchi na nchi ! Kiuzoefu mikataba hii inapendekeza kutumia sheria za neutral part linapokuja suala la mgogoro hivyo hilo sio jambo geni.

7. Mkataba huu ni IGA. Hayo unayosema yanapaswa kuwepo kwenye HGA hivyo hoja yako haina mashiko
 
Mama akubali kwenye hili aliteleza, sijui alilishwa urojo wa namna gani hadi akajikuta anasaini huo mkataba wa kishenzi namna hii.

Kwa hili Mama kapuyanga mno na ni doa tayari katika uongozi.
Hata wewe kamarada Nyboma....hata wewe?!!![emoji15][emoji15][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Hii kweli ni vita kubwa....



Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Wewe chawa unauzwa huku unajiona na huyo bibi yenu,
Wewe wala huna shida na CCM...wewe una shida na urais wa Mh.Samia....

Ulimpenda sana JPM lakini ndiye aliyempendekeza mh.Rais Samia kuwa makamu wake.....Sasa so kosa la mh.Samia.....

Badilikeni....siasa za ukanda na ukabila haziwasaidii....

Mbona sisi wengine tulikuwa pamoja KIPINDI cha JPM...pamoja na yote tuliyopitia?!!!

Tulijua ni "collective responsibility" na tulikuwa na ulazima wa kumtii mwenyekiti wetu wa chama na Rais....

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Wewe wala huna shida na CCM...wewe una shida na urais wa Mh.Samia....

Ulimpenda sana JPM lakini ndiye aliyempendekeza mh.Rais Samia kuwa makamu wake.....Sasa so kosa la mh.Samia.....

Badilikeni....siasa za ukanda na ukabila haziwasaidii....

Mbona sisi wengine tulikuwa pamoja KIPINDI cha JPM...pamoja na yote tuliyopitia?!!!

Tulijua ni "collective responsibility" na tulikuwa na ulazima wa kumtii mwenyekiti wetu wa chama na Rais....

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Kwa hiyo mlipokuwa mnamshambulia Magufuli mlikuwa hamjui kuhusu ccm?

Msiwe wapumbavu. Na bado ngoja muwe watumwa wa mwarabu
 
Nchi ishakuwa ya waarabu. Sasa wanatamba tu ma-g-wagon mjini!
Matusi hayo...

Unajitukana...

Unawatukana watz...

Unalitukana taifa lako....

Kuuzwa?!!!

Umerejea maneno yale ya Mbowe ?!!!

Katiba inasemaje kipengele cha nchi kuuzwa kwa rejea ya maneno ya Mbowe....tuwekee kipengele hicho hapa....

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Hayo mamikopo ya mama yenu Kila siku...
Waarabu wamemzidi akili.....

Wamefanya butter trade system ya kibabe....kiuchumi...ya kuupora uchumi wa Tanganyika....!

Uchumi wa Tanganyika sasa mfukoni mwa ka-Emirate ka Dubai. Dah!

Hivi nani mshauri wa huyu mama aisee! Inauma saana!
Yule mshauri wa Mufti hajawahi kuwa mshauri wa mama?
 
Huu hapa ushahidi...

CDU....

Chama rafiki cha akina Mbowe....

Unajua wazazi wa Mbowe walipata Fedha kwa sababu zipi?!!!

Wajerumani.....

Wakati wa ukoloni mzee Aikaeli aliwapa ramani za maeneo ya raslimali....ni mambo makubwa sana kijana wangu....

Mbowe abadilike.....

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Hapo umeweka ushahidi gani zaidi ya speculations, nilidhani ungeelezea kiasi cha fedha wanazopewa na kwa njia zipi.
Kabla hujamalizia la Chadema umejichanganya na la familia ya Mbowe.
Hakuna ushahidi hapa ni porojo za kijiweni.
 
Huyo mbowe ni failure toka shule, ataelewa wapi kilichomo kwenye mkataba? Anafikiri IGA ni kupiga mziki watu wakatike?

Shule alienda kusomea ujinga.
Halafu kibaya zaidi anakula kitimoto
 
Huyu ndio wale wafuasi wa Polepole ambao ndoto zao ni kwamba atokee mtu kama Magufuli mwingine atese Wapinzani na amrudishe Mbowe gerezani.

Hatujasahau
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Polepole bwana....

Ndg.Polepole alikuwa na mambo ya ajabu sana....

CCM si chama cha kukurupukia mambo.....

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom