battawi
JF-Expert Member
- Mar 29, 2014
- 2,712
- 2,577
Hna shukurani, anadhani watu niwajinga kama yeye.Mbowe yupo sahihi.
Mkataba huu una maslahi makubwa kwa TZ na si kuuzwa kwa bandari bali DP Wold kuindesha Bandari ya Dar
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hna shukurani, anadhani watu niwajinga kama yeye.Mbowe yupo sahihi.
Baadae ukijifungua utanielewa hakuna shidaMirembe imejaa....wengine mmetorokea JF..
Dunia hii unasema wanawake hawana akili ?!!![emoji1787][emoji1787]
Acha kumtukana dada yangu Tusekelege Erythrocyte......
Aibu kubwa uliyonayo ..
Misogyny
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Toa connection ya kusifia sifia kuna ma layman and dormant wanataka hiyo kazi!!CCM imejaa vijana makini....
Weka kipengele cha katiba dhidi ya maneno ya Mbowe "surrendering of sovereignty".....[emoji1787]
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Unategemea nini kutoka kwa "form 6 failure" aliyekimbilia UDJ?!!![emoji1787][emoji1787]
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Hivi Dubai ni nchi(country) au Mji Dola(City state)?
Na kama ni nchi mbona Tanzania hatuna Balozi wa Tanzania nchini Dubai? Ila yupo Balozi wa Tanzania katika Falme za Kiarabu yaani United Arab Emirates!
Note: Kwenye Mkataba tumeandikiwa kuwa Dubai ni nchi!!
Kwahiyp hapa ndio umejibu swali dogo tu linalohusu muda uliloulizwa na "mjinga"?Ulivyo mjinga unajua hata maana ya IGA? Uaongeleje ukomo kwenye IGA? Hivi unajua hata maana ya IGA?
Watafute wanaokulisha hayo matango pori waulize nini tofauti ya IGA na HGA alafu njoo hapa
Bora hata wewe umejitutumua kujibu kwa ufasaha, japo jibu lako ni wrong!.Mie nimekiona kina mwaka mmoja tu.
Nyie ni kundi.la mazezeta tu mnaobebana humu ndani.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]wewe ndo yule askari Mzenji aliyelichafua Taifa kwa vitendo vya kijinga. hivi bado upo kazini?
Sawa basi! Utekelezaji ulianza Oktoba 2022. Tuambie wewe lipi limetekelezwa kwenye huo utekelezaji mtaalamu?Kwahiyp hapa ndio umejibu swali dogo tu linalohusu muda uliloulizwa na "mjinga"?
Kwamba kwako IGA na HGA ndio majibu yanayohusu muda niliokuuliza?
Hujui huo mkataba umeanza utekelezaji since October 2022?!
Wewe sasa umekuwa chawa wa bei rahisi sana, huna lolote kichwani.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kiinglish cha Mbowe ni tofauti kabisa na cha Ndalichako mwenye PhD 🥲
Hebu tujikumbushe
PhD za mchongo nilikuwa nafikiri ni kwa Msukuma tu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wakat wowote itapigwa mnada
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hiyo tecno inajuta, kuna siku itakugomea kutype huo utopolo.
Umoja Party imeishia wapi?Wewe chawa unauzwa huku unajiona na huyo bibi yenu,
Mshauri wake ni jkHayo mamikopo ya mama yenu Kila siku...
Waarabu wamemzidi akili.....
Wamefanya butter trade system ya kibabe....kiuchumi...ya kuupora uchumi wa Tanganyika....!
Uchumi wa Tanganyika sasa mfukoni mwa ka-Emirate ka Dubai. Dah!
Hivi nani mshauri wa huyu mama aisee! Inauma saana!
Ndio itafanya huyu bibiako asikuuze kwa waraabu?Umoja Party imeishia wapi?
Kapewa ubavu na Katiba hii mbovu wewe utafanyaje?Ndio itafanya huyu bibiako asikuuze kwa waraabu?