Mkunazi Njiwa
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 8,538
- 7,559
Dalali huyo....Asante mbowe,huwa nakupinga kwa vingi
Kwa hili Mungu akubariki
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dalali huyo....Asante mbowe,huwa nakupinga kwa vingi
Kwa hili Mungu akubariki
[emoji1787][emoji1787]Nenda msitu wa Shakahola[emoji1787][emoji1787]
Domo mali yako....Nchi inaendeshwa na remote control.....simlaumu sana.....maana yuko hapo coincidence tu!....
maana alieianzisha ile safari kuelekea nchi ya asali na maziwa.....nae....safari ilimkuta.....katikati ya safari.......alisafirishwa ghafla...Tumebaki jangwani
Hiyo tecno inajuta, kuna siku itakugomea kutype huo utopolo.Mbowe ANATUMIKA maslahi ya nani ?!!!
Katika uwekezaji wa ARAB CONTRACTORS...walikwenda kuongea na chama rafiki cha ujerumani "CDU"....chama kikalobby bunge lao "bundestag" waishinikize serikali ya Tanzania ijitoe katika ujenzi wa BWAWA LA UMEME mwalimu Nyerere kwa hoja kuwa Tanzania inaharibu mazingira....
Tanzania "think tankers" wakawaridhisha UNESCO kuwa tutatumia tu 3% ya eneo lile...97% intacts....[emoji1787][emoji1787]
Wajerumani CDU wakapiga mwereka chini.......
Ilikuja kufahamika kuwa "hawataki" Tanzania iwe na umeme wa uhakiki ...watauza wapi MAJENERETA yao ?!!!!
Si hilo tu ,ikaja kufahamika kuwa "wakoloni wetu" wanaogopeshwa na kasi ya JPM kutia nia ya ujenzi wa viwanda kwa kuanzia vidogo....
Katika hili la uwekezaji wa DP WORLD nyuma yake kuna kitisho gani cha maslahi ya "wenye maguvu" DUNIANI?!!!
Je ni mashirika ya wachina?!!!
Je misuguano ya EU na Marekani katika biashara imeamkia dhidi ya uwekezaji huu wa DP WORLD?!!!!
MBOWE ANAWATUMIKIA AKINA NANI?!!!
Kama anaweza "kukunja" bilioni 2 za ruzuku atashindwaje kuwa dalali wa kupokea "maEURO"?!!![emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
#SiempreJMT[emoji120]
#MamaAnaupigaMwingi[emoji120]
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Argumentum ad hominem....Hiyo tecno inajuta, kuna siku itakugomea kutype huo utopolo.
Ulivyo mjinga unajua hata maana ya IGA? Uaongeleje ukomo kwenye IGA? Hivi unajua hata maana ya IGA?Tatizo wewe ni mvivu usiyetaka kujishughulisha, unataka uwekewe kila kitu hapa, huo mkataba upo huku, utafute ukiuona uje kutu prove wrong tunaosema mkataba ni mbovu.
Nakupa area of concentration; anza kutu-prove wrong kwenye kipengele cha muda wa mkataba, ukikuta mkataba una kikomo njoo hapa tuite waongo, sisi tunasema ni wa milele, utuoneshe na hicho kipengele kinacho tu prove wrong.
Lakini sio ujikalishe tu hapo kwa huu ujinga wako, utake kuletewa kila kitu, utazidi kunenepeana uwe zezeta kabisa.
Mashindano ya Sweden yaliisha salama?Akihojiwa na vyomba vya Habari vya Kimataifa huko Ulaya kwenye ziara yake ya Kikazi , kuhusu Kuuzwa kwa Bandari za Tanzania kwa Waarabu wa Dubai, Freeman Mbowe ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chadema alisema hivi, Nanukuu,
"It is a Shame that people can get our country in such a mess. I asked the Press to save our nation from this Shame by Withdrawing the Intention to go into that kind of a contract." mwisho wa kunukuu.
Toa Maoni yako.
=======
View attachment 2657284
Sikiliza ufafanuzi hapa...
👇
Mie nimekiona kina mwaka mmoja tu.Tatizo wewe ni mvivu usiyetaka kujishughulisha, unataka uwekewe kila kitu hapa, huo mkataba upo huku, utafute ukiuona uje kutu-prove wrong tunaosema mkataba ni mbovu.
Nakupa area of concentration; anza kutu-prove wrong kwenye kipengele cha muda wa mkataba, ukikuta mkataba una kikomo njoo hapa tuite waongo, sisi tunasema ni wa milele, utuoneshe na hicho kipengele kinacho tu prove wrong.
Lakini sio ujikalishe tu hapo kwa huu ujinga wako, utake kuletewa kila kitu, utazidi kunenepeana uwe zezeta kabisa.
Atajua wapi "zamwamwa" huyo.....Ulivyo mjinga unajua hata maana ya IGA? Uaongeleje ukomo kwenye IGA? Hivi unajua hata maana ya IGA?
Watafute wanaokulisha hayo matango pori waulize nini tofauti ya IGA na HGA alafu njoo hapa
Walikwenda kusomea "LGBT"....Kuna ufafanuzi gani hapo zaidi ya maneno matupu tu??
Kwa hiyo nyie hamuwezi kusoma mnaokoteza maneno ya watu ndo mnadai ufafanuzi?
Hao wazazi wenu waliwapeleka shule kweli?
kamuulize mamako na bwanako kule chato lile jiz na jambaz sugu la kura.Billion 2. 9 za ruzuku ziko wapi?
Sweden alipokuwa balozi Dr.Slaa....amerudi anajiropokea tu....sijui "to how extent people are being dehumanized" huko....[emoji1787]Mashindano ya Sweden yaliisha salama?
Bwana wangu "ameshakufa" Rip amen[emoji120]kamuulize mamako na bwanako kule chato lile jiz na jambaz sugu la kura.
Samia alikosea sana kufungua mlango wa demokrasia kwa CHADEMA. sasa analipa. Mbowe alipokuwa amebanwa na kesi za magu alikuwa na adabu sana.Akihojiwa na vyomba vya Habari vya Kimataifa huko Ulaya kwenye ziara yake ya Kikazi , kuhusu Kuuzwa kwa Bandari za Tanzania kwa Waarabu wa Dubai, Freeman Mbowe ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chadema alisema hivi, Nanukuu,
"It is a Shame that people can get our country in such a mess. I asked the Press to save our nation from this Shame by Withdrawing the Intention to go into that kind of a contract." mwisho wa kunukuu.
Toa Maoni yako.
=======
View attachment 2657284
Unategemea nini kutoka kwa "form 6 failure" aliyekimbilia UDJ?!!![emoji1787][emoji1787]Yupo sahihi ila kwenye lugha nadhani alipaswa aseme; "We surrender our sovereignty--" badala ya; "We are surrendering our sovereignty ---", refer stative verbs. [emoji1787][emoji1787]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Samia alikosea sana kufungua mlango wa demokrasia kwa CHADEMA. sasa analipa. Mbowe alipokuwa amebanwa na kesi za magu alikuwa na adabu sana.
Kabisa mkuu hajui kuwa UKIONA VYAELEA VIMEUNDWA.[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mbowe si mstaarabu.......
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app