Mbowe: We are surrendering our Sovereignty to Dubai

Mbowe: We are surrendering our Sovereignty to Dubai

Natakiwa kusamehe saba mara sabini, lakini kwa huyu mama msaliti aliyenipeleka utumwani arabuni hakika bado roho yangu ni nzito sana..
 
Kiinglish cha Mbowe ni tofauti kabisa na cha Ndalichako mwenye PhD 🥲

Hebu tujikumbushe


PhD za mchongo nilikuwa nafikiri ni kwa Msukuma tu.
Lengo lako nililijua jana, huwezi kutuondoa kwenye reli, mama yako ni msaliti.
 
Kuna shida gani ukiweka hivyo vifungu unavyosema tume surrender our sovereignty? Matusi hayakusaidii
Hivi kweli kabisa kutoka ndani ya nafsi yako unaamini Samia anaonewa kwa unyama aliotufanyia?

Kwamba unaamini kila mtu, kila mahali, wote kwa pamoja wana chuki binafsi dhidi ya Samia?

Nakutolea lugha mbovu kwasababu kuna maswali nilishakuuliza jana kuhusu huo mkataba mbovu ukashindwa kujibu, lakini ajabu, bado unautetea tu.

Zaidi nikagundua kumbe hujui hata maana ya MoU na Preliminary Agreement kisheria, sasa mtu kama wewe unapata wapi mandate ya kumtetea Samia kwa ujinga wako kisheria?
 
Akihojiwa na vyomba vya Habari vya Kimataifa huko Ulaya kwenye ziara yake ya Kikazi , kuhusu Kuuzwa kwa Bandari za Tanzania kwa Waarabu wa Dubai, Freeman Mbowe ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chadema alisema hivi, Nanukuu,

"It is a Shame that people can get our country in such a mess. I asked the Press to save our nation from this Shame by Withdrawing the Intention to go into that kind of a contract." mwisho wa kunukuu.

Toa Maoni yako.

=======

View attachment 2657284
Huyu mzee bana
 
Hivi kweli kabisa kutoka ndani ya nafsi yako unaamini Samia anaonewa kwa unyama aliotufanyia?

Kwamba unaamini kila mtu, kila mahali, wote kwa pamoja wana chuki binafsi dhidi ya Samia?

Nakutolea lugha mbovu kwasababu kuna maswali nilishakuuliza jana kuhusu huo mkataba mbovu ukashindwa kujibu, lakini ajabu, bado unautetea tu.

Zaidi nikagundua kumbe hujui hata maana ya MoU na Preliminary Agreement kisheria, sasa mtu kama wewe unapata wapi mandate ya kumtetea Samia kwa ujinga wako kisheria?
Hadi saivi unapiga tu maneno matupu badala ya kuweka hivyo vipengele vinavyoonesha tumepoteza our sovereignty. Sasa kati ya mimi na wewe nani anapaswa kutolewa lugha mbovu?

Mimi sio kilaza kama wewe eti niamini tu maneno matupu wanayosema watu bila uthibitisho na maelezo ya uhakika
 
Is it embezzlement ?!!!

Mbowe is accused of the embezzlement..... burglary of 2 billion Tanzania shillings....[emoji1787]

I thought he would correct the "mal" air unfortunately he still insisting misdemeanor of the government on the decision over TPA investments...[emoji1787]

This time Mbowe has been trapped on the net......


SCUM




Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Akihojiwa na vyomba vya Habari vya Kimataifa huko Ulaya kwenye ziara yake ya Kikazi , kuhusu Kuuzwa kwa Bandari za Tanzania kwa Waarabu wa Dubai, Freeman Mbowe ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chadema alisema hivi, Nanukuu,

"It is a Shame that people can get our country in such a mess. I asked the Press to save our nation from this Shame by Withdrawing the Intention to go into that kind of a contract." mwisho wa kunukuu.

Toa Maoni yako.

=======

View attachment 2657284
It is a Shame that people can get our country in such a mess. I asked the Press to save our nation from this Shame by Withdrawing the Intention to go into that kind of a contract[emoji419][emoji375]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mapyaa....

Yamerudi tenaaa.....

Ubelgiji kuna mambo....

Wanaendelea "lobbying" kwa hoja dhaifu sana...eti "DP WORLD" walikataliwa walipokataliwa kwa "allegations" za Ugaidi.....

Mbowe achana na mambo hayo....vita yake ya maneno itawachafua zaidi ya mfanyacho.....


#SiempreJMT[emoji120]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Tanzania haipangiwi cha kufanya....

Hili jambo la uwekezaji wa DP WORLD linapingwa na wadau kutoka nje....sijui kwa MASLAHI gani aliyoahidiwa mh.Mbowe.....hwenda hizo bilioni 2 ni kichele kuliko apatazo huko kwa "guru" wake.....

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom