Mbowe: We are surrendering our Sovereignty to Dubai

Mbowe: We are surrendering our Sovereignty to Dubai

Akihojiwa na vyomba vya Habari vya Kimataifa huko Ulaya kwenye ziara yake ya Kikazi , kuhusu Kuuzwa kwa Bandari za Tanzania kwa Waarabu wa Dubai, Freeman Mbowe ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chadema alisema hivi, Nanukuu,

"It is a Shame that people can get our country in such a mess. I asked the Press to save our nation from this Shame by Withdrawing the Intention to go into that kind of a contract." mwisho wa kunukuu.

Toa Maoni yako.
Hayo ndo matokeo mliyoyaita maridhiano
 
Hayo mamikopo ya mama yenu Kila siku...
Waarabu wamemzidi akili.....

Wamefanya butter trade system ya kibabe....kiuchumi...ya kuupora uchumi wa Tanganyika....!

Uchumi wa Tanganyika sasa mfukoni mwa ka-Emirate ka Dubai. Dah!

Hivi nani mshauri wa huyu mama aisee! Inauma saana!
Mkuu maneno yako ni makali mno.
 
Akihojiwa na vyomba vya Habari vya Kimataifa huko Ulaya kwenye ziara yake ya Kikazi , kuhusu Kuuzwa kwa Bandari za Tanzania kwa Waarabu wa Dubai, Freeman Mbowe ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chadema alisema hivi, Nanukuu,

"It is a Shame that people can get our country in such a mess. I asked the Press to save our nation from this Shame by Withdrawing the Intention to go into that kind of a contract." mwisho wa kunukuu.

Toa Maoni yako.
Hivi Dubai ni nchi(country) au Mji Dola(City state)?
Na kama ni nchi mbona Tanzania hatuna Balozi wa Tanzania nchini Dubai? Ila yupo Balozi wa Tanzania katika Falme za Kiarabu yaani United Arab Emirates!
Note: Kwenye Mkataba tumeandikiwa kuwa Dubai ni nchi!!
 
Hayo mamikopo ya mama yenu Kila siku...
Waarabu wamemzidi akili.....

Wamefanya butter trade system ya kibabe....kiuchumi...ya kuupora uchumi wa Tanganyika....!

Uchumi wa Tanganyika sasa mfukoni mwa ka-Emirate ka Dubai. Dah!

Hivi nani mshauri wa huyu mama aisee! Inauma saana!

Kwa comment hii inaonyesha hujui chochote kuhusu huo mkataba..
 
Billion 2. 9 za ruzuku ziko wapi?
Wewe hata kwenye suala nyeti namna hii unaleta mzaha.
Kama kweli wewe ni mzalendo na unayeipenda nchi yako huwezi kuleta mzaha kwenye suala muhimu Kama hili.
Hata Kama Mbowe humpendi kwenye hili la uuzwaji wa bandari zetu ulitakiwa uzielewe hoja za Mbowe.
Ndo maana mimi huwa nakuhisi wewe siyo Mtanzania,
 
Watupe ajenda zao za kitaifa hao akina Mbowe, Sio kufanya Siasa za matukio. Leo wapo kwenye Bandari kuuzwa vip km isingekuwa ajenda hii ya Bandari wangeongea nini
Katoa mawazo yake kama wewe ulivyoyatoa yakwako hapa.sio kila jambo uwaze ni siasa wakati nchi inaangamia.
 
Back
Top Bottom