Mbowe: We are surrendering our Sovereignty to Dubai

Mbowe: We are surrendering our Sovereignty to Dubai

Hayo mamikopo ya mama yenu Kila siku...
Waarabu wamemzidi akili.....

Wamefanya butter trade system ya kibabe....kiuchumi...ya kuupora uchumi wa Tanganyika....!

Uchumi wa Tanganyika sasa mfukoni mwa ka-Emirate ka Dubai. Dah!

Hivi nani mshauri wa huyu mama aisee! Inauma saana!
Ni jana nadhani nimeona kawateua washauri wake wengine. Nadhani kaona aliingizwa Chaka na washauri wake waliopita
 
Wazee wa siasa za matukio tena....

Hawana ajenda ya maana...wamekaa kama "fisi"....

Tukisema CHADEMA ni SACCOS tunamaanisha.....wako kwa ajili ya RUZUKU...wanachama wao wa kawaida hawalijui masikini ya mungu.....

Ushahidi ni hizi BILIONI 2....

Muulize yeyote aliyefanya kazi na Mbowe pale ufipa atakupa ushahidi wa "madudu " yake mengi......


UKIKAA KWENYE NYUMBA YA VIOO USIUTAKE UGOMVI WA MAWE

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Hadi saivi unapiga tu maneno matupu badala ya kuweka hivyo vipengele vinavyoonesha tumepoteza our sovereignty. Sasa kati ya mimi na wewe nani anapaswa kutolewa lugha mbovu?

Mimi sio kilaza kama wewe eti niamini tu maneno matupu wanayosema watu bila uthibitisho na maelezo ya uhakika
Tatizo wewe ni mvivu usiyetaka kujishughulisha, unataka uwekewe kila kitu hapa, huo mkataba upo huku, utafute ukiuona uje kutu-prove wrong tunaosema mkataba ni mbovu.

Nakupa area of concentration; anza kutu-prove wrong kwenye kipengele cha muda wa mkataba, ukikuta mkataba una kikomo njoo hapa tuite waongo, sisi tunasema ni wa milele, utuoneshe na hicho kipengele kinacho tu prove wrong.

Lakini sio ujikalishe tu hapo kwa huu ujinga wako, utake kuletewa kila kitu, utazidi kunenepeana uwe zezeta kabisa.
 
Tanzania haipangiwi cha kufanya....

Hili jambo la uwekezaji wa DP WORLD linapingwa na wadau kutoka nje....sijui kwa MASLAHI gani aliyoahidiwa mh.Mbowe.....hwenda hizo bilioni 2 ni kichele kuliko apatazo huko kwa "guru" wake.....

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Mimi sipo nje nipo Shelui, usilete ujinga hapa.
 
Kwa comment hii inaonyesha hujui chochote kuhusu huo mkataba..
Kama haya ndio maoni yako. Kwenye hili sakata.....basi tuna kizazi cha hovyo sana!!! kisichojitambua...

kinachojua kusoma....lakini hakielewi kilichosoma!...

Wewe ni kama mtoto....maana hata mtoto Anaweza kuandika.....ama hata kuchora...lakini haelewi ameandika/ama amechora nini!
 
Akihojiwa na vyomba vya Habari vya Kimataifa huko Ulaya kwenye ziara yake ya Kikazi , kuhusu Kuuzwa kwa Bandari za Tanzania kwa Waarabu wa Dubai, Freeman Mbowe ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chadema alisema hivi, Nanukuu,

"It is a Shame that people can get our country in such a mess. I asked the Press to save our nation from this Shame by Withdrawing the Intention to go into that kind of a contract." mwisho wa kunukuu.

Toa Maoni yako.

=======

View attachment 2657284
one thing we should know is that, Tanzania is a sovereign country, its not a personal company of a particular persons. so everything that we do should treat it as a country not a personal property.
 
Akihojiwa na vyomba vya Habari vya Kimataifa huko Ulaya kwenye ziara yake ya Kikazi , kuhusu Kuuzwa kwa Bandari za Tanzania kwa Waarabu wa Dubai, Freeman Mbowe ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chadema alisema hivi, Nanukuu,

"It is a Shame that people can get our country in such a mess. I asked the Press to save our nation from this Shame by Withdrawing the Intention to go into that kind of a contract." mwisho wa kunukuu.

Toa Maoni yako.

=======

View attachment 2657284


Yupo sahihi ila kwenye lugha nadhani alipaswa aseme; "We surrender our sovereignty--" badala ya; "We are surrendering our sovereignty ---", refer stative verbs. 🤣🤣
 
Ni jana nadhani nimeona kawateua washauri wake wengine. Nadhani kaona aliingizwa Chaka na washauri wake waliopita
Nchi inaendeshwa na remote control.....simlaumu sana.....maana yuko hapo coincidence tu!....

maana alieianzisha ile safari kuelekea nchi ya asali na maziwa.....nae....safari ilimkuta.....katikati ya safari.......alisafirishwa ghafla...Tumebaki jangwani
 
Akihojiwa na vyomba vya Habari vya Kimataifa huko Ulaya kwenye ziara yake ya Kikazi , kuhusu Kuuzwa kwa Bandari za Tanzania kwa Waarabu wa Dubai, Freeman Mbowe ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chadema alisema hivi, Nanukuu,

"It is a Shame that people can get our country in such a mess. I asked the Press to save our nation from this Shame by Withdrawing the Intention to go into that kind of a contract." mwisho wa kunukuu.

Toa Maoni yako.

=======

View attachment 2657284
Ngoja akina GUSSIE, Lord denning Faizafoxy waje....!!!
 
Mbowe ANATUMIKA maslahi ya nani ?!!!

Katika uwekezaji wa ARAB CONTRACTORS...walikwenda kuongea na chama rafiki cha ujerumani "CDU"....chama kikalobby bunge lao "bundestag" waishinikize serikali ya Tanzania ijitoe katika ujenzi wa BWAWA LA UMEME mwalimu Nyerere kwa hoja kuwa Tanzania inaharibu mazingira....

Tanzania "think tankers" wakawaridhisha UNESCO kuwa tutatumia tu 3% ya eneo lile...97% intacts....[emoji1787][emoji1787]

Wajerumani CDU wakapiga mwereka chini.......

Ilikuja kufahamika kuwa "hawataki" Tanzania iwe na umeme wa uhakiki ...watauza wapi MAJENERETA yao ?!!!!

Si hilo tu ,ikaja kufahamika kuwa "wakoloni wetu" wanaogopeshwa na kasi ya JPM kutia nia ya ujenzi wa viwanda kwa kuanzia vidogo....

Katika hili la uwekezaji wa DP WORLD nyuma yake kuna kitisho gani cha maslahi ya "wenye maguvu" DUNIANI?!!!

Je ni mashirika ya wachina?!!!

Je misuguano ya EU na Marekani katika biashara imeamkia dhidi ya uwekezaji huu wa DP WORLD?!!!!


MBOWE ANAWATUMIKIA AKINA NANI?!!!

Kama anaweza "kukunja" bilioni 2 za ruzuku atashindwaje kuwa dalali wa kupokea "maEURO"?!!![emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

#SiempreJMT[emoji120]

#MamaAnaupigaMwingi[emoji120]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom