Mbowe: We are surrendering our Sovereignty to Dubai

Mbowe: We are surrendering our Sovereignty to Dubai

Mbowe anatumikia maslahi ya nani ?!!!

DP WORLD walipata CHANGAMOTO ya uwekezaji hapo Msumbiji....kwa hoja hizihizi za akina Mbowe.....hebu unganisha "dots" utambue kuwa Mbowe ni dalali.....

Je dalali wa mashirika gani ya nchi zipi ?!!![emoji1787][emoji1787]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Mbowe anatumikia maslahi ya nani ?!!!

DP WORLD walipata CHANGAMOTO ya uwekezaji hapo Msumbiji....kwa hoja hizihizi za akina Mbowe.....hebu unganisha "dots" utambue kuwa Mbowe ni dalali.....

Je dalali wa mashirika gani ya nchi zipi ?!!![emoji1787][emoji1787]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Tena dalali wa viwanja kule mpigi magohe. Hafai kusikilizwa hata kidogo.
 
Hadi saivi unapiga tu maneno matupu badala ya kuweka hivyo vipengele vinavyoonesha tumepoteza our sovereignty. Sasa kati ya mimi na wewe nani anapaswa kutolewa lugha mbovu?

Mimi sio kilaza kama wewe eti niamini tu maneno matupu wanayosema watu bila uthibitisho na maelezo ya uhakika
[emoji106]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Katiba ya nchi inaelezea haya mambo ya kuuza nchi....

Hebu tuwekeeni vifungu vya sheria ndani ya katiba vya "surrendering sovereignty".......[emoji1787][emoji1787]


Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Wazee wa siasa za matukio tena....

Hawana ajenda ya maana...wamekaa kama "fisi"....

Tukisema CHADEMA ni SACCOS tunamaanisha.....wako kwa ajili ya RUZUKU...wanachama wao wa kawaida hawalijui masikini ya mungu.....

Ushahidi ni hizi BILIONI 2....

Muulize yeyote aliyefanya kazi na Mbowe pale ufipa atakupa ushahidi wa "madudu " yake mengi......


UKIKAA KWENYE NYUMBA YA VIOO USIUTAKE UGOMVI WA MAWE

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Wewe huna , hujawahi na wala hautakuja kuwa na uwezo wa kupambana na Chadema , waulize waliokutuma
 
Tena dalali wa viwanja kule mpigi magohe. Hafai kusikilizwa hata kidogo.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Failure wa "form 6" kaanza udalali siku nyingi sana....

Kwa miaka ile ya watoto kutoka familia bora....nchi ikiwa haina wasomi....mtu "serious" alikuwa anafeli vipi ?!!!![emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Mbowe ni "failure" wa mengi....

Dalali huyoooo

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Naomba mumeo kama kauelewa anieleweshe na mimi
Acha umalaya mkuu....

Umalaya huo.....

Unataka uparamie waume za watu ?!!!

Mmezoea umalaya na ndio maana mnapenda siasa za matukio....wenzetu wajenge nyie mtumie tu....

Mume wangu ameambiwa kuwa wewe ni mwanamke Malaya wa kimboka...matundu wazi....

Wewe kweli "falure" Kama Mbowe....[emoji1787][emoji1787]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Mbowe ANATUMIKA maslahi ya nani ?!!!

Katika uwekezaji wa ARAB CONTRACTORS...walikwenda kuongea na chama rafiki cha ujerumani "CDU"....chama kikalobby bunge lao "bundestag" waishinikize serikali ya Tanzania ijitoe katika ujenzi wa BWAWA LA UMEME mwalimu Nyerere kwa hoja kuwa Tanzania inaharibu mazingira....

Tanzania "think tankers" wakawaridhisha UNESCO kuwa tutatumia tu 3% ya eneo lile...97% intacts....[emoji1787][emoji1787]

Wajerumani CDU wakapiga mwereka chini.......

Ilikuja kufahamika kuwa "hawataki" Tanzania iwe na umeme wa uhakiki ...watauza wapi MAJENERETA yao ?!!!!

Si hilo tu ,ikaja kufahamika kuwa "wakoloni wetu" wanaogopeshwa na kasi ya JPM kutia nia ya ujenzi wa viwanda kwa kuanzia vidogo....

Katika hili la uwekezaji wa DP WORLD nyuma yake kuna kitisho gani cha maslahi ya "wenye maguvu" DUNIANI?!!!

Je ni mashirika ya wachina?!!!

Je misuguano ya EU na Marekani katika biashara imeamkia dhidi ya uwekezaji huu wa DP WORLD?!!!!


MBOWE ANAWATUMIKIA AKINA NANI?!!!

Kama anaweza "kukunja" bilioni 2 za ruzuku atashindwaje kuwa dalali wa kupokea "maEURO"?!!![emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

#SiempreJMT[emoji120]

#MamaAnaupigaMwingi[emoji120]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Kuna vijana wawili makini wa kupush agenda kama hizi ili na wao waingizwe kweny payroll, wanaomba connection tafadhali!!
 
Acha umalaya mkuu....

Umalaya huo.....

Unataka uparamie waume za watu ?!!!

Mmezoea umalaya na ndio maana mnapenda siasa za matukio....wenzetu wajenge nyie mtumie tu....

Mume wangu ameambiwa kuwa wewe ni mwanamke Malaya wa kimboka...matundu wazi....

Wewe kweli "falure" Kama Mbowe....[emoji1787][emoji1787]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Basi kaa utulie dada angu, haya maswala ya kiume huyawezi
 
Wewe huna , hujawahi na wala hautakuja kuwa na uwezo wa kupambana na Chadema , waulize waliokutuma
Uwezo ni nao...

Uwezo huo wa kupambana na "vilaza" ninao....

Hebu nipinge kwa swali hili...

Niwekee kipengele cha katiba kinachoelezea/kupinga "surrender of our sovereignty".....

Kiweke hapa....

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Wewe huna , hujawahi na wala hautakuja kuwa na uwezo wa kupambana na Chadema , waulize waliokutuma
Ninyi mna nini ninyi....

SCUM tupu pale UFIPA....

Afisa uhusiano wenu na mwandishi wa habari wenu wa zamani B.M aliwaumbua vizuri tu.....[emoji1787]

Mheshimiwa.P.K aliwaumbua vizuri tu....[emoji1787]

Acheni "janjajanja" siasani....

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Hata vitabu vitakatifu vinasema hivyo basi pingana na MUNGU wewe dada angu
Mirembe imejaa....wengine mmetorokea JF..

Dunia hii unasema wanawake hawana akili ?!!![emoji1787][emoji1787]

Acha kumtukana dada yangu Tusekelege Erythrocyte......

Aibu kubwa uliyonayo ..

Misogyny

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom