Kama umesoma na hujavielewa sina cha kukusaidia Zaid ya maombi Chief.Nimevisoma ila sijaona kifungu cha ku surrender our sovereignty. Wewe ambae pia umesoma vifungu niambie kifungu gani kime surrender our sovereignty?
KWA hio mwarabu ndio mkarimu kuliko mzungu!!?
Akili ya wapi hii!!?
KWA hiyo waarabu wanaopenda ushoga hawapo!!? Yaani wale top hamna sio!!?
Sijazungumzia Bandari pekee bali hata. Madini vyote vitarudi mezani TUANZE upya!!
Tatizo mmejikita kwenye udini jikitenii kwenye faida na HASARA mkuu!!!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Acha ukuda basi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hadi mwendo na mkongojo....[emoji1787][emoji1787]Hivi atakuwa Mwenyekiti mpaka lini,? Kuna vyama vya siasa vya vyakidikiteta nchi hii
Weka hicho kifungu....tukisome na kudadavua kisomi....Kama umesoma na hujavielewa sina cha kukusaidia Zaid ya maombi Chief.
Mbowe..Mbowe yupo sahihi.
🤣🤣🤣🤣 Dubai..Hivi Dubai ni nchi(country) au Mji Dola(City state)?
Na kama ni nchi mbona Tanzania hatuna Balozi wa Tanzania nchini Dubai? Ila yupo Balozi wa Tanzania katika Falme za Kiarabu yaani United Arab Emirates!
Note: Kwenye Mkataba tumeandikiwa kuwa Dubai ni nchi!!
Duh!!
Wana shida, kwanini waingie mkataba kama hawana.Acha kulalamika mwanaume, piga kazi,,, eti ka emirate 😁 angalia bajeti yako na bajeti ya EMIRATES kwa mwaka ndio utajiona upo nyuma sana sana, hivi unafikiri wanashida sana na kabandari ka daslama!! Wakiikosa yote sawa tu, majamaa hayapungukiwi kitu,
Wasiwasi wako tu...Nilijua mtatoka mapangoni [emoji1787][emoji1787] chezea payroll wewe!!
[emoji2956][emoji2956]Nimevisoma ila sijaona kifungu cha ku surrender our sovereignty. Wewe ambae pia umesoma vifungu niambie kifungu gani kime surrender our sovereignty?
Wana shida, kwanini waingie mkataba kama hawana.
Wana shida nao.
[emoji1787][emoji1787]Huna hata ujualo zaidi ya kutumika , nakutabiria kukimbia jukwaa muda si mrefu kama walivyokimbia chawa wengine
Usiganye umma, hizi sifa ndan CCM hazipo!! Tuwe wakwel tuache unafiki, hiz sifa hamnazo. Hebu rudisha akili zako zote then ondoa uccm then fanya reference ya mikataba yoote tang awam ya tatu. Halaf angalia Taifa lilivyoingia hasara, pia angalia tang awamu ya tatu kashfa nzito za ufisadi chin ya utawala wenu. Halafu rudi sasa uanze kuwaaminisha wasiojua wajua!!! Kibaya zaid pamoja na ufisadi mkubwa lkn ni marufuku kuwachukulia hatua!! Hapo sielew ukwel, utii, utaifa uko wapi!!!Tunasukumwa tu na UKWELI...
Tunasukumwa tu na UTAIFA wetu...
Tunasukumwa tu na UTII kwa "
Ngoja nukuulize swali dogo. Katiba yetu inasemaje kuhusu ardhiNimevisoma ila sijaona kifungu cha ku surrender our sovereignty. Wewe ambae pia umesoma vifungu niambie kifungu gani kime surrender our sovereignty?
Huu ulihitaji kubadili sheria! Nyie majizi mlisahau!Ulifichwa wapi ?!!
Kuleak" ?!! [emoji15][emoji1787][emoji1787]
Hapa ndipo mlipoanza kupotoshwa na kudanganywa....hamna taarifa sahihi....
Hivi mkataba wa UFUAJI UMEME bwawa la mwalimu Nyerere na ARAB CONTRACTORS "haukuleak"?!!
Hivi mkataba wa ujenzi wa SGR na YERPI MERKEZ "haukuleak"?!!
Kweli CHADEMA ni chama cha matukio yasiyo na "contents" [emoji1787][emoji1787]
#MamaAnaupigaMwingi[emoji7][emoji2956][emoji2956]
#SiempreJMT[emoji120]
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Huu ulihitaji kubadili sheria! Nyie majizi mlisahau!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Usiganye umma, hizi sifa ndan CCM hazipo!! Tuwe wakwel tuache unafiki, hiz sifa hamnazo. Hebu rudisha akili zako zote then ondoa uccm then fanya reference ya mikataba yoote tang awam ya tatu. Halaf angalia Taifa lilivyoingia hasara, pia angalia tang awamu ya tatu kashfa nzito za ufisadi chin ya utawala wenu. Halafu rudi sasa uanze kuwaaminisha wasiojua wajua!!! Kibaya zaid pamoja na ufisadi mkubwa lkn ni marufuku kuwachukulia hatua!! Hapo sielew ukwel, utii, utaifa uko wapi!!!
Ardhi ni mali ya Umma kwa mujibu wa Sheria zetu.Ngoja nukuulize swali dogo. Katiba yetu inasemaje kuhusu ardhi