Mbowe: We are surrendering our Sovereignty to Dubai

Mbowe: We are surrendering our Sovereignty to Dubai

[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Tatizo lako ni hulka ya "generalization"....

Hivi unadhani ni akina Dr.Slaa na Zitto Kabwe walioibua kashfa hizi ?!!!

-EPA

-KAGODA

-DEEP GREEN

-MEREMETA

-TANGOLD

Na hii ya huku mwishoni ESCROW....hii ilianzia mbali japo tulikuwa watoto sana lakini kufanya USOMI WA KIUCHUNGUZI unatufunulia kuwa ESCROW ni mnyororo tokea IPTL....early 90's huko....

Taifa limeendelea kupambana na SKANDALI KUBWAKUBWA... mapambano hayo yakihusisha wanaCCM na wa vyama vingine....

Kibaya ni kuwa kwa mtu asiye na hofu ya kweli....nasema hofu ya kweli ya MWENYEZI MUNGU na kuzitambua TUNU ADHIMU za taifa huweza kununuliwa....hununulika akipewa "mpunga"....hili haliwezi kuwa kwa wanaCCM wote wala kwa wanaCHADEMA wote....ukisema ni "LAZIMA IWE HIVYO" basi wewe utakuwa unasukumwa na HISIA pasipo UHALISIA....[emoji1787][emoji1787]

Karibu mwakakogwa makunduchi tukaoge mwaka na kutambika huo mwezi wa 7[emoji1787][emoji1787]

#SiempreJMT[emoji120]
#MamaAnaupigaMwingi[emoji7][emoji2956][emoji2956]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Sasa c u mention wabunge wa CCM walioibua ufisadi tang enzi!
 
Ardhi ni mali ya Umma kwa mujibu wa Sheria zetu.
Mkataba unasemaje kuhusu Ardhi?
Kwanza unatakiwa ujue huyu bwana kapewa economy zones zote na atakazohtaji ikibidi. So kwa katiba yetu na sheria zetu. Hata raia wa Tz huwez kupewa ardhi Zaid ya miaka 99 achilia mbali mgeni. So swali la msingi hapa huyu mtu mkataba una miaka mingap ili tuaze kujua mengine kwanza.
 
Ingawaje kwa upande Wangu hawa watu ni wazur ila hizo terms na condition ndio za kubadilisha sasa cha kushangaza kuna watu wanamtetea mwarabu na huo mkataba cjui wana maslah gan. Kwanini usiseme ubadilishwe
 
Kwanza unatakiwa ujue huyu bwana kapewa economy zones zote na atakazohtaji ikibidi. So kwa katiba yetu na sheria zetu. Hata raia wa Tz huwez kupewa ardhi Zaid ya miaka 99 achilia mbali mgeni. So swali la msingi hapa huyu mtu mkataba una miaka mingap ili tuaze kujua mengine kwanza.
Wapi imeandikwa hivyo?
 
Kwani wewe ni kiziwi? Mkataba ulisomwa pale bungeni pia. Hata kama pengine una shida na uwezo wa kusoma, ulishindwa hata kusikia?

Machache tu yaliyopo kwenye mkataba:

1. Serikali italazimika kuwapa DP eneo lolote la ardhi watakalolihitaji kwa shughuli za bandari.

2. Ukomo wa mkataba ni wakati shughuli zilizoridheshwa kwenye mkataba zitakapokoma. Maana yake hakuna ukomo.

3. Kuuvunja mkataba ni mpaka pande zote zikubaliane, na hakuna mahali imeelezwa mambo gani yakifanyika au yasipofanyika, mkataba utalazimika kuvunjwa.

4. Serikali itahakikisha mkataba hauathiriki hata kama sheria za nchi au serikali vitabadilika.

5. Serikali italazimika kutoa unafuu wa kodi kwa shughuli zinazofanywa na DP. Hii maana yake tubadilishe sheria zetu za kodi kwa sababu ya DP.

6. Hukumu ya disputes itafanyika na mahakama ya South Afrika kwa kutumia sheria za UK, wakati sheria zetu za nchi zinasema disputes zote zinazohusiana na rasilimali zetu zitaamliwa na mahakama za ndani kwa kutumia sheria za nchini mwetu. Kwa hiyo tutalazimika kubadilisha sheria hiyo kama wanavyotaka hawa waarabu. Hii ina maana sasa ni DP ndio wenye maamuzi juu ya sheria zetu ziwe namna gani ili zifuate matakwa yao DP. Huko ni kupoteza mamlaka ya nchi kama Taifa huru kwenye maamuzi yake.

7. Hakuna sehemu ambayo mkataba unatamka uwekezaji wa DP ni kiasi gani mpaka kufikia ku-dilute uwekezaji uliofanywa na Tanzania kuwa zero percent. Inawezekana vipi, bandari ambayo nchi imewekeza mabilioni ya pesa, halafu nchi iwe na umiliki wa zero percent? Huu si upumbavu wa hali ya juu na wa pekee?

Kanuni ya umiliki wa miradi, ili wewe uwe na 90% ni lazima uwekezaji wako uwe mara tisa zaidi ya uwekezaji wangu. Huwezi kutoka ulikotoka na upumbavu wako, mahali mimi nimewekeza trillioni 10, wewe unakuja na vibilioni 700, halafu unasema kwamba wewe utakuwa na umiliki wa 100%. Halafu mimi niseme ni sawa. Ndiyo maana tunasema bunge hilo lililoridhia limejaa mijitu mijinga, punguani wa akili na maarifa, iliyojaa uwendawazimu ambao haujawahi kuonekana mahali popote Duniani.

Rushwa imetembea lazima
 
Sema icho kipengele ni kipi? Kuna shida gani ukakiweka hapa?
Bro cko home ningekuwekea. Bahati nzur mkataba ninao. Ila hata bila kifungu kitendo cha mkataba kutokuwa na eneo lenye hitimisho pindi mambo yakuwa tofauti ni hayo hayo tu. Bandar na maziwa na mito ni sehemu ya hiyo sheria ya ardhi .
 
Bro cko home ningekuwekea. Bahati nzur mkataba ninao. Ila hata bila kifungu kitendo cha mkataba kutokuwa na eneo lenye hitimisho pindi mambo yakuwa tofauti ni hayo hayo tu. Bandar na maziwa na mito ni sehemu ya hiyo sheria ya ardhi .
Jikite kwenye hoja moja. Acha kukimbia kimbia!! Wewe ni mfano wa watu wengi humu mnaoongea mambo mengi bila uthibitisho na mnatujazia tu server zetu
 
Back
Top Bottom