Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anatumia nguvu kubwa sana aiseMbowe anashida kubwa,na anachokifanya ni chuki ambayo haina afya kwa CHADEMA.
Ulafi wa madaraka na kung'ang'ania madaraka ni jambo linalosikitiaha sana mtu ameamua nae kugombea nafasi ya uenyekiti imekuwa shida.
CHADEMA kwa Mchagga mjanja ni fursaMbowe anashida kubwa,na anachokifanya ni chuki ambayo haina afya kwa CHADEMA.
Ulafi wa madaraka na kung'ang'ania madaraka ni jambo linalosikitiaha sana mtu ameamua nae kugombea nafasi ya uenyekiti imekuwa shida.
Du muda unakimbia sana amesema muda huu Mbowe yupo ITV,harafu mud huu nafungua ITV nakutana na mabo ya BUNDESLIGA....doooh...the time lapse is too much fast guys...bye!Mbowe anashida kubwa,na anachokifanya ni chuki ambayo haina afya kwa CHADEMA.
Ulafi wa madaraka na kung'ang'ania madaraka ni jambo linalosikitiaha sana mtu ameamua nae kugombea nafasi ya uenyekiti imekuwa shida.
Na Lissu hawezi kushinda. Chama hakiwezi ongozwa kwa mihemko. Mtu hana nidhamu hadi kwa watawala leo ukampe chama?Hapana anatekeleza wajibu wa kikatiba,
Kinachohitajika wajumbe nendeni mkaonyeshe ukomvu wa kidemokrasia ndani ya CHADEMA,
Ushindi wa Lissu utakuwa wa maana zaidi akiupata kupitia uchaguzi kuliko mbowe akijiitoa katika uchaguzi.
Mbowe anashida kubwa,na anachokifanya ni chuki ambayo haina afya kwa CHADEMA.
Ulafi wa madaraka na kung'ang'ania madaraka ni jambo linalosikitiaha sana mtu ameamua nae kugombea nafasi ya uenyekiti imekuwa shida.
mbona mnakua obsessed sana na neno mchaga wazeeCHADEMA kwa Mchagga mjanja ni fursa
Sultan bin Mangi Mbowe 😂😂🔥😂Mbowe anashida kubwa,na anachokifanya ni chuki ambayo haina afya kwa CHADEMA.
Ulafi wa madaraka na kung'ang'ania madaraka ni jambo linalosikitiaha sana mtu ameamua nae kugombea nafasi ya uenyekiti imekuwa shida.
Gentleman,Mbowe anashida kubwa,na anachokifanya ni chuki ambayo haina afya kwa CHADEMA.
Ulafi wa madaraka na kung'ang'ania madaraka ni jambo linalosikitiaha sana mtu ameamua nae kugombea nafasi ya uenyekiti imekuwa shida.
Shida uchaguzi wenyewe chukua chako mapema wana manufaa nao zaidi ya wanachadema wanavyoweza nufaika nao ndio shida,huoni hata akina tlaah tlaah wameletwa kwa mkopo kuhakikisha mambo yanaenda kulingana na matarajio ya wana mboga mboga?Hapana anatekeleza wajibu wa kikatiba,
Kinachohitajika wajumbe nendeni mkaonyeshe ukomvu wa kidemokrasia ndani ya CHADEMA,
Ushindi wa Lissu utakuwa wa maana zaidi akiupata kupitia uchaguzi kuliko mbowe akijiitoa katika uchaguzi.
Na ndio shida hiyo yaani yeye ana amini kwamba uenyekiti wa CHADEMA umekuwa ni wa mfukoni mwake na kila anayejitikeza kugombea uenyekiti huo anageuka adui wake mkuu.Nimeamin kumbe Mbowe hana ukomavu wowote wa kisiasa zaidi ya kutumiwa na CCM.Nilisema hapa kwamba vikao vya Mbowe na mama SAMIA havina afya kwenye siasa za nchi na kwa CHADEMA Kwa ujumla wake na nikasema kwa vikao vile tutarajie vibe za kisanii kwa sababu mtu kasha lambishwa asali tamu.Sasa anang'ang'ania UENYEKITI ili kuendeleza kile alichoagizwa na CCM,WanaCHADEMA msikubali ujinga ulioingizwa kwenye chama makini tena kupitia kwa mtu mlie mwamini kwa nafasi ya uenyekiti kwa miaka ishirini.enough is enough kafanyeni maamuzi magumu tarehe 21 mwezi huu.Tuleteeni watanzania Tanzania yenye kuwajibika,Tanzania inayopaza sauti,na kupingana ujinga unaoendelezwa na Mbowe.Anatumia nguvu kubwa sana aise
Asta fun wa heshima tuMbowe anashida kubwa,na anachokifanya ni chuki ambayo haina afya kwa CHADEMA.
Ulafi wa madaraka na kung'ang'ania madaraka ni jambo linalosikitiaha sana mtu ameamua nae kugombea nafasi ya uenyekiti imekuwa shida.
Miaka 34 ya Uongozini lakini kampeni kama Njuka wa O level 😂😂SIasa za mageuzi TZ zinamuhitaji Gwiji - kamanda wa anga Mbowe- asante baba tuvusheee.
Hutaki tukutane TLP.