🥱😒😒😒Mbowe anashida kubwa,na anachokifanya ni chuki ambayo haina afya kwa CHADEMA.
Ulafi wa madaraka na kung'ang'ania madaraka ni jambo linalosikitiaha sana mtu ameamua nae kugombea nafasi ya uenyekiti imekuwa shida.
Uwe wakala wa Lissu- anapigwa asubuhi.saana - shida kamdomoMiaka 34 ya Uongozini lakini kampeni kama Njuka wa O level 😂😂
Kwani umelazimishwa kumsikiliza? Si ubadili channel hata uangalie cartoon tu!! Unajilazimisha nini kumsikia mtu ambaye humpendi. ? Wewe ni kichaa?Mbowe anashida kubwa,na anachokifanya ni chuki ambayo haina afya kwa CHADEMA.
Ulafi wa madaraka na kung'ang'ania madaraka ni jambo linalosikitiaha sana mtu ameamua nae kugombea nafasi ya uenyekiti imekuwa shida.
umechelewa kipindi kimeishaDu muda unakimbia sana amesema muda huu Mbowe yupo ITV,harafu mud huu nafungua ITV nakutana na mabo ya BUNDESLIGA....doooh...the time lapse is too much fast guys...bye!
Sasa ndipo anaonyesha wazi his true colors....Madaraka hakika yanalevya.Na ndio shida hiyo yaani yeye ana amini kwamba uenyekiti wa CHADEMA umekuwa ni wa mfukoni mwake na kila anayejitikeza kugombea uenyekiti huo anageuka adui wake mkuu.Nimeamin kumbe Mbowe hana ukomavu wowote wa kisiasa zaidi ya kutumiwa na CCM.Nilisema hapa kwamba vikao vya Mbowe na mama SAMIA havina afya kwenye siasa za nchi na kwa CHADEMA Kwa ujumla wake na nikasema kwa vikao vile tutarajie vibe za kisanii kwa sababu mtu kasha lambishwa asali tamu.Sasa anang'ang'ania UENYEKITI ili kuendeleza kile alichoagizwa na CCM,WanaCHADEMA msikubali ujinga ulioingizwa kwenye chama makini tena kupitia kwa mtu mlie mwamini kwa nafasi ya uenyekiti kwa miaka ishirini.enough is enough kafanyeni maamuzi magumu tarehe 21 mwezi huu.Tuleteeni watanzania Tanzania yenye kuwajibika,Tanzania inayopaza sauti,na kupingana ujinga unaoendelezwa na Mbowe.
Ww mwenyewe hujalazimishwa kuchangia thread hii tafuta thread nyingine kiongozi.Kwani umelazimishwa kumsikiliza? Si ubadili channel hata uangalie cartoon tu!! Unajilazimisha nini kumsikia mtu ambaye humpendi. ? Wewe ni kichaa?
Sijawahi kuona mijitu MIPUMBAVH jama ra kambi ya Lissu
Chama hakiwezi kuongozwa na mtu ana risasi mwilini!! Mionzi ya risasi inaathiri ubongo wa LissuNa Lissu hawezi kushinda. Chama hakiwezi ongozwa kwa mihemko. Mtu hana nidhamu hadi kwa watawala leo ukampe chama?
kwahivyo jambo hilo limekughadhabisha sana gentleman kama mdau wa demokrasia, right?🤣Yeye anaonekana kutokuridhishwa na kuona kuna mtu wanaogombea nafasi moja,analalamika.
upuuzi mtupuSIasa za mageuzi TZ zinamuhitaji Gwiji - kamanda wa anga Mbowe- asante baba tuvusheee.
Hutaki tukutane TLP.
Aliongea Lissu, sawa. Akiongea Mbowe, nongwa!Mbowe anashida kubwa,na anachokifanya ni chuki ambayo haina afya kwa CHADEMA.
Ulafi wa madaraka na kung'ang'ania madaraka ni jambo linalosikitiaha sana mtu ameamua nae kugombea nafasi ya uenyekiti imekuwa shida.
Yawezekana naongea na mtu mchanga sana kwenye Demokrasia za nchi hii na hususani ndani ya CHADEMA ndio maana unauliza maswali ambayo tayari tunishaeleza background yake.kwahivyo jambo hilo limekughadhabisha sana gentleman kama mdau wa demokrasia, right?🤣
Lakini pia unaonekana hata mpinzani wake hajaridhishwa na mbowe kugombea nafasi hiyo moja, ubaya uko wapi mathalan gentleman?🐒
Unataka nikwambiaje ? Kwamba ropo ni kiongozi anaweza kutupatia walau katiba mpya ? Kwa maropo yake.upuuzi mtupu
Mbowe Chadema kwake ni kitega uchumi!! Hivi sasa amelamba mabillioni ya Samia hata akishindwa kisha pata mtaji!!SIasa za mageuzi TZ zinamuhitaji Gwiji - kamanda wa anga Mbowe- asante baba tuvusheee.
Hutaki tukutane TLP.
Nidhamu kwa watawala, hao wanaoingia madarakani kwa kunajisi chaguzi?Na Lissu hawezi kushinda. Chama hakiwezi ongozwa kwa mihemko. Mtu hana nidhamu hadi kwa watawala leo ukampe chama?