wakuu haki huinua taifa!
Mbowe alishitakiwa kwa makosa ya ugaidi na serikali kwa uoni wake imeamua kuifutilia mbali kesi hiyo na sasa kila mtu anafurahi na kupongeza kwa hili
Lakini kuna huyu Sabaya aliyehukumiwa miaka 30, tusijiulize sana katika hili pia
Mama afanye wepesi kijana asamehewe arejee na maisha ya uraiani kama kawaida
Unaweza kuplan kuua viongozi kwa laki 6 za kitanzania ?Kwani ugaidi unapimwa kwa kiwango cha pesa??
wakuu haki huinua taifa!
Mbowe alishitakiwa kwa makosa ya ugaidi na serikali kwa uoni wake imeamua kuifutilia mbali kesi hiyo na sasa kila mtu anafurahi na kupongeza kwa hili
Lakini kuna huyu Sabaya aliyehukumiwa miaka 30, tusijiulize sana katika hili pia
Mama afanye wepesi kijana asamehewe arejee na maisha ya uraiani kama kawaida
Mbona Gaidi kasemehewa japokua alikutwa na kesi ya kujibu!?Jambazi anaachiwaje kwa mfano?
Sabaya nikibaka huwezi linganisha na Mbowe aliebambikiwa Kesi, huyo alishafutwa katika ulimwengu wa kidunia ata akiachiwa leo ,mnataka halalisha Kesi ya kutungwa ya Mbowe na matendo ya Sabaya , hii ni sawa na jua na mwezi acheni mbo ya ajabuwakuu haki huinua taifa!
Mbowe alishitakiwa kwa makosa ya ugaidi na serikali kwa uoni wake imeamua kuifutilia mbali kesi hiyo na sasa kila mtu anafurahi na kupongeza kwa hili
Lakini kuna huyu Sabaya aliyehukumiwa miaka 30, tusijiulize sana katika hili pia
Mama afanye wepesi kijana asamehewe arejee na maisha ya uraiani kama kawaida
Tuwe serious sometimes, tupunguze mizaha. Ole Sabaya was a criminal in power. Alifanya ujambazi kabisa wa mtaani kwa kutumia silaha. Akitolewa Sabaya na wale majambazi wote wa unyang'anyi waliohukumiwa miaka 30 waachiwe huru. Yaani jela tuwaache wabakaji na walio Uwa.wakuu haki huinua taifa!
Mbowe alishitakiwa kwa makosa ya ugaidi na serikali kwa uoni wake imeamua kuifutilia mbali kesi hiyo na sasa kila mtu anafurahi na kupongeza kwa hili
Lakini kuna huyu Sabaya aliyehukumiwa miaka 30, tusijiulize sana katika hili pia
Mama afanye wepesi kijana asamehewe arejee na maisha ya uraiani kama kawaida
Kukutwa na kesi ya kujibu ndio kukutwa na hatia ?Ndio maana mnaitwa nyumbu, huyo mwenyekiti wenu alikutwa na kesi ya kujibu. Mkaomba asamehewe na amesamehewa mambo ya ushahidi umemuokoa ni uongo.
kwani Babu Seya ilikuwaje? unaweza kuhukumiwa kwa mchongo na usifanye kitu"Ole wake" Sabaya yeye kahukumiwa na mahakama kwa kakutwa na makosa, Mbowe hajahukumiwa hivyo hao ni watu wawili tofauti kimahakama/kisheria, mmoja alikuwa mtuhumiwa na Mwingine ni mwenye hatia.
Wewe Muombee msamaha Sabaya tu bila kumuhusisha Mbowe.
Aliye mtoa nae alikuwa raisi wa Mchongo ngoma droo!kwani Babu Seya ilikuwaje? unaweza kuhukumiwa kwa mchongo na usifanye kitu
Sabaya kaumiza watu, kala rushwa ya waziwazi, ameumiza watu wengi bila kosa. Unataka atoke ili aende wapi wewe?wakuu haki huinua taifa!
Mbowe alishitakiwa kwa makosa ya ugaidi na serikali kwa uoni wake imeamua kuifutilia mbali kesi hiyo na sasa kila mtu anafurahi na kupongeza kwa hili
Lakini kuna huyu Sabaya aliyehukumiwa miaka 30, tusijiulize sana katika hili pia
Mama afanye wepesi kijana asamehewe arejee na maisha ya uraiani kama kawaida
wakuu haki huinua taifa!
Mbowe alishitakiwa kwa makosa ya ugaidi na serikali kwa uoni wake imeamua kuifutilia mbali kesi hiyo na sasa kila mtu anafurahi na kupongeza kwa hili
Lakini kuna huyu Sabaya aliyehukumiwa miaka 30, tusijiulize sana katika hili pia
Mama afanye wepesi kijana asamehewe arejee na maisha ya uraiani kama kawaida
Hebu ingia google isome "Nolle Prosequi" vizuri,na vigezo vyake.Utagundua kuwa Hii kitu hutolewa pale kukiwa hakuna Ushahidi wa kutosha wa kumtia mtu hatiani,Sasa kufananisha kesi ya Mbowe na kesi ya Sabaya,ni Makosa, Maana kesi moja yaani ya Mbowe ina kosa ushahidi wakati ile ya Sabaya Ina ushahidi wa kutosha.wakuu haki huinua taifa!
Mbowe alishitakiwa kwa makosa ya ugaidi na serikali kwa uoni wake imeamua kuifutilia mbali kesi hiyo na sasa kila mtu anafurahi na kupongeza kwa hili
Lakini kuna huyu Sabaya aliyehukumiwa miaka 30, tusijiulize sana katika hili pia
Mama afanye wepesi kijana asamehewe arejee na maisha ya uraiani kama kawaida
Kweli kabisaAkitolewa tutapiga yowe nchi nzima majambazi wote waliofungwa miaka 30 na wao wasamehewe.
Wewe kimavi kweli.Tangu lini Mbowe akawa gaidi??.Mabosi wako wameona aibu wameamua kumuachia sasa wewe km mbwa unaendelea kubweka wakati Bwana wako amesema tulia huyo Mbowe si mtu mbaya.gaidi amaeachiwaje
Hivi ya Ubakaji hajapewa kweli??.Hawezi kutoka leo bado ana kesi nyingi zinamsubiri. Ana kesi ya uhujumu uchumi ambayo ndio inaendelea na nyingine ipo kwenye Rufaa.
Sasa na wewe ni mtu wa ajabu.Unafananishaje Babu Seya na Mtu katili Sabaya??.Hebu mnapofananisha watu muwe mnatafakari kwanza.Alivyotolewa Babu Seya mbona hukupiga mayowe?
Legacy ya Samia itakuwa ya upupu mtupu Mbowe alimfunga mwnyewe na bila kumpenda kamtoa mwenyewe halafu mapimbi yanataka Samia asifiwe kwa lipi? Labda kwa tabia ya kuwa Rais lia lia wa misaada! Sabaya kafungwa na Samia period!!wakuu haki huinua taifa!
Mbowe alishitakiwa kwa makosa ya ugaidi na serikali kwa uoni wake imeamua kuifutilia mbali kesi hiyo na sasa kila mtu anafurahi na kupongeza kwa hili
Lakini kuna huyu Sabaya aliyehukumiwa miaka 30, tusijiulize sana katika hili pia
Mama afanye wepesi kijana asamehewe arejee na maisha ya uraiani kama kawaida