Hypersonic
JF-Expert Member
- Apr 14, 2012
- 829
- 1,564
Ili aje kuendelea kukata watu masikio na kubaka binti zetu kwa kutumia cheo chake. Acha kwanza abakwe na nyapara wakimalizana naye ndo aje hukuwakuu haki huinua taifa!
Mbowe alishitakiwa kwa makosa ya ugaidi na serikali kwa uoni wake imeamua kuifutilia mbali kesi hiyo na sasa kila mtu anafurahi na kupongeza kwa hili
Lakini kuna huyu Sabaya aliyehukumiwa miaka 30, tusijiulize sana katika hili pia
Mama afanye wepesi kijana asamehewe arejee na maisha ya uraiani kama kawaida
Kamwe asichanganye nazi na palachichiWewe Muombee msamaha Sabaya tu bila kumuhusisha Mbowe.
Kwanini hata ccm wenzie mmemwacha azame peke ?wakuu haki huinua taifa!
Mbowe alishitakiwa kwa makosa ya ugaidi na serikali kwa uoni wake imeamua kuifutilia mbali kesi hiyo na sasa kila mtu anafurahi na kupongeza kwa hili
Lakini kuna huyu Sabaya aliyehukumiwa miaka 30, tusijiulize sana katika hili pia
Mama afanye wepesi kijana asamehewe arejee na maisha ya uraiani kama kawaida
Wanaweza kumtoa kwa rufaa yake kushindaAkitolewa tutapiga yowe nchi nzima majambazi wote waliofungwa miaka 30 na wao wasamehewe.
Kwani kila anayekutwa na kesi ya kujibu ni mkosaji? Unawaaibisha sana wenzako wanaokutuma kwa namna unavyojenga hoja hapa jukwaani.
Wafuasi wa Magufuli wanampigaTatizo Sabaya ana damu ya kunguni, hamna anayejuzhugulisha naye.
Kamuulize SamiaKati ya Gaidi na Jambazi nani hatari zaidi??
Unamhusisha vipi Mbowe na Sabaya? Mbowe hajahukumiwa na Sabaya kahukumiwa. Tumia vizuri "grey matter" yako fuvuni.wakuu haki huinua taifa!
Mbowe alishitakiwa kwa makosa ya ugaidi na serikali kwa uoni wake imeamua kuifutilia mbali kesi hiyo na sasa kila mtu anafurahi na kupongeza kwa hili
Lakini kuna huyu Sabaya aliyehukumiwa miaka 30, tusijiulize sana katika hili pia
Mama afanye wepesi kijana asamehewe arejee na maisha ya uraiani kama kawaida
Nani aliomba asamehewe? Niwekee nukuu moja ya kiongozi wa upinzani akimuombea Mbowe msamahaAlikutwa na kesi ya kujibu, mbona mliomba asamehewe? Asamehewe nini wakati hana makosa?
Kukutwa na kesi ya kujibu ni kukutwa na hatia? Wewe zezeta la Magufuli vipi?Alikutwa na kesi ya kujibu, na jana ilibid aanze utetezi. Hivi mnasomaga kesi kweli?
Wewe ni punguani wa taifa kwa kulinganisha tuhuma za hawa watu wawili (Sabaya na Mbowe)!wakuu haki huinua taifa!
Mbowe alishitakiwa kwa makosa ya ugaidi na serikali kwa uoni wake imeamua kuifutilia mbali kesi hiyo na sasa kila mtu anafurahi na kupongeza kwa hili
Lakini kuna huyu Sabaya aliyehukumiwa miaka 30, tusijiulize sana katika hili pia
Mama afanye wepesi kijana asamehewe arejee na maisha ya uraiani kama kawaida
Nenda kashtaki kwa Magufuli kuwa Samia kamuachia Gaidi kisha kamfunga kijana wake SabayaMbona Gaidi kasemehewa japokua alikutwa na kesi ya kujibu!?
Kwani Mbowe kasamehewa?wakuu haki huinua taifa!
Mbowe alishitakiwa kwa makosa ya ugaidi na serikali kwa uoni wake imeamua kuifutilia mbali kesi hiyo na sasa kila mtu anafurahi na kupongeza kwa hili
Lakini kuna huyu Sabaya aliyehukumiwa miaka 30, tusijiulize sana katika hili pia
Mama afanye wepesi kijana asamehewe arejee na maisha ya uraiani kama kawaida
Kabla ya Mbowe kuachiwa, mahakama ilisema anakesi gani ya kujibu?Kwani Mbowe kasamehewa?
Huyo Sabaya kapatikana na hatia kwa makosa yake ambayo alipotakiwa atoe utetezi mahakamani alisema eti aliyatenda hayo akitekeleza maagizo ya mamlaka yake ya uteuzi! Na wala hajaomba msamaha licha ya kutiwa hatiani. Nasikia amekata rufaa, asubiri uamuzi wa rufaa yake.
Msitake kufananisha jambazi aliyetiwa hatiani kwa ushahidi wa dhahiri (Sabaya) na raia mwema aliyebambikiwa kesi isiyo na ushahidi (Mbowe)
Sabaya ni jambaz amechukua hela za watu,Wakuu haki huinua taifa!
Mbowe alishitakiwa kwa makosa ya ugaidi na serikali kwa uoni wake imeamua kuifutilia mbali kesi hiyo na sasa kila mtu anafurahi na kupongeza kwa hili.
Lakini kuna huyu Sabaya aliyehukumiwa miaka 30, tusijiulize sana katika hili pia. Mama afanye wepesi kijana asamehewe arejee na maisha ya uraiani kama kawaida.
Huyo alishahukumiwa... Mbowe hakufika hatua hiyo...Wakuu haki huinua taifa!
Mbowe alishitakiwa kwa makosa ya ugaidi na serikali kwa uoni wake imeamua kuifutilia mbali kesi hiyo na sasa kila mtu anafurahi na kupongeza kwa hili.
Lakini kuna huyu Sabaya aliyehukumiwa miaka 30, tusijiulize sana katika hili pia. Mama afanye wepesi kijana asamehewe arejee na maisha ya uraiani kama kawaida.
Amefungwa, nani analipa pesa hizoSabaya ni jambaz amechukua hela za watu,
Akiachiwa nani atarejesha hizo hela?
Na kabaka, nani atahukumiwa badala yake ktk ubakaji?
Hilo tatizo nimeliona. Halafu hata hawataki kuhangaisha vichwa vyao kufahamu tofauti kati ya kukutwa na KESI ya kujibu na kukutwa na HATIA. Ukikutwa na KESI ya kujibu katika utetezi wako unaweza USIKUTWE na HATIA na ukaachiwa HURU.Taifa lina safari ndefu sana kuelimisha watu wake, watu hawaelewi tofauti ya kukutwa na hatia na kusemwa una kesi ya kujibu. Unaweza kukuta watu wa hivi wana digirii kabisa lkn vichwani hakuna maarifa
Kitengo mpo kaziniWakuu haki huinua taifa!
Mbowe alishitakiwa kwa makosa ya ugaidi na serikali kwa uoni wake imeamua kuifutilia mbali kesi hiyo na sasa kila mtu anafurahi na kupongeza kwa hili.
Lakini kuna huyu Sabaya aliyehukumiwa miaka 30, tusijiulize sana katika hili pia. Mama afanye wepesi kijana asamehewe arejee na maisha ya uraiani kama kawaida.