Mbowe yuko huru, Sabaya nae aachiwe

Mbowe yuko huru, Sabaya nae aachiwe

wakuu haki huinua taifa!

Mbowe alishitakiwa kwa makosa ya ugaidi na serikali kwa uoni wake imeamua kuifutilia mbali kesi hiyo na sasa kila mtu anafurahi na kupongeza kwa hili

Lakini kuna huyu Sabaya aliyehukumiwa miaka 30, tusijiulize sana katika hili pia
Mama afanye wepesi kijana asamehewe arejee na maisha ya uraiani kama kawaida
Ili aje kuendelea kukata watu masikio na kubaka binti zetu kwa kutumia cheo chake. Acha kwanza abakwe na nyapara wakimalizana naye ndo aje huku
 
wakuu haki huinua taifa!

Mbowe alishitakiwa kwa makosa ya ugaidi na serikali kwa uoni wake imeamua kuifutilia mbali kesi hiyo na sasa kila mtu anafurahi na kupongeza kwa hili

Lakini kuna huyu Sabaya aliyehukumiwa miaka 30, tusijiulize sana katika hili pia
Mama afanye wepesi kijana asamehewe arejee na maisha ya uraiani kama kawaida
Kwanini hata ccm wenzie mmemwacha azame peke ?
 
Kwani kila anayekutwa na kesi ya kujibu ni mkosaji? Unawaaibisha sana wenzako wanaokutuma kwa namna unavyojenga hoja hapa jukwaani.
1646642709110.png
 
wakuu haki huinua taifa!

Mbowe alishitakiwa kwa makosa ya ugaidi na serikali kwa uoni wake imeamua kuifutilia mbali kesi hiyo na sasa kila mtu anafurahi na kupongeza kwa hili

Lakini kuna huyu Sabaya aliyehukumiwa miaka 30, tusijiulize sana katika hili pia
Mama afanye wepesi kijana asamehewe arejee na maisha ya uraiani kama kawaida
Unamhusisha vipi Mbowe na Sabaya? Mbowe hajahukumiwa na Sabaya kahukumiwa. Tumia vizuri "grey matter" yako fuvuni.
 
wakuu haki huinua taifa!

Mbowe alishitakiwa kwa makosa ya ugaidi na serikali kwa uoni wake imeamua kuifutilia mbali kesi hiyo na sasa kila mtu anafurahi na kupongeza kwa hili

Lakini kuna huyu Sabaya aliyehukumiwa miaka 30, tusijiulize sana katika hili pia
Mama afanye wepesi kijana asamehewe arejee na maisha ya uraiani kama kawaida
Wewe ni punguani wa taifa kwa kulinganisha tuhuma za hawa watu wawili (Sabaya na Mbowe)!
 
muwe na akili hata kidogo unawezaje kufananisha jambawazi na mtu huru asiye hata na kosa la kuiba penseli darasani? muwe na akili nasisitiza hilo Period.
 
wakuu haki huinua taifa!

Mbowe alishitakiwa kwa makosa ya ugaidi na serikali kwa uoni wake imeamua kuifutilia mbali kesi hiyo na sasa kila mtu anafurahi na kupongeza kwa hili

Lakini kuna huyu Sabaya aliyehukumiwa miaka 30, tusijiulize sana katika hili pia
Mama afanye wepesi kijana asamehewe arejee na maisha ya uraiani kama kawaida
Kwani Mbowe kasamehewa?
Huyo Sabaya kapatikana na hatia kwa makosa yake ambayo alipotakiwa atoe utetezi mahakamani alisema eti aliyatenda hayo akitekeleza maagizo ya mamlaka yake ya uteuzi! Na wala hajaomba msamaha licha ya kutiwa hatiani. Nasikia amekata rufaa, asubiri uamuzi wa rufaa yake.

Msitake kufananisha jambazi aliyetiwa hatiani kwa ushahidi wa dhahiri (Sabaya) na raia mwema aliyebambikiwa kesi isiyo na ushahidi (Mbowe)
 
Kwani Mbowe kasamehewa?
Huyo Sabaya kapatikana na hatia kwa makosa yake ambayo alipotakiwa atoe utetezi mahakamani alisema eti aliyatenda hayo akitekeleza maagizo ya mamlaka yake ya uteuzi! Na wala hajaomba msamaha licha ya kutiwa hatiani. Nasikia amekata rufaa, asubiri uamuzi wa rufaa yake.

Msitake kufananisha jambazi aliyetiwa hatiani kwa ushahidi wa dhahiri (Sabaya) na raia mwema aliyebambikiwa kesi isiyo na ushahidi (Mbowe)
Kabla ya Mbowe kuachiwa, mahakama ilisema anakesi gani ya kujibu?
 
Wakuu haki huinua taifa!

Mbowe alishitakiwa kwa makosa ya ugaidi na serikali kwa uoni wake imeamua kuifutilia mbali kesi hiyo na sasa kila mtu anafurahi na kupongeza kwa hili.

Lakini kuna huyu Sabaya aliyehukumiwa miaka 30, tusijiulize sana katika hili pia. Mama afanye wepesi kijana asamehewe arejee na maisha ya uraiani kama kawaida.
Sabaya ni jambaz amechukua hela za watu,
Akiachiwa nani atarejesha hizo hela?
Na kabaka, nani atahukumiwa badala yake ktk ubakaji?
 
Wakuu haki huinua taifa!

Mbowe alishitakiwa kwa makosa ya ugaidi na serikali kwa uoni wake imeamua kuifutilia mbali kesi hiyo na sasa kila mtu anafurahi na kupongeza kwa hili.

Lakini kuna huyu Sabaya aliyehukumiwa miaka 30, tusijiulize sana katika hili pia. Mama afanye wepesi kijana asamehewe arejee na maisha ya uraiani kama kawaida.
Huyo alishahukumiwa... Mbowe hakufika hatua hiyo...
 
Taifa lina safari ndefu sana kuelimisha watu wake, watu hawaelewi tofauti ya kukutwa na hatia na kusemwa una kesi ya kujibu. Unaweza kukuta watu wa hivi wana digirii kabisa lkn vichwani hakuna maarifa
Hilo tatizo nimeliona. Halafu hata hawataki kuhangaisha vichwa vyao kufahamu tofauti kati ya kukutwa na KESI ya kujibu na kukutwa na HATIA. Ukikutwa na KESI ya kujibu katika utetezi wako unaweza USIKUTWE na HATIA na ukaachiwa HURU.

Kwa kesi ya Mbowe Jamhuri iliona kabisa Mbowe HAWEZI kutiwa HATIANI kwa ushahidi wa kijinga waliokuwa nao. In fact kama jaji angetumia haki alitakiwa amwachie huru siku ile yaani Hakukuwa na kesi ya kujibu pale.
 
Wakuu haki huinua taifa!

Mbowe alishitakiwa kwa makosa ya ugaidi na serikali kwa uoni wake imeamua kuifutilia mbali kesi hiyo na sasa kila mtu anafurahi na kupongeza kwa hili.

Lakini kuna huyu Sabaya aliyehukumiwa miaka 30, tusijiulize sana katika hili pia. Mama afanye wepesi kijana asamehewe arejee na maisha ya uraiani kama kawaida.
Kitengo mpo kazini
 
Back
Top Bottom