mkongwensibi
Senior Member
- Feb 1, 2022
- 133
- 215
Bwana Kajeba,nina uhakika akili zako haziko sawa,Sabaya ni Jambazi kama Majambazi mengine tu,kule Kisongo Jela aliko ndiko kunakomfaa hakuna namna
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tangu lini mswahili amewahi kuwa na akiliLegacy ya Samia itakuwa ya upupu mtupu Mbowe alimfunga mwnyewe na bila kumpenda kamtoa mwenyewe halafu mapimbi yanataka Samia asifiwe kwa lipi? Labda kwa tabia ya kuwa Rais lia lia wa misaada! Sabaya kafungwa na Samia period!!
Ndio Mana Vita zinaanzagaJambazi anaachiwaje kwa mfano?
Kesi ilikuwa inaemdelea"Ole wake" Sabaya yeye kahukumiwa na mahakama kwa kakutwa na makosa, Mbowe hajahukumiwa hivyo hao ni watu wawili tofauti kimahakama/kisheria, mmoja alikuwa mtuhumiwa na Mwingine ni mwenye hatia.
Wewe Muombee msamaha Sabaya tu bila kumuhusisha Mbowe.
Unataka ujambazi uongezekewakuu haki huinua taifa!
Mbowe alishitakiwa kwa makosa ya ugaidi na serikali kwa uoni wake imeamua kuifutilia mbali kesi hiyo na sasa kila mtu anafurahi na kupongeza kwa hili
Lakini kuna huyu Sabaya aliyehukumiwa miaka 30, tusijiulize sana katika hili pia
Mama afanye wepesi kijana asamehewe arejee na maisha ya uraiani kama kawaida
Tuwe serious sometimes, tupunguze mizaha. Ole Sabaya was a criminal in power. Alifanya ujambazi kabisa wa mtaani kwa kutumia silaha. Akitolewa Sabaya na wale majambazi wote wa unyang'anyi waliohukumiwa miaka 30 waachiwe huru. Yaani jela tuwaache wabakaji na walio Uwa.
Anatoka vipi na tayari hukumu ya kwannza imeshatoka kalamba mvua 30 na kesi nyingine zinaendelea. au nyie wenzetu mnaishi wapi?Sabaya soon anatoka mark my words.
Labda kama wewe ndo umemsamehe. Nchi nzima na dunia tunajua serikali imefuta kesi kwa kukosa ushahidi. Imeisha hiyo hutaki jinyongeNdio maana mnaitwa nyumbu, huyo mwenyekiti wenu alikutwa na kesi ya kujibu. Mkaomba asamehewe na amesamehewa mambo ya ushahidi umemuokoa ni uongo.
Mbona sasa hakuanza utetezi? Wewe umeusikia utetezi wake? Je baada ya utetezi wake hukumu ilikuaje?Alikutwa na kesi ya kujibu, na jana ilibid aanze utetezi. Hivi mnasomaga kesi kweli?
Ole sabaya arudishe milioni 90 za mroso na bado kuna kesi zinamsubiri bomang'ombeKwani ugaidi unapimwa kwa kiwango cha pesa??
Yule ni jambazi sugu mpumbavu, kwanza aongezwe adhabu ... Hebu imagine unatumia gari za Jumuia ya Umoja wa Mataifa (UN) kwenda kufanya uhalifu ?wakuu haki huinua taifa!
Mbowe alishitakiwa kwa makosa ya ugaidi na serikali kwa uoni wake imeamua kuifutilia mbali kesi hiyo na sasa kila mtu anafurahi na kupongeza kwa hili
Lakini kuna huyu Sabaya aliyehukumiwa miaka 30, tusijiulize sana katika hili pia
Mama afanye wepesi kijana asamehewe arejee na maisha ya uraiani kama kawaida
Amalizie kesi zake kwanza ujambazi wake hauna mfano,moshi kesi 9 zinamsubiria ngoja amalize kwanza za arusha imebaki kesi moja kusomwawakuu haki huinua taifa!
Mbowe alishitakiwa kwa makosa ya ugaidi na serikali kwa uoni wake imeamua kuifutilia mbali kesi hiyo na sasa kila mtu anafurahi na kupongeza kwa hili
Lakini kuna huyu Sabaya aliyehukumiwa miaka 30, tusijiulize sana katika hili pia
Mama afanye wepesi kijana asamehewe arejee na maisha ya uraiani kama kawaida
Pumbavu pumbavuwakuu haki huinua taifa!
Mbowe alishitakiwa kwa makosa ya ugaidi na serikali kwa uoni wake imeamua kuifutilia mbali kesi hiyo na sasa kila mtu anafurahi na kupongeza kwa hili
Lakini kuna huyu Sabaya aliyehukumiwa miaka 30, tusijiulize sana katika hili pia
Mama afanye wepesi kijana asamehewe arejee na maisha ya uraiani kama kawaida
Kesi ya Sabaya na Mbowe ni tofauti kabisa Mkuu. Sabaya ni Jambazi dhahiri kabisa. Alikuwa anafanya Ujambazi hadharani kwa Kofia ya Ukuu Wa Wilaya..wakuu haki huinua taifa!
Mbowe alishitakiwa kwa makosa ya ugaidi na serikali kwa uoni wake imeamua kuifutilia mbali kesi hiyo na sasa kila mtu anafurahi na kupongeza kwa hili
Lakini kuna huyu Sabaya aliyehukumiwa miaka 30, tusijiulize sana katika hili pia
Mama afanye wepesi kijana asamehewe arejee na maisha ya uraiani kama kawaida
hivi huyo meya kwa sasa yuko wapi ?Sabaya yupo sehemu salama sana kwa aliyoyatenda akirudi uraiani bila cheo atachomwa moto na raia wenye hasira fikiria alivyo watesa na kuwanyanganya fedha zao akishirikiana na Meya wa Moshi Rahibu ona sasa Meya laana inavyo mtesa
Alikutwa na kesi ya kujibu, na jana ilibid aanze utetezi. Hivi mnasomaga kesi kweli?