Mbowe yupo kibiashara zaidi na siyo kuwapigania maskini na wanyoge. Kauli yake imewaudhi wapigania haki

Kamanda Asiyechoka

JF-Expert Member
Joined
Sep 13, 2020
Posts
3,315
Reaction score
5,058
Huwezi kutoa kauli kama hii kisa tu ulitia pesa zako kujenga chama. Unatamka hadharani kuwa ulishaumia sana. Ina maana sasa unafanya michongo ya kurudisha pesa zako?

N.b Ndio maana makamanda wapo kimya hata kama bil 10z ilipigwa maana wanajua mkuu wetu anapiga na faida.
 
Wee kiberenge toka Lumumba acha tabia za usimbe!!!
 
Tunajua Mbowe na CDM wanawatia kiwewe, adumu mwenyekiti Mbowe.
 
Kama unasubiri Mbowe ndiye aondoe umasikini wako utakufa masikini chawa wa CCM wewe
 
Biashara gani, anataka kukununua wewe?
 
Huyu Mbowe alikufanya nini mbona unamuandama hivyo? Au ndiyo vile kuwa ukiwa CCM lazima ujitoe ufahamu
 
Majitu ya chadema yamefulia, mtu anaweka pesa, yanamtukana
 
Chawa mtukuka yawezakuwa maoni yako,wenzio wanasemaje?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…