Mbowe yupo sahihi sana. Je, muungano si unaweza kuvunjika wakati wowote tukabaki na mikataba ovyo iliyosainiwa na wageni?

Mbowe yupo sahihi sana. Je, muungano si unaweza kuvunjika wakati wowote tukabaki na mikataba ovyo iliyosainiwa na wageni?

fazili

JF-Expert Member
Joined
Jun 10, 2011
Posts
16,427
Reaction score
22,418
Freeman Mbowe yupo sahihi kabisa kuhoji ni akina nani wanahusika kusaini mikataba hasa ile inayotekelezwa upande mmoja wa muungano.

Haiwezekani mkataba mkubwa wenye kuhusisha lango kuu la Tanganyika ukasainiwa na watu wanaotokea upande mwingine wa muungano! Hivi mkataba huo ukiwa na hujuma na halafu muungano ukavunjika tutamwajibisha nani?

Mbowe yupo sahihi kabisa, mikataba ya upande wa Tanganyika isimamiwe na kusainiwa na watanganyika kama ilivyo kwa upande wa Zanzibar.
 
Mbowe yupo sahihi kabisa, mikataba ya upande wa Tanganyika isimamiwe na kusainiwa na watanganyika kama ilivyo kwa upande wa Zanzibar.
Hapa sasa naanza kufahamu kwanini wa zanzibar hawautaki huu muungano.

Sasa Nyerere alimuondoa Jumbe akiwa rais wa zanzibar na kumuweka Mwinyi wa zanzibar walipiga makelele mwisho wakanyamaza.

Leo Rais wa muungano katokea zanzibar anakodisha bandari ya Tanzania ana baguliwa namna hii?..
 
Hapa sasa naanza kufahamu kwanini wa zanzibar hawautaki huu muungano.

Sasa Nyerere alimuondoa Jumbe akiwa rais wa zanzibar na kumuweka Mwinyi wa zanzibar walipiga makelele mwisho wakanyamaza.

Leo Rais wa muungano katokea zanzibar anakodisha bandari ya Tanzania ana baguliwa namna hii?..
Bandari za Tanganyika zote, baharini, kwenye maziwa na nchi kavu. Wewe huoni kuwa ni upumbavu huo?
 
Freeman Mbowe yupo sahihi kabisa kuhoji ni akina nani wanahusika kusaini mikataba hasa ile inayotekelezwa upande mmoja wa muungano.

Haiwezekani mkataba mkubwa wenye kuhusisha lango kuu la Tanganyika ukasainiwa na watu wanaotokea upande mwingine wa muungano! Hivi mkataba huo ukiwa na hujuma na halafu muungano ukavunjika tutamwajibisha nani?

Mbowe yupo sahihi kabisa, mikataba ya upande wa Tanganyika isimamiwe na kusainiwa na watanganyika kama ilivyo kwa upande wa Zanzibar.
Halafu hao wanaotusainisha nao wako kwenye mlengo ule wa upande wao.

Je si njama hizi?
 
Bandari za Tanganyika zote, baharini, kwenye maziwa na nchi kavu. Wewe huoni kuwa ni upumbavu huo?
Leo imerudi tanganyika si Tanzania bara tena?.

Mimi sikubaliani na kukodisha chochote nchini kikiwa na faida ndogo kwa nchi yetu.
Nataka mikataba ile yenye manufaa kwa nchi na pia kutoa ajira bora na mishahara bora kwa wenye nchi.

Lakini pia sipendi kauli za kibaguzi kwa kosa la kiongozi wa nchi, na hilo kosa likawa la sehemu alio tokea.
 
Back
Top Bottom