Mbulu: Wanusurika kuuawa na gari lao kuteketezwa baada ya kudhaniwa ni watekaji wa watoto

Mbulu: Wanusurika kuuawa na gari lao kuteketezwa baada ya kudhaniwa ni watekaji wa watoto

Jitahidini sana kutokuwa na mazoea na watoto ambao hufahamu wazazi wao wana akili gani. Napenda watoto ila ni wale tu ambao nina mazoea na wazazi wao. Mtoto ambaye simjui huwa namuepuka kwa kadri inavyowezekana.
Ni kweli unalosema. Ni vyema kupunguza mazoea na vitoto vya watu maana pia hata kama sio ishu za utekaji, wanaweza kukuhisi vibaya unalawiti watoto wadogo. Dah sijui utawaambiaje hadi wakuelewe kwamba huna nia mbaya nao.
 
Dunia imeharibika tusome alama za nyakati kwa dunia ya leo huwezi tu kumsaidia mtu(mtoto) usiye mjua watu watakudhania vibaya watakuua.

Hata ukimkuta mbuzi kajiviringisha na kamba anakaribia kufa achana nae, utakapoenda kumsaidia kumfungua watu watasema ulikua unamuiba watakuua kwa kesi ya wizi
 
Serikali isipokua serious kutoa elimu kwa wananchi wetu tutaendelea kuwa na raia bogus milele
You mean serikali isipo acha tabia ya ku ignore serious issues na ku include politics mpaka kwenye mambo ya maana?
 
Wameshindwa kufanya uchunguzi kugundua watekwaji walipo sembuse wachunguze hilo?
Dhamana ya kulinda familia zetu sahivi iko mikononi mwetu.

Nawasapoti hao wananchi
Na hao raia wasio na hatia mnawafidia vipi??
Je na wao wakiamua kulipiza ni sahihi pia!??
Hilo suala na kugundua watekwaji ni vitu viwili tofauti.
Suala la hao waliojeruhiwa ni kuchunguza na kujiridhisha kama ni kweli wametoka harusini kama walivyodai na wanaelekea wapi na wamebeba nini basi.
Usichanganye kesi mbili tofauti.
Kujiridhisha mtu na nia yake na kufanya uchunguzi wa upotevu ni kesi mbili tofauti na zenye uzito tofauti.

Na hao waliojeruhiwa pasi na hatia na wao wanastahili kulipa kisasi,si ndio???
Lamamayee yani labda sio mimi yani uniumize sina hatia kisa mashaka yako!??
Wallahi dini yangu uislam utaliona kaburi lako siku si punde.
 
Tuwe na utaratibu wa kuhoji watu. Wawekeni chini wahojini wametoka wapi kwa nanni na wametoka kufanya nini,wanakwenda wapi wana nini kwenye gari na mnakagua kama ni watu waovu mtawajua tu.

Usiende sehemu ukakuta watu wanapiga nawewe ukapiga tu tue na tabia ya kudadisi vitu kwanza. Tubadilike WATANZANIA!!!
Mkuu wewe ndio umeongea.
Ila kuna wapuuzi wanasema eti wanasapoti hao wananchi walichofanya.
Hivi kama mtu hana hatia na ukamjeruhi vile unamfidia vipi kaka!??
Ukamtia na hasara ya kumchomea gari lake unamfidia vipi kaka!?
 
Pole yao lakini hao jamaa wajinga sana. Unaanzaje kumpa mtoto wa mtu pipi huku humjui wala hakujui? Wacha wapigwe tu.
Mimi hapa hata lifti tu kwenye baiskeli yangu ya swala hupati kama sikujui japo nitakuhurumia tu kwa kutembea.
kupeana pipi ni socialization. ni upendo tu. tutawadaka wote waliotenda ufedhuli huu. tutaanza na wazazi wa mtoto husika kisha walipokuwa wakichaji simu. watu wanawaomba kama mna mashaka nao muwapeleke kituo cha polisi, ninyi mnaleta hasira zenu za umasikini wenu!

mbaf!

JESUS IS LORD&SAVIOR
 
Mie napenda sana watt na nlikuwa na hio tabia nikipita sehem kuna wtt hasa wenye hali za chini kama sina biscuits au pipi za kuwapa basi ntawagea hela. Ila kwa sasa sithubutuuuu naogopa mambo kama hayo. Kila mtu sasa anamuona mwenzie ndio muovu. Mimi pia wanangu sitapenda wapokee chochote from stranger
 
Sitakagi mazoea na mtoto nisiyemjua hata nimuone anakufa barabarani!
Hauchelewi kuambiwa mtekaji au mbakaji na mfiraji
 
Zile zama za mtoto kapata shida unamkimbiza hosp kisha uwatafute wazazi wake zimepitwa sasa na wakati.
 
ras gani anatembea kizembe unapaswa kuwa na sime panga shoka nondo manati
 
Siku hizi usimzoee mtoto yeyote,hata kama unamjua
 
Back
Top Bottom