Pre GE2025 Mbunge Abood ashiriki kuchimba barabara na Wananchi kwa majembe ya mkono

Pre GE2025 Mbunge Abood ashiriki kuchimba barabara na Wananchi kwa majembe ya mkono

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Uchaguzi July, mwarabu ni mla rushwa haswa na bahati nzuri jimbo lake limejaa wajinga haswa, kashindwa nini kununua vifaa vya ujenzi kama grader n.k ambazo ni sawa na mabasi yake 3 kama kweli anawependa sn wananchi wa Gairo? kwa ulimwengu huu wa AI unatengeneza barabara kwa mikono?
Heeerr Abood na Gairo?? Vipi Shabiby itakuwa Moro ?? Au basi tusubiri waje na mgawanyo majimbo.....
 
Abood akili zero kabisa, hivi Mbunge kuomba greda hapo Morogoro mkoani na anaishi hapo na kisha kuweka mafuta alafu greda ikienda hapo hiyo barabara kwa siku moja au mbili ishatengenezwa kwa kiwango cha udongo vizuri tu, itabakia kushindiliwa tu, hapo kwa mikono ni kazi ya ujima kabisa
 
Back
Top Bottom