Uchaguzi July, mwarabu ni mla rushwa haswa na bahati nzuri jimbo lake limejaa wajinga haswa, kashindwa nini kununua vifaa vya ujenzi kama grader n.k ambazo ni sawa na mabasi yake 3 kama kweli anawependa sn wananchi wa Gairo? kwa ulimwengu huu wa AI unatengeneza barabara kwa mikono?