Pre GE2025 Mbunge Abood ashiriki kuchimba barabara na Wananchi kwa majembe ya mkono

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Heeerr Abood na Gairo?? Vipi Shabiby itakuwa Moro ?? Au basi tusubiri waje na mgawanyo majimbo.....
 
Abood akili zero kabisa, hivi Mbunge kuomba greda hapo Morogoro mkoani na anaishi hapo na kisha kuweka mafuta alafu greda ikienda hapo hiyo barabara kwa siku moja au mbili ishatengenezwa kwa kiwango cha udongo vizuri tu, itabakia kushindiliwa tu, hapo kwa mikono ni kazi ya ujima kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…