Mbunge Ahmed Mabukhut Shabiby: Tanzania sio pango la Wanyang'anyi

Tanzania haiwezi kukosa kuwa pango la wanyang'anyi kwa kuwa wapangaji CCM ni wanyang'anyi.
 
Shabiby kaongea point. Ila wengi wetu hatujitambui. Mzee Ruksa alipotoa ruksa kwa mtu kufanya biashara aitakayo, nchi ya Tanzania ikabadilika, vitu vizuri vikaingia, nchi ikapiga hatua. Tukumbuke vizuri kabla ya ruksa tulikuaje? Na serikali ilikuwepo.
 
Na wajanja hawaoni kuwa Shabibu anaishauri serikali iwaruhusu wafanyabiashara wa mafuta wakafanye money laundering huko deep sea. Mtegemee NATO wakisikia hivyo waendelee kuwaletea fedha za makali ya uviko? Mtaambulia vikwazo na hii hali ngumu inayosababishwa na kupanda kwa bei za bidhaa Taifa litatikiswa haswa.
 
MUNGU IBARIKI TANZANIA, MUNGU MBARIKI RAIS WA TANZANIA SAMIA SULUHU HASSAN
Mkuu, unazungumzia kitu gani hasa, maanake umezungukazunguka sielewi hasa hoja yako ni nini? Mama Samia, au?

Maneno meeeengi, lakini 'substance' hakuna!
 
Na kwa sasa wakubwa hao wanawasoma tu na vikura vyao vya 'kutofungamana'.

"Either you're with us or you're not",; na nijuavyo viongozi hawa wa kwetu, haichukui raundi kudondoka chini na kulamba miguu!
 
Serikali ifanye hima kwenye haya;
1. CNG plant iharakishwe
2. Ianze fikiria kuanzishwa kwa plants kubwa za umeme mbadala

Dunia ilipo sasa, kuendelea kutegemea fossil energy ni kujikaanga na matokeo yake ndio kama haya ya bei ya mafuta kuyumbayumba
 
Mkuu, unazungumzia kitu gani hasa, maanake umezungukazunguka sielewi hasa hoja yako ni nini? Mama Samia, au?

Maneno meeeengi, lakini 'substance' hakuna!


😄 uoga umewazidi wabongo mpaka mtu anashindwa kuweka hoja yako wazi…

Kwa mtazamo wangu nahisi anamsihi Shabiby asiachie hapo mchango wake bungeni awapeleke wapiga dili, kamati ya manunuzi ya mafuta Takukuru ili wachunguzwe….Mama anahitaji msaada wake afanye hima😄
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…