The Watchman
JF-Expert Member
- Nov 7, 2023
- 896
- 1,427
Mbunge wa viti maalumu wa Chadema ameihoji serikali kuhusu mpango wa kuijenga kwa upya barabara ya Iringa - Dodoma ambayo imekuwa na mashimo hali inayoondoa hadhi ya barabara hiyo kuunganisha mikoa miwili
Kwa mujibu wa Naibu waziri wa ujenzi na uchukuzi Mha. Godfrey Kasekenya amesema serikali inampango wa kuboresha barabara zote zilizokwisha muda wake na si Iringa- Dodoma tu . Na ikumbukwe Mashimo haya yapo katika barabara inayotumiwa na Baadhi ya viongozi wa nchi wanaopita Iringa kwenda Dodoma, wananchi kuelekea mikoa mbalimbali huku mashimo yakiwa sababu ya kutoka kwa ajali mbalimbali.
Pia soma
Kwa mujibu wa Naibu waziri wa ujenzi na uchukuzi Mha. Godfrey Kasekenya amesema serikali inampango wa kuboresha barabara zote zilizokwisha muda wake na si Iringa- Dodoma tu . Na ikumbukwe Mashimo haya yapo katika barabara inayotumiwa na Baadhi ya viongozi wa nchi wanaopita Iringa kwenda Dodoma, wananchi kuelekea mikoa mbalimbali huku mashimo yakiwa sababu ya kutoka kwa ajali mbalimbali.
Pia soma
- Spika Tulia: Barabara ya Dodoma - Iringa inajengwa upya lakini haina umri wa kujengwa upya
- KERO: Hii Barabara ya Dodoma – Iringa ni hatari kwa usalama wa watu na vyombo vinavyopita