Ukileta hoja za kijinga unategemea majibu gani yanayolenga hoja zako ya kijinga?Upo msemo wa Kingereza usemao,"foolish answers for foolish questions."Chongolo anatakiwa kuwa na hekima Sana ktk kuwajibu wabunge wa chama chake. Huyu ni mbunge, ana hadhi yake. Hata kama hoja yake inaleta maudhi lkn Chongolo kwa nafasi yake hakupaswa kutoa majibu ya kidikteta kiasi hiki.
Tisizilee kauli za kibabe kiasi hiki.
Hii ndiyo hoja ya msingiWakati Rais anawaambia wafanyakazi hawawezi kupandishia mishahara kwa sababu ya hali ya uchumi, Mbunge anataka malipo zaidi ni hujuma kwa Rais".
Moja ya taasisi inayokula fedha za wananchi bila kazi yenye manufaa kwa Taifa ni bunge
Umesahau kuwa wabunge wenzie walimpigia makofi ya mikono na miguu na kushangiliwa. Unataka tupoteze tena mda wa kusikiliza kisichoendana na uhalisiaAlipaswa kupewa nafasi ya kufanya hata mdahalo wa wazi hivi ajenge hoja yake, kisha apigwe maswali na kuyatolea majibu.
Mwalimu kulipwa laki 3 siyo kosa la huyu mbunge, ni la mfumo. Na kosa hili la kimfumo halimzuii yeye kudai nyongeza ya mshahara wake.Kuleana ndiko kunakoliangamiza taifa, kwanini yeye hakutumia hekima kuomba nyongeza ya mshahara huku akijua mwalimu anapata laki 3 kwa mwezi wakati yeye anaipata kwa siku.
ZAO la UCHAFUZI wa UCHAGUZI MKUU 2020Chama cha Mapinduzi (CCM) kimemtaka Mbunge wa Mbogwe, Nicodemus Maganga kama anataka kuhudumia wananchi afuate utaratibu wa nchi na akitaka kulipwa kwa dola ahamie katika nchi zinazofanya hivyo.
Hayo yamesemwa na Katibu Mkuu wa CCM, Daniel Chongolo aliopohijiwa na gazeti la Nipashe
Kwa upande wake kiongozi wa ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe alipoulizwa na Nipashe kuhusu suala hilo alisema
Kama maslahi hayatoshi aache kazi ya Ubunge.
"Wabunge wasipoogopa wananchi hawatakuwa wabunge, Wakati Rais anawaambia wafanyakazi hawawezi kupandishia mishahara kwa sababu ya hali ya uchumi, Mbunge anataka malipo zaidi ni hujuma kwa Rais".
#NipasheView attachment 1828316
Sasa kwann chongolo anamtolea maneno ya kibabe kiasi hiki. Hajui nyuma ya kauli hii Kuna robo tatu ya wabunge wa chama chake?Umesahau kuwa wabunge wenzie walimpigia makofi ya mikono na miguu na kushangiliwa. Unataka tupoteze tena mda wa kusikiliza kisichoendana na uhalisia
Hawana sifa ya ubunge. Hawajachachaguliwa na wananchi. Wezi wa kura hao kwenye uchafuzi mkuu wa 28/10/2020.Warning::
Wabunge wote waachie ngazi.
Alienda bungeni kudai nyongeza ya mshahara wake au kuwatumikia wananchi wakiwemo walimu.Mwalimu kulipwa laki 3 siyo kosa la huyu mbunge, ni la mfumo. Na kosa hili la kimfumo halimzuii yeye kudai nyongeza ya mshahara wake.
Na CHADEMA ni ileile yenye Mwenyekiti mmoja kwa muda wa zaidi ya miaka ishirini.Ccm Ni Ile Ile
Kuwatumikia wananchi lkn kwa malipo stahikiAlienda bungeni kudai nyongeza ya mshahara wake au kuwatumikia wananchi wakiwemo walimu.
Hawa ni wabunge waliopitishwa na mwendazake baada ya wizi wa kura.Chama cha Mapinduzi (CCM) kimemtaka Mbunge wa Mbogwe, Nicodemus Maganga kama anataka kuhudumia wananchi afuate utaratibu wa nchi na akitaka kulipwa kwa dola ahamie katika nchi zinazofanya hivyo.
Hayo yamesemwa na Katibu Mkuu wa CCM, Daniel Chongolo aliopohijiwa na gazeti la Nipashe
Kwa upande wake kiongozi wa ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe alipoulizwa na Nipashe kuhusu suala hilo alisema
Kama maslahi hayatoshi aache kazi ya Ubunge.
"Wabunge wasipoogopa wananchi hawatakuwa wabunge, Wakati Rais anawaambia wafanyakazi hawawezi kupandishia mishahara kwa sababu ya hali ya uchumi, Mbunge anataka malipo zaidi ni hujuma kwa Rais".
#NipasheView attachment 1828316
Hilo nalo nenoKwani alichaguluwa na wananchi? Huyu ni zao la uchafuzi mkuu.
Wengi sana hapo futa Special seats wote ,futa nominated by PRESIDENT wote ,punguza majimbo 170
Hajahukumiwa bado; kesi yake iko kwa wananchi hadi 2025 ndipo hukumu utajionea mwenyewe, kama ndiyo shida yako.Huyu mbunge hakupaswa kuhukumiwa kwa hisia na machungu ya umaskini wetu. Alipaswa kupewa nafasi ya kufanya hata mdahalo wa wazi hivi ajenge hoja yake, kisha apigwe maswali na kuyatolea majibu.
Ukiangalia wachangiaji wengi ktk nyuzi zinazohusu kauli ya huyu mbunge, hakuna anayepinga kwa hoja kuntu. Wengi wanajadili utofauti uliopo Kati ya mshahara wa mbunge na wafanyakazi wengine.
Lkn hawajikiti kwenye mantiki ya hoja ya mbunge kwamba mshahara haumtoshi mbunge ukilinganisha na majukumu aliyo nayo.
Angejaribu huu ujinga wakati wa Jiwe "angefurahishwa"Hii ndiyo hoja ya msingi
Palepale mlikoandamania mwaka jana na yule rais wenu, sawa!???
Haya nitafanya hivyo bosi wangu, kama ni rahisi tu kiasi hiko -- Kufuta!!! Kufuta!!! Kufuta!!! Nawaambia njoeni tarehe 1 Julai tuandamane Bi Mkubwa katuharibia nchi, mnabaki tu Jeiefu kutaipu sijui nini.wengi sana hapo futa Special seats wote ,futa nominated by PRESIDENT wote ,punguza majimbo 170
Nahisi kama Sheria inayomtambua mbunge inamlinda kupindukia, it is as if akisha pata ubunge kinachoweza kumtoa bungeni ni kifo tuuuuuuAngejaribu huu ujinga wakati wa Jiwe "angefurahishwa"