Mbunge aliyedai waongezewe mshahara atakiwa aachie jimbo, CCM nao watoa kauli

Mbunge aliyedai waongezewe mshahara atakiwa aachie jimbo, CCM nao watoa kauli

Ubunge wenyewe aliupatapataje? Tuanzie hapo kwanza, ..... hajali wananchi wake kwasababu sio waliomchagua, chama chake ndicho kilichomweka hapo na ndicho chenye ubavu wa kumwondoa, si wananchi
 
Chongolo anatakiwa kuwa na hekima Sana ktk kuwajibu wabunge wa chama chake. Huyu ni mbunge, ana hadhi yake. Hata kama hoja yake inaleta maudhi lkn Chongolo kwa nafasi yake hakupaswa kutoa majibu ya kidikteta kiasi hiki.

Tisizilee kauli za kibabe kiasi hiki.
Huyo mbunge ni nani mbele ya katibu mkuu wake?
 
WERA WERA Daniel G. Chongolo kwa mwongozo, wewe ndio boss, hope wamekuelewa yaani. Zitto simpongezi though kaongea ukweli, nina sababu zangu
 
Alidhani pesa ni za kuokota akishaukwaa ubunge hata kazi yake ya kuozesha vifusi si lelema.
Mshahara mkubwa sana huo ila ukilinganisha na shughuli zake za madini ni haki yake kulia aongezewe
watu wa madini wana dherewi sana.
 
Chama cha Mapinduzi (CCM) kimemtaka Mbunge wa Mbogwe, Nicodemus Maganga kama anataka kuhudumia wananchi afuate utaratibu wa nchi na akitaka kulipwa kwa dola ahamie katika nchi zinazofanya hivyo.

Hayo yamesemwa na Katibu Mkuu wa CCM, Daniel Chongolo aliopohojiwa na gazeti la Nipashe

Kwa upande wake kiongozi wa ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe alipoulizwa na Nipashe kuhusu suala hilo alisema

Kama maslahi hayatoshi aache kazi ya Ubunge.

"Wabunge wasipoogopa wananchi hawatakuwa wabunge, Wakati Rais anawaambia wafanyakazi hawawezi kupandishia mishahara kwa sababu ya hali ya uchumi, Mbunge anataka malipo zaidi ni hujuma kwa Rais".

#Nipashe


View attachment 1828316
Ndo maana nchi za wenzetu,wana neno hili(Utalifanyia ni taifa lako).Sisi huku,nitakula nini tumbo langu kwa kupitia taifa langu🐓🐓🐓🐠🐠🐡🐡🌳🌲🌾🌾!!!
 
Chongolo anatakiwa kuwa na hekima Sana ktk kuwajibu wabunge wa chama chake. Huyu ni mbunge, ana hadhi yake. Hata kama hoja yake inaleta maudhi lkn Chongolo kwa nafasi yake hakupaswa kutoa majibu ya kidikteta kiasi hiki.

Tisizilee kauli za kibabe kiasi hiki.
Wakat mungine wajinga kama wale majibu yao yanapaswa yawe hivi hivi !! Yeye analia na mshahara mdogo ,kwani wakat anagombea ajaliona hili !? Lofa sana kama kazi aina maslahi acha na katafute kazi nyengine ,jibu zuri sana lile

Sent from my Infinix X623 using JamiiForums mobile app
 
Ndo maana nchi za wenzetu,wana neno hili(Utalifanyia ni taifa lako).Sisi huku,nitakula nini tumbo langu kwa kupitia taifa langu[emoji239][emoji239][emoji239][emoji225][emoji225][emoji245][emoji245][emoji269][emoji268][emoji264][emoji264]!!!
Ndio wawakilishi.wetu hawa
 
Huyu mbunge hakupaswa kuhukumiwa kwa hisia na machungu ya umaskini wetu. Alipaswa kupewa nafasi ya kufanya hata mdahalo wa wazi ili ajenge hoja yake, kisha apigwe maswali na kuyatolea majibu.

Ukiangalia wachangiaji wengi ktk nyuzi zinazohusu kauli ya huyu mbunge, hakuna anayepinga kwa hoja kuntu. Wengi wanajadili utofauti uliopo Kati ya mshahara wa mbunge na wafanyakazi wengine.

Lkn hawajikiti kwenye mantiki ya hoja ya mbunge kwamba mshahara haumtoshi mbunge ukilinganisha na majukumu aliyo nayo.
Zipo pesa za jimbo zinazo shughulikia ,jimbo yeye anataja masuala ya kuangalia wagonjwa kuwapa watu pesa wa jimbon kwake !! Kwan hiyo ni kazi ya mbunge !? Kama anataka aanze kugawa hela afungue foundation yake !! Na utawagawia wangap!? Huyu ni mlafi tu

Sent from my Infinix X623 using JamiiForums mobile app
 
Chama cha Mapinduzi (CCM) kimemtaka Mbunge wa Mbogwe, Nicodemus Maganga kama anataka kuhudumia wananchi afuate utaratibu wa nchi na akitaka kulipwa kwa dola ahamie katika nchi zinazofanya hivyo.

Hayo yamesemwa na Katibu Mkuu wa CCM, Daniel Chongolo aliopohojiwa na gazeti la Nipashe

Kwa upande wake kiongozi wa ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe alipoulizwa na Nipashe kuhusu suala hilo alisema

Kama maslahi hayatoshi aache kazi ya Ubunge.

"Wabunge wasipoogopa wananchi hawatakuwa wabunge, Wakati Rais anawaambia wafanyakazi hawawezi kupandishia mishahara kwa sababu ya hali ya uchumi, Mbunge anataka malipo zaidi ni hujuma kwa Rais".

#Nipashe


View attachment 1828316
Wale waliogonga meza na kumshangilia wameambiwaje?
 
Chama cha Mapinduzi (CCM) kimemtaka Mbunge wa Mbogwe, Nicodemus Maganga kama anataka kuhudumia wananchi afuate utaratibu wa nchi na akitaka kulipwa kwa dola ahamie katika nchi zinazofanya hivyo.

Hayo yamesemwa na Katibu Mkuu wa CCM, Daniel Chongolo aliopohojiwa na gazeti la Nipashe

Kwa upande wake kiongozi wa ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe alipoulizwa na Nipashe kuhusu suala hilo alisema

Kama maslahi hayatoshi aache kazi ya Ubunge.

"Wabunge wasipoogopa wananchi hawatakuwa wabunge, Wakati Rais anawaambia wafanyakazi hawawezi kupandishia mishahara kwa sababu ya hali ya uchumi, Mbunge anataka malipo zaidi ni hujuma kwa Rais".

#Nipashe


View attachment 1828316
Aachie ngazi wapo waliotayari kuhudumu bure
 
Watakuwa wamedukua mitambo yetu na kusikia kwamba tarehe 1 Julai tunaandamana nchi nzima ili kuwafurusha woooooooote Mjengoni pamoja na timu yote huko juu ya Bi Mkubwa wao.
Acha kuropoka ongea vitu vya msingi,busara na hekina vinavyowezekana,mbuzi wewe!!
 
Chama cha Mapinduzi (CCM) kimemtaka Mbunge wa Mbogwe, Nicodemus Maganga kama anataka kuhudumia wananchi afuate utaratibu wa nchi na akitaka kulipwa kwa dola ahamie katika nchi zinazofanya hivyo.

Hayo yamesemwa na Katibu Mkuu wa CCM, Daniel Chongolo aliopohojiwa na gazeti la Nipashe

Kwa upande wake kiongozi wa ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe alipoulizwa na Nipashe kuhusu suala hilo alisema

Kama maslahi hayatoshi aache kazi ya Ubunge.

"Wabunge wasipoogopa wananchi hawatakuwa wabunge, Wakati Rais anawaambia wafanyakazi hawawezi kupandishia mishahara kwa sababu ya hali ya uchumi, Mbunge anataka malipo zaidi ni hujuma kwa Rais".

#Nipashe


View attachment 1828316
Huyo Mbunge ataomba msamaha hata kabla jogoo halijawika
 
Safiii sanaaa Katibu Mkuu CCM Mh. Daniel Chongolo
 
Chongolo anatakiwa kuwa na hekima Sana ktk kuwajibu wabunge wa chama chake. Huyu ni mbunge, ana hadhi yake. Hata kama hoja yake inaleta maudhi lkn Chongolo kwa nafasi yake hakupaswa kutoa majibu ya kidikteta kiasi hiki.

Tisizilee kauli za kibabe kiasi hiki.
Hekima alitakiwa awe nayo huyo mbunge uchwara, au ndiyo wewe huyo mbunge umeamua kujifaragua?
Chongolo is 100% right, calling spade a spade.
Kuulea ushenzi na uzandiki wa wabunge wakati hata ubunge wenyewe wameupata kisanii ni upumbavu.
 
Back
Top Bottom