Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo mbunge ni nani mbele ya katibu mkuu wake?Chongolo anatakiwa kuwa na hekima Sana ktk kuwajibu wabunge wa chama chake. Huyu ni mbunge, ana hadhi yake. Hata kama hoja yake inaleta maudhi lkn Chongolo kwa nafasi yake hakupaswa kutoa majibu ya kidikteta kiasi hiki.
Tisizilee kauli za kibabe kiasi hiki.
Ndo maana nchi za wenzetu,wana neno hili(Utalifanyia ni taifa lako).Sisi huku,nitakula nini tumbo langu kwa kupitia taifa langu🐓🐓🐓🐠🐠🐡🐡🌳🌲🌾🌾!!!Chama cha Mapinduzi (CCM) kimemtaka Mbunge wa Mbogwe, Nicodemus Maganga kama anataka kuhudumia wananchi afuate utaratibu wa nchi na akitaka kulipwa kwa dola ahamie katika nchi zinazofanya hivyo.
Hayo yamesemwa na Katibu Mkuu wa CCM, Daniel Chongolo aliopohojiwa na gazeti la Nipashe
Kwa upande wake kiongozi wa ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe alipoulizwa na Nipashe kuhusu suala hilo alisema
Kama maslahi hayatoshi aache kazi ya Ubunge.
"Wabunge wasipoogopa wananchi hawatakuwa wabunge, Wakati Rais anawaambia wafanyakazi hawawezi kupandishia mishahara kwa sababu ya hali ya uchumi, Mbunge anataka malipo zaidi ni hujuma kwa Rais".
#Nipashe
View attachment 1828316
Wakat mungine wajinga kama wale majibu yao yanapaswa yawe hivi hivi !! Yeye analia na mshahara mdogo ,kwani wakat anagombea ajaliona hili !? Lofa sana kama kazi aina maslahi acha na katafute kazi nyengine ,jibu zuri sana lileChongolo anatakiwa kuwa na hekima Sana ktk kuwajibu wabunge wa chama chake. Huyu ni mbunge, ana hadhi yake. Hata kama hoja yake inaleta maudhi lkn Chongolo kwa nafasi yake hakupaswa kutoa majibu ya kidikteta kiasi hiki.
Tisizilee kauli za kibabe kiasi hiki.
Ndio wawakilishi.wetu hawaNdo maana nchi za wenzetu,wana neno hili(Utalifanyia ni taifa lako).Sisi huku,nitakula nini tumbo langu kwa kupitia taifa langu[emoji239][emoji239][emoji239][emoji225][emoji225][emoji245][emoji245][emoji269][emoji268][emoji264][emoji264]!!!
Zipo pesa za jimbo zinazo shughulikia ,jimbo yeye anataja masuala ya kuangalia wagonjwa kuwapa watu pesa wa jimbon kwake !! Kwan hiyo ni kazi ya mbunge !? Kama anataka aanze kugawa hela afungue foundation yake !! Na utawagawia wangap!? Huyu ni mlafi tuHuyu mbunge hakupaswa kuhukumiwa kwa hisia na machungu ya umaskini wetu. Alipaswa kupewa nafasi ya kufanya hata mdahalo wa wazi ili ajenge hoja yake, kisha apigwe maswali na kuyatolea majibu.
Ukiangalia wachangiaji wengi ktk nyuzi zinazohusu kauli ya huyu mbunge, hakuna anayepinga kwa hoja kuntu. Wengi wanajadili utofauti uliopo Kati ya mshahara wa mbunge na wafanyakazi wengine.
Lkn hawajikiti kwenye mantiki ya hoja ya mbunge kwamba mshahara haumtoshi mbunge ukilinganisha na majukumu aliyo nayo.
Wale waliogonga meza na kumshangilia wameambiwaje?Chama cha Mapinduzi (CCM) kimemtaka Mbunge wa Mbogwe, Nicodemus Maganga kama anataka kuhudumia wananchi afuate utaratibu wa nchi na akitaka kulipwa kwa dola ahamie katika nchi zinazofanya hivyo.
Hayo yamesemwa na Katibu Mkuu wa CCM, Daniel Chongolo aliopohojiwa na gazeti la Nipashe
Kwa upande wake kiongozi wa ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe alipoulizwa na Nipashe kuhusu suala hilo alisema
Kama maslahi hayatoshi aache kazi ya Ubunge.
"Wabunge wasipoogopa wananchi hawatakuwa wabunge, Wakati Rais anawaambia wafanyakazi hawawezi kupandishia mishahara kwa sababu ya hali ya uchumi, Mbunge anataka malipo zaidi ni hujuma kwa Rais".
#Nipashe
View attachment 1828316
Nadhani sauti inatosha kuwafikiaWale waliogonga meza na kumshangilia wameambiwaje?
Aachie ngazi wapo waliotayari kuhudumu bureChama cha Mapinduzi (CCM) kimemtaka Mbunge wa Mbogwe, Nicodemus Maganga kama anataka kuhudumia wananchi afuate utaratibu wa nchi na akitaka kulipwa kwa dola ahamie katika nchi zinazofanya hivyo.
Hayo yamesemwa na Katibu Mkuu wa CCM, Daniel Chongolo aliopohojiwa na gazeti la Nipashe
Kwa upande wake kiongozi wa ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe alipoulizwa na Nipashe kuhusu suala hilo alisema
Kama maslahi hayatoshi aache kazi ya Ubunge.
"Wabunge wasipoogopa wananchi hawatakuwa wabunge, Wakati Rais anawaambia wafanyakazi hawawezi kupandishia mishahara kwa sababu ya hali ya uchumi, Mbunge anataka malipo zaidi ni hujuma kwa Rais".
#Nipashe
View attachment 1828316
Ipo haja Bunge liwe na full control ya wananchi hivi sasa, maana anayelisimamia mi kama mfuWale waliogonga meza na kumshangilia wameambiwaje?
Acha kuropoka ongea vitu vya msingi,busara na hekina vinavyowezekana,mbuzi wewe!!Watakuwa wamedukua mitambo yetu na kusikia kwamba tarehe 1 Julai tunaandamana nchi nzima ili kuwafurusha woooooooote Mjengoni pamoja na timu yote huko juu ya Bi Mkubwa wao.
Huyo Mbunge ataomba msamaha hata kabla jogoo halijawikaChama cha Mapinduzi (CCM) kimemtaka Mbunge wa Mbogwe, Nicodemus Maganga kama anataka kuhudumia wananchi afuate utaratibu wa nchi na akitaka kulipwa kwa dola ahamie katika nchi zinazofanya hivyo.
Hayo yamesemwa na Katibu Mkuu wa CCM, Daniel Chongolo aliopohojiwa na gazeti la Nipashe
Kwa upande wake kiongozi wa ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe alipoulizwa na Nipashe kuhusu suala hilo alisema
Kama maslahi hayatoshi aache kazi ya Ubunge.
"Wabunge wasipoogopa wananchi hawatakuwa wabunge, Wakati Rais anawaambia wafanyakazi hawawezi kupandishia mishahara kwa sababu ya hali ya uchumi, Mbunge anataka malipo zaidi ni hujuma kwa Rais".
#Nipashe
View attachment 1828316
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huyo Mbunge ataomba msamaha hata kabla jogoo halijawika
😝😝Watakuwa wamedukua mitambo yetu na kusikia kwamba tarehe 1 Julai tunaandamana nchi nzima ili kuwafurusha woooooooote Mjengoni pamoja na timu yote huko juu ya Bi Mkubwa wao.
Hekima alitakiwa awe nayo huyo mbunge uchwara, au ndiyo wewe huyo mbunge umeamua kujifaragua?Chongolo anatakiwa kuwa na hekima Sana ktk kuwajibu wabunge wa chama chake. Huyu ni mbunge, ana hadhi yake. Hata kama hoja yake inaleta maudhi lkn Chongolo kwa nafasi yake hakupaswa kutoa majibu ya kidikteta kiasi hiki.
Tisizilee kauli za kibabe kiasi hiki.
Huyu unu ge ni interest tu,anamiliki maduara ya migodi, petrol stations na biashara nyingineAende akaendelee na kazi yake ya uchimbaji "gold digger"