Mbunge aliyedai waongezewe mshahara atakiwa aachie jimbo, CCM nao watoa kauli

Mbunge aliyedai waongezewe mshahara atakiwa aachie jimbo, CCM nao watoa kauli

Chongolo anatakiwa kuwa na hekima Sana ktk kuwajibu wabunge wa chama chake. Huyu ni mbunge, ana hadhi yake. Hata kama hoja yake inaleta maudhi lkn Chongolo kwa nafasi yake hakupaswa kutoa majibu ya kidikteta kiasi hiki.

Tisizilee kauli za kibabe kiasi hiki.
Kuna vitu vya kubembeleza ila sio huo upuuz
 
Aache kazi ana skills gani za kuajiriwa. Wametoka kupata millioni 400 kwa kukaa Dodoma for 3 months. Wana akili ya kuku viongozi wetu. Yeye analipwa allowance kwa kwenda kazi. Imbecile MPs. CCM has the power of expelling their members, this one has to go. He gets 12 million just for opening his mouth and vomiting uharo. Do we need MPS I really don’t understand their role, no one questions the government programs.
Mkuu wake kamuwashia moto[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
FB_IMG_1624523595039.jpg
 
Huyu mbunge hakupaswa kuhukumiwa kwa hisia na machungu ya umaskini wetu. Alipaswa kupewa nafasi ya kufanya hata mdahalo wa wazi ili ajenge hoja yake, kisha apigwe maswali na kuyatolea majibu.

Ukiangalia wachangiaji wengi ktk nyuzi zinazohusu kauli ya huyu mbunge, hakuna anayepinga kwa hoja kuntu. Wengi wanajadili utofauti uliopo Kati ya mshahara wa mbunge na wafanyakazi wengine.

Lkn hawajikiti kwenye mantiki ya hoja ya mbunge kwamba mshahara haumtoshi mbunge ukilinganisha na majukumu aliyo nayo.
Majukumu yao? Wana majukumu gani? The gov is CCM and they can’t question anything. Any minister can take any policy to parliament s
And they will pass it without any questions. They don’t know why they are there.big pay!! Maprofesa wameacha vyeo kukimbilia bungeni, jiulize why? To be paid very well and do nothing as in nothing.
 
Chongolo anatakiwa kuwa na hekima Sana ktk kuwajibu wabunge wa chama chake. Huyu ni mbunge, ana hadhi yake. Hata kama hoja yake inaleta maudhi lkn Chongolo kwa nafasi yake hakupaswa kutoa majibu ya kidikteta kiasi hiki.

Tisizilee kauli za kibabe kiasi hiki.
Kwa hiyo unamteta nini?. Mwalimu baadaya ya makato ,hata hiyo posho yake ya siku ya 300,000 haifiki. Na kuna tatizo kubwa la vijana ajira.na umasikini mkubwa kwa watz waliowengi.Yeye anataka aongezewe posho za starehe.Na kwa kazi ngani ya maana wabunge wanayoifanya.Wanaongea maneno yale yale kila Bunge.Wanaongea kana kwamba nchi ndiyo imepata uhuru mwaka jana.

Matatizo ya kilimo yanafahamika,matatizo yakila sector yanafahamika.kikubwa ni utekelezaji tu.
 
Huyu mbunge hakupaswa kuhukumiwa kwa hisia na machungu ya umaskini wetu. Alipaswa kupewa nafasi ya kufanya hata mdahalo wa wazi ili ajenge hoja yake, kisha apigwe maswali na kuyatolea majibu.

Ukiangalia wachangiaji wengi ktk nyuzi zinazohusu kauli ya huyu mbunge, hakuna anayepinga kwa hoja kuntu. Wengi wanajadili utofauti uliopo Kati ya mshahara wa mbunge na wafanyakazi wengine.

Lkn hawajikiti kwenye mantiki ya hoja ya mbunge kwamba mshahara haumtoshi mbunge ukilinganisha na majukumu aliyo nayo.
Kuna interview moja nimeiona ametolea ufafanuzi juu ya yeye kudai nyongeza ya mshahara.
 
Uchaguzi ungekuwa ni gharama nafuu ingepaswa urudiwe Ili tupate wawakilishi halali wa wananchi na sio hao waliowekwa na mwendazake kumsaidia kubadili katiba atawale milele
 
Kuna viumbe hapa duniani havina huruma aise.. ..kuna watu wanaishi na mlo mmoja per day!! Wewe unataka mshahara uongezwe! Huyu hastahili kuwa kiongozi, ataifilisi serikali
 
Chongolo anatakiwa kuwa na hekima Sana ktk kuwajibu wabunge wa chama chake. Huyu ni mbunge, ana hadhi yake. Hata kama hoja yake inaleta maudhi lkn Chongolo kwa nafasi yake hakupaswa kutoa majibu ya kidikteta kiasi hiki.

Tisizilee kauli za kibabe kiasi hiki.
Acha wararuane wenyewe kwa wenyewe...!
 
Huyu mbunge hakupaswa kuhukumiwa kwa hisia na machungu ya umaskini wetu. Alipaswa kupewa nafasi ya kufanya hata mdahalo wa wazi ili ajenge hoja yake, kisha apigwe maswali na kuyatolea majibu.

Ukiangalia wachangiaji wengi ktk nyuzi zinazohusu kauli ya huyu mbunge, hakuna anayepinga kwa hoja kuntu. Wengi wanajadili utofauti uliopo Kati ya mshahara wa mbunge na wafanyakazi wengine.

Lkn hawajikiti kwenye mantiki ya hoja ya mbunge kwamba mshahara haumtoshi mbunge ukilinganisha na majukumu aliyo nayo.
Huyu kakosea alipooona taaluma za watu hazina thamani yaani walimu hawana maana madaktari hawana maana ila yeye mbunge anamaana sana? Posho na mishahara yao haikatwi kodi yeyote na bado akimaliza anapewa pension ambayo hakuchangia hata cent
 
Mbunge anawashauli wenzake asituogope sisi wananchi kwa kudai nyongeza ya mshahara. Ndio tuliyomtuma akatuwakilishe huko mbungeni? Muda utaongea
 
Chongolo anatakiwa kuwa na hekima Sana ktk kuwajibu wabunge wa chama chake. Huyu ni mbunge, ana hadhi yake. Hata kama hoja yake inaleta maudhi lkn Chongolo kwa nafasi yake hakupaswa kutoa majibu ya kidikteta kiasi hiki.

Tisizilee kauli za kibabe kiasi hiki.

Mkuu naomba ujikumbushe kauli za mr Chongolo akiwa DC kinondoni akimpa makavu aliyekuwa boss wake makonda, chongolo hacheleweshaji ujinga kama unavyotaka iwe kama mlivyozoea kwa mwendazake
 
Back
Top Bottom