Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna vitu vya kubembeleza ila sio huo upuuzChongolo anatakiwa kuwa na hekima Sana ktk kuwajibu wabunge wa chama chake. Huyu ni mbunge, ana hadhi yake. Hata kama hoja yake inaleta maudhi lkn Chongolo kwa nafasi yake hakupaswa kutoa majibu ya kidikteta kiasi hiki.
Tisizilee kauli za kibabe kiasi hiki.
Mkuu wake kamuwashia moto[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Aache kazi ana skills gani za kuajiriwa. Wametoka kupata millioni 400 kwa kukaa Dodoma for 3 months. Wana akili ya kuku viongozi wetu. Yeye analipwa allowance kwa kwenda kazi. Imbecile MPs. CCM has the power of expelling their members, this one has to go. He gets 12 million just for opening his mouth and vomiting uharo. Do we need MPS I really don’t understand their role, no one questions the government programs.
Majukumu yao? Wana majukumu gani? The gov is CCM and they can’t question anything. Any minister can take any policy to parliament sHuyu mbunge hakupaswa kuhukumiwa kwa hisia na machungu ya umaskini wetu. Alipaswa kupewa nafasi ya kufanya hata mdahalo wa wazi ili ajenge hoja yake, kisha apigwe maswali na kuyatolea majibu.
Ukiangalia wachangiaji wengi ktk nyuzi zinazohusu kauli ya huyu mbunge, hakuna anayepinga kwa hoja kuntu. Wengi wanajadili utofauti uliopo Kati ya mshahara wa mbunge na wafanyakazi wengine.
Lkn hawajikiti kwenye mantiki ya hoja ya mbunge kwamba mshahara haumtoshi mbunge ukilinganisha na majukumu aliyo nayo.
Kwa hiyo unamteta nini?. Mwalimu baadaya ya makato ,hata hiyo posho yake ya siku ya 300,000 haifiki. Na kuna tatizo kubwa la vijana ajira.na umasikini mkubwa kwa watz waliowengi.Yeye anataka aongezewe posho za starehe.Na kwa kazi ngani ya maana wabunge wanayoifanya.Wanaongea maneno yale yale kila Bunge.Wanaongea kana kwamba nchi ndiyo imepata uhuru mwaka jana.Chongolo anatakiwa kuwa na hekima Sana ktk kuwajibu wabunge wa chama chake. Huyu ni mbunge, ana hadhi yake. Hata kama hoja yake inaleta maudhi lkn Chongolo kwa nafasi yake hakupaswa kutoa majibu ya kidikteta kiasi hiki.
Tisizilee kauli za kibabe kiasi hiki.
Kuna interview moja nimeiona ametolea ufafanuzi juu ya yeye kudai nyongeza ya mshahara.Huyu mbunge hakupaswa kuhukumiwa kwa hisia na machungu ya umaskini wetu. Alipaswa kupewa nafasi ya kufanya hata mdahalo wa wazi ili ajenge hoja yake, kisha apigwe maswali na kuyatolea majibu.
Ukiangalia wachangiaji wengi ktk nyuzi zinazohusu kauli ya huyu mbunge, hakuna anayepinga kwa hoja kuntu. Wengi wanajadili utofauti uliopo Kati ya mshahara wa mbunge na wafanyakazi wengine.
Lkn hawajikiti kwenye mantiki ya hoja ya mbunge kwamba mshahara haumtoshi mbunge ukilinganisha na majukumu aliyo nayo.
Aende akaendelee na kazi yake ya uchimbaji "gold digger"
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji2299][emoji2299][emoji2299]Huyu hata sio mchimbaji ni kondakta tu wa mabasi
Acha wararuane wenyewe kwa wenyewe...!Chongolo anatakiwa kuwa na hekima Sana ktk kuwajibu wabunge wa chama chake. Huyu ni mbunge, ana hadhi yake. Hata kama hoja yake inaleta maudhi lkn Chongolo kwa nafasi yake hakupaswa kutoa majibu ya kidikteta kiasi hiki.
Tisizilee kauli za kibabe kiasi hiki.
Nani huyo ataandamana Julai Mosi?Watakuwa wamedukua mitambo yetu na kusikia kwamba tarehe 1 Julai tunaandamana nchi nzima ili kuwafurusha woooooooote Mjengoni pamoja na timu yote huko juu ya Bi Mkubwa wao.
Huyu kakosea alipooona taaluma za watu hazina thamani yaani walimu hawana maana madaktari hawana maana ila yeye mbunge anamaana sana? Posho na mishahara yao haikatwi kodi yeyote na bado akimaliza anapewa pension ambayo hakuchangia hata centHuyu mbunge hakupaswa kuhukumiwa kwa hisia na machungu ya umaskini wetu. Alipaswa kupewa nafasi ya kufanya hata mdahalo wa wazi ili ajenge hoja yake, kisha apigwe maswali na kuyatolea majibu.
Ukiangalia wachangiaji wengi ktk nyuzi zinazohusu kauli ya huyu mbunge, hakuna anayepinga kwa hoja kuntu. Wengi wanajadili utofauti uliopo Kati ya mshahara wa mbunge na wafanyakazi wengine.
Lkn hawajikiti kwenye mantiki ya hoja ya mbunge kwamba mshahara haumtoshi mbunge ukilinganisha na majukumu aliyo nayo.
Chongolo anatakiwa kuwa na hekima Sana ktk kuwajibu wabunge wa chama chake. Huyu ni mbunge, ana hadhi yake. Hata kama hoja yake inaleta maudhi lkn Chongolo kwa nafasi yake hakupaswa kutoa majibu ya kidikteta kiasi hiki.
Tisizilee kauli za kibabe kiasi hiki.