Mbunge aliyedai waongezewe mshahara atakiwa aachie jimbo, CCM nao watoa kauli

Vipi kuhusu....
-Wabunge wa Covid 19 kuendelea kuwepo bungeni huku wakivuta mbunga mrefu wakati ni kinyume cha Katiba, Chongole na Zitto wanasemaje?

-Na wale wabunge waliopiga meza na kuunga mkono hoja ya Mbogwe yakuongezewa mshahara, Chongole na Zitto wanasemaje?
 
Sauti ya Katibu imewafikia woote
 
Mbunge mwenyewe siniwewe,Ebu tupe hoja zako kwann tukuongezee mshahara
 
Lkn hawajikiti kwenye mantiki ya hoja ya mbunge kwamba mshahara haumtoshi mbunge ukilinganisha na majukumu aliyo nayo.
Majukumu waliyonayo hawa wabunge, ambao wanajua fika kwamba uwepo wao bungeni haukutokana na maamuzi huru ya wananchi bali matakwa ya genge haramu lililoongozwa na dikteta uchwara asiye na hekima wala busara, ni yapi?

Kama kuna taasisi inayohitajika ipigwe chini ni hili bunge la mayatima chini ya yatima mkuu Ndugai ambaye kama si uvumilivu na ukondoo wa Watanzania hakutakiwa kuendelea kukinajisi kiti cha uspika hata kwa dakika moja zaidi.

Halafu mtazame huyo, eti Sexless ...je anapata wapi ujasiri wa kutaka eti walipwe zaidi kama si uendawazimu!
 
Ingekuwa wewe ungejibuje mkuu, hivi kwa maslahi hayo bado analalama? Mimi naona mhe. Daniel chongolo yupo sahihi Sana.
 
CCM wote ni makanjanja watupu, wanamshangaa mbunge wao utafikri hawajui kuwa wabunge wa CCM wako bungeni kwa ajili ya maslahi yao,pamoja na kulinda maslahi ya CCM.
 
Wewe mwenyewe ni mpuuzi kama huyo mbunge wako.

Mbunge anayo majukumu gani zaidi ya watumishi wengine wa wananchi? Toka aingie bungeni kachangia nini zaidi ya ulafi alionao yeye! Mchango wa kwanza anadai mshahara mnene, huo uliopo alipokuwa anaomba achaguliwe hakujuwa kwamba hautoshi?

Wananchi wanaowachagua watu kama hawa kwenda kuwawakilisha bungeni watakuwa ni watu wa ajabu. Lakini najuwa wengi wa hawa wabunge wamo humo bungeni bila kuchaguliwa na wananchi.

Sasa kama wewe unataka akafanye mdahalo, nenda kamwambie aweke huo mdahalo nje ya bunge. Anatumia muda wa bunge kutafuta maslahi binafsi badala ya kutafuta utatuzi wa shida za wananchi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…