Mbunge aliyeongoza kuapishwa kwa Raila Odinga jana akamatwa

Mbunge aliyeongoza kuapishwa kwa Raila Odinga jana akamatwa

Waandishi wetu ni mburulaz yaani kutafuta details kuwa huyu jamaa kwa sasa si mbunge wa Ruaraka kimewashinda nini?
Kwanini unasema si mbunge? Atapoteza ubunge wake, pale ambapo mahakama yeyote ile itakapompa kifungo cha miezi zaidi ya sita. Hii ni kwa mujibu wa katiba ya Kenya 2010.
 
Aliuawa aboud rogo hadharan mchana kweupe

Mi huwa nashangaa tunavyolinganisha Kenya na Tz kwny umafia
Rogo alistahili kifo, hata hivyo walimchelewesha sana, maana kwa uhuni aliokuwa anafanya angeiletea Kenya matatizo makubwa sana.
 
View attachment 688155



Mbunge wa Ruaraka, MP TJ Kajwang’, ambaye ndiye aliongoza tukio la kuapishwa kwa kiongozi wa NASA, Raila Odinga amekamatwa

Mbunge huyo amekamatwa leo na askari polisi waliokuwa hawana sare nje ya mahakama ya Milimanji Jijijni Nairobi
===================================================

Ruaraka, MP TJ Kajwang who led the “swearing-in” of Nasa leader Raila Odinga at Uhuru Park Tuesday has been arrested.

The MP was arrested Wednesday afternoon by plain clothes police officers outside the Milimani Law Courts in Nairobi.

He had just appeared before High Court judge George Odunga for a ruling in a case he is representing MPs who are challenging the reduction of their salaries and allowances.

Mr Kajwang’ and another lawyer, Miguna Miguna, were at the centre of events at Uhuru Park that culminated in the “swearing-in” of Mr Odinga as the ‘people’s president’.

During the ceremony, Mr Kajwang’ donned a lawyers’ robe and wig and received a thunderous welcome by Nasa supporters.

As Mr Odinga took the “oath”, Mr Kajwang’ stood right behind him, although his role remained unclear.

Source: Daily Nation
 
Vp msando nae alistahl kifo????
Namzungumzia Rogo, ujue hata Tz kuna chizi mmoja alijiita sheikh Hassan ilunga alikuwa anafuata nyendo za Rogo alikuwa anahubiri chuki, uhasama, visasi na kuchochea vurugu.tafuta video zao weka hapa ndani uone hatari walizokuwa wanataka kuzileta.
 
Namzungumzia Rogo, ujue hata Tz kuna chizi mmoja alijiita sheikh Hassan ilunga alikuwa anafuata nyendo za Rogo alikuwa anahubiri chuki, uhasama, visasi na kuchochea vurugu.tafuta video zao weka hapa ndani uone hatari walizokuwa wanataka kuzileta.
Na mm s nmekuulza kuhusu msando pia
Au hutak mkuu niulze hlo??
 
Kwanza hoja yako nini hasa unachotaka kutuambia? labda una hoja embu funguka nijue nini unataka kusema.
 
Serekari ya Kenya imeanza kuchafua video yetu walivyo kaa kimya ilipendeza sana raisi kaapishwa kaenda ikulu nyumbani kwake si maigizo mazuri tu sasa iweje wanawakamta baada ya tukio wangezuia mapema
 
View attachment 688155



Mbunge wa Ruaraka, MP TJ Kajwang’, ambaye ndiye aliongoza tukio la kuapishwa kwa kiongozi wa NASA, Raila Odinga amekamatwa

Mbunge huyo amekamatwa leo na askari polisi waliokuwa hawana sare nje ya mahakama ya Milimanji Jijijni Nairobi
===================================================

Ruaraka, MP TJ Kajwang who led the “swearing-in” of Nasa leader Raila Odinga at Uhuru Park Tuesday has been arrested.

The MP was arrested Wednesday afternoon by plain clothes police officers outside the Milimani Law Courts in Nairobi.

He had just appeared before High Court judge George Odunga for a ruling in a case he is representing MPs who are challenging the reduction of their salaries and allowances.

Mr Kajwang’ and another lawyer, Miguna Miguna, were at the centre of events at Uhuru Park that culminated in the “swearing-in” of Mr Odinga as the ‘people’s president’.

During the ceremony, Mr Kajwang’ donned a lawyers’ robe and wig and received a thunderous welcome by Nasa supporters.

As Mr Odinga took the “oath”, Mr Kajwang’ stood right behind him, although his role remained unclear.

Source: Daily Nation
Wange mkamata odinga nae wafundishwe kufuata sheria
 
Namzungumzia Rogo, ujue hata Tz kuna chizi mmoja alijiita sheikh Hassan ilunga alikuwa anafuata nyendo za Rogo alikuwa anahubiri chuki, uhasama, visasi na kuchochea vurugu.tafuta video zao weka hapa ndani uone hatari walizokuwa wanataka kuzileta.
Bdo yupo anaendelea mkuu, au walimficha ndani?
 
Nimekupata ya Lissu ilikuwa ni akshen kwenye Bongo movie. Sikujua.
We unavyoona wangepewa kaz wale watu wenu walompeleka rogo kula bata na msando unafikir liss.a angepona na kuendelea kuongea pumba zake
 
Demokrasia ni kuachiwa huru watu wafanye mambo yao lakini baada ya kufanya inaweza ikabainika umefanya kosa kikatiba unaweza kushitakiwa.
Kufunga vyombo vya habar sio kuminya demokrasia
Kupiga mabom nyumba ya mpinzan na risas kedekede sio kuminy demokrasia??
 
Kwa mfano katiba imesema ufanye mkutano wa siasa lakini umepewa wakati maalum kumaliza ukizidisha unaweza kushitakiwa.
Katiba inasema fungia vyombo vya habar watu wasione rais odinga akiapishwa is that demokrasia???
 
Wange mkamata odinga nae wafundishwe kufuata sheria
walionyakua roho ya msando wameshajulikana?.
Hivi wale walomuua Chriss Msando wanameshajulikana
R.I.P Msando, wengi wanakukumbuka. File ya uchunguzi wa kifo cha Msando bado haijafungwa. Kama mna habari kuhusu kifo chake tafadhali fikeni kwenye Embassy ya Kenya. Ila kutumia jicho langu la tatu kuna mengi ambayo yaliyokuwa na utata kuhusu kifo chake. Serikali imuue kisha itupe mwili wake kule Kiambu, ngome ya chama tawala cha Jubilee. Kuna wale ambao walitumia kifo cha Musando, hata kabla azikwe kama agenda yao kuu kwenye kampeni zao. Ila Maulana ndo anajua yote!
 
Back
Top Bottom