Mbunge ampa mimba Wema Sepetu

Mbunge ampa mimba Wema Sepetu

Heshima ni kitu cha bure na sidhani kama umetumia hata akili ndg tuu kumdhihaki na kumdhalilisha binti wa watu kwa kumuita malaya na demu wa chama! Jiheshimu kuna namna ya kuchangia mada na si kudhalilisha watu
Mwigizaji Wema Sepetu ‘Madam’.
Mwandishi wetu

MJINI bwana! Habari nyingi huanzia kwenye mikeka, siku hizi wenyewe wamezimebatiza jina la ‘Ubuyu’ ambapo kwa sasa ishu kubwa inayozagaa mitaani ni mwigizaji Wema Sepetu ‘Madam’ kupachikwa mimba na mbunge maarufu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wa Bunge la 11 (jina kapuni kwa sasa), vyanzo vinasema.

Pitapita ya sikio la Gazeti la Ijumaa katika Jiji la Dar es Salaam, hivi karibuni ilikutana na Ubuyu huo kuwa mwigizaji huyo amenasa ujauzito wa mwanasiasa huyo ambaye ni kijana mwenye utajiri mkubwa anayetajwa kwa sasa kumiliki vilivyo penzi la Madam.
10954224_1534823986770647_1165745805_n.jpg

KUMBUKUMBU KABLA YA HABARI
Kwa muda mrefu, Wema amekuwa akihaha kusaka mtoto baada ya kupitia kwenye uhusiano na wanaume tofauti akiwemo Yusuph Jumbe, Steven Kanumba (marehemu), Nasibu Abdul ‘Diamond’ na CK (yule kigogo).

Akiwa kwenye uhusiano wa kimapenzi na wanaume hao kwa hesabu yake na nyakati tofauti, mara kadhaa msanii huyo maarufu amekuwa akikebehemiwa na mahasimu wake kuwa ni mgumba jambo ambalo limekuwa likimhuzunisha.

HABARI KAMILI
Ijumaa baada ya kuzinasa habari za ujauzito wa msanii huyo, lilijongea kwenye vyanzo vyake na kukutana na ushuhuda huu kutoka kwa rafiki wa karibu wa Wema ukisema: “Suala la mimba sijui lakini Wema na mheshimiwa wana uhusiano.
“Ukaribu wao ulianza wakati wa kampeni za uchaguzi mkuu (Wema alikuwa akimnadi mgombea urais wa CCM, John Magufuli), mpaka leo wanaendelea.”

MIMBA KABAAH!
Baada ya chanzo cha karibu na Wema kutoboa mfereji wa uhusiano na kuliacha suala la ujauzito kwenye sintofahamu, wachapakazi wa Ijumaa waligeuza masikio yao upande wa mheshimiwa mbunge ili kupata ubuyu mwingine ambapo suala la mimba lilitajwa waziwazi.
“Sitaki kunukuliwa ila mimi nimemsikia mheshimiwa akidokeza kuwa Wema ni mjamzito, kwangu mimi kama rafiki yake naona ni jambo jema, hiyo ndiyo kazi ya mwanaume kaka…hahahahaha!” Mmoja kati ya marafiki wa mbunge huyo alisema na kumalizia kwa kicheko.

WEMA NA MBUNGE FULL KICHEKO
Inaelezwa na vyanzo vyetu kuwa baada Wema na mbunge huyo kuwa wazazi watarajiwa wote kwa pamoja wamekuwa na furaha ya aina yake huku kila mmoja akimsisitiza mwenzake kuwa makini ili upepo mbaya usipite kati yao.

Aidha, katika hali inayoashiria kuwepo kwa kitu cha tofauti kwa msanii huyo aliyepata kuwa Miss Tanzania 2006, hivi karibuni aliandika kwenye akaunti ya Instagram kuwa anayo sapraizi ya nguvu kwa mashabiki wake.
Baadhi ya wadau wa masuala ya burudani wamehusisha sapraizi aliyoitangaza Wema na habari za ujauzito wake unaotarajiwa kumaliza kejeli juu yake kuwa yeye ni sawa na mti usiozaa kwamba hauna thamani.

MBUNGE NI TAJIRI MKUBWA
Mbali na umaarufu wa mbunge huyo timu ya Ijumaa ilijiridhisha kuwa mwanasiasa huyo ni tajiri anayemiliki migodi ya madini na kufanya biashara mbalimbali zikiwemo za usafirishaji mizigo na abiria anazofanya kupitia magari yake.
Kutokana na utajiri huo, habari zinadai kuwa mbunge huyo ndiye anayempa jeuri ya fedha Wema ambayo inamfanya aishi maisha ya ‘nyodo’ kama wasemavyo watoto wa mjini.
WEMA, MBUNGE WATAFUTWA
Katika kukamilisha weledi wa habari, gazeti hili lilimtafuta mbunge huyo kwa njia ya simu ili azungumzie ishu hiyo lakini hakuweza kupatikana hewani jambo ambalo limechangia kwa kiasi kikubwa jina lake kuhifadhiwa.

Kwa upande wa Wema naye hakuweza kupatikana kwa namba zake za simu sambamba na ile ambayo chanzo chetu kilisema ni mpya jambo linaloifanya habari hii kuwa na mwendelezo baada ya kujiridhisha kwa kupata kauli za pande zote mbili.

AUNT ANENA
Kama haitoshi gazeti hili lilimtafuta shosti wake wa karibu na Wema, Aunt Ezekiel ili naye afunguke kidogo juu ya madai ya ujazito wa rafiki yake ambapo mahojiano yalikuwa hivi:
Ijumaa: Mambo anti’ake?
Aunt: Safi cha umbea wangu, nipe mpya.

Ijumaa: Naona shosti yako Wema karudi ili umpe mafunzo ya kulea mimba, mpe hongera zake, kushika mimba ya mbunge si jambo dogo.
Aunt: Kwani kakuambia yeye mwenyewe? Kwanza niko naye hapa, anasema simu zako amekuwa anaziona lakini hataki kupokea.
Baada ya mazungumzo hayo ilisikika sauti ya Wema ikisema: “Tena mwambie ni ya miezi 6, tatizo nini?”

Chanzo: GPL



This is crazy, yaani mtu unapiga pumbu Wema bila kinga, jamani hii hatari kweli?
 
Hahahaa my dear,yani huko Insta nimekuta tag nyingi nikasema leo kuna moto huku,huyu madam si tunaambiwa ana mambo ya kizungu mbona kawa mswahili na vijembe anavyotoa sasa....
Na range nalo Hahaha Eeh ustar kazi kweli kweli,ngoja niongeze popcorn muvie ndio kwanza inaanza....

Yaani huko ni hatari maana na picha za siku ya bday anarusha kuonyeshea ka vile ni za jana leo hataki kurusha za mchana, kaomba pleti namba hatoi

Ni tucheke sura zetu zisizeeke

Ila watu wana maneno hadi uwa nabaki midomo wazi vichambo hivyo duh
 
Hivi huyu mdada ndo ngozi yake haiwezi tena kurudi ktk hali ya kawaida? manake mkorogo umemuharibu kabisa
 
Mwigizaji Wema Sepetu ‘Madam’.
Mwandishi wetu

MJINI bwana! Habari nyingi huanzia kwenye mikeka, siku hizi wenyewe wamezimebatiza jina la ‘Ubuyu’ ambapo kwa sasa ishu kubwa inayozagaa mitaani ni mwigizaji Wema Sepetu ‘Madam’ kupachikwa mimba na mbunge maarufu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wa Bunge la 11 (jina kapuni kwa sasa), vyanzo vinasema.

Pitapita ya sikio la Gazeti la Ijumaa katika Jiji la Dar es Salaam, hivi karibuni ilikutana na Ubuyu huo kuwa mwigizaji huyo amenasa ujauzito wa mwanasiasa huyo ambaye ni kijana mwenye utajiri mkubwa anayetajwa kwa sasa kumiliki vilivyo penzi la Madam.
10954224_1534823986770647_1165745805_n.jpg

KUMBUKUMBU KABLA YA HABARI
Kwa muda mrefu, Wema amekuwa akihaha kusaka mtoto baada ya kupitia kwenye uhusiano na wanaume tofauti akiwemo Yusuph Jumbe, Steven Kanumba (marehemu), Nasibu Abdul ‘Diamond’ na CK (yule kigogo).

Akiwa kwenye uhusiano wa kimapenzi na wanaume hao kwa hesabu yake na nyakati tofauti, mara kadhaa msanii huyo maarufu amekuwa akikebehemiwa na mahasimu wake kuwa ni mgumba jambo ambalo limekuwa likimhuzunisha.

HABARI KAMILI
Ijumaa baada ya kuzinasa habari za ujauzito wa msanii huyo, lilijongea kwenye vyanzo vyake na kukutana na ushuhuda huu kutoka kwa rafiki wa karibu wa Wema ukisema: “Suala la mimba sijui lakini Wema na mheshimiwa wana uhusiano.
“Ukaribu wao ulianza wakati wa kampeni za uchaguzi mkuu (Wema alikuwa akimnadi mgombea urais wa CCM, John Magufuli), mpaka leo wanaendelea.”

MIMBA KABAAH!
Baada ya chanzo cha karibu na Wema kutoboa mfereji wa uhusiano na kuliacha suala la ujauzito kwenye sintofahamu, wachapakazi wa Ijumaa waligeuza masikio yao upande wa mheshimiwa mbunge ili kupata ubuyu mwingine ambapo suala la mimba lilitajwa waziwazi.
“Sitaki kunukuliwa ila mimi nimemsikia mheshimiwa akidokeza kuwa Wema ni mjamzito, kwangu mimi kama rafiki yake naona ni jambo jema, hiyo ndiyo kazi ya mwanaume kaka…hahahahaha!” Mmoja kati ya marafiki wa mbunge huyo alisema na kumalizia kwa kicheko.

WEMA NA MBUNGE FULL KICHEKO
Inaelezwa na vyanzo vyetu kuwa baada Wema na mbunge huyo kuwa wazazi watarajiwa wote kwa pamoja wamekuwa na furaha ya aina yake huku kila mmoja akimsisitiza mwenzake kuwa makini ili upepo mbaya usipite kati yao.

Aidha, katika hali inayoashiria kuwepo kwa kitu cha tofauti kwa msanii huyo aliyepata kuwa Miss Tanzania 2006, hivi karibuni aliandika kwenye akaunti ya Instagram kuwa anayo sapraizi ya nguvu kwa mashabiki wake.
Baadhi ya wadau wa masuala ya burudani wamehusisha sapraizi aliyoitangaza Wema na habari za ujauzito wake unaotarajiwa kumaliza kejeli juu yake kuwa yeye ni sawa na mti usiozaa kwamba hauna thamani.

MBUNGE NI TAJIRI MKUBWA
Mbali na umaarufu wa mbunge huyo timu ya Ijumaa ilijiridhisha kuwa mwanasiasa huyo ni tajiri anayemiliki migodi ya madini na kufanya biashara mbalimbali zikiwemo za usafirishaji mizigo na abiria anazofanya kupitia magari yake.
Kutokana na utajiri huo, habari zinadai kuwa mbunge huyo ndiye anayempa jeuri ya fedha Wema ambayo inamfanya aishi maisha ya ‘nyodo’ kama wasemavyo watoto wa mjini.
WEMA, MBUNGE WATAFUTWA
Katika kukamilisha weledi wa habari, gazeti hili lilimtafuta mbunge huyo kwa njia ya simu ili azungumzie ishu hiyo lakini hakuweza kupatikana hewani jambo ambalo limechangia kwa kiasi kikubwa jina lake kuhifadhiwa.

Kwa upande wa Wema naye hakuweza kupatikana kwa namba zake za simu sambamba na ile ambayo chanzo chetu kilisema ni mpya jambo linaloifanya habari hii kuwa na mwendelezo baada ya kujiridhisha kwa kupata kauli za pande zote mbili.

AUNT ANENA
Kama haitoshi gazeti hili lilimtafuta shosti wake wa karibu na Wema, Aunt Ezekiel ili naye afunguke kidogo juu ya madai ya ujazito wa rafiki yake ambapo mahojiano yalikuwa hivi:
Ijumaa: Mambo anti’ake?
Aunt: Safi cha umbea wangu, nipe mpya.

Ijumaa: Naona shosti yako Wema karudi ili umpe mafunzo ya kulea mimba, mpe hongera zake, kushika mimba ya mbunge si jambo dogo.
Aunt: Kwani kakuambia yeye mwenyewe? Kwanza niko naye hapa, anasema simu zako amekuwa anaziona lakini hataki kupokea.
Baada ya mazungumzo hayo ilisikika sauti ya Wema ikisema: “Tena mwambie ni ya miezi 6, tatizo nini?”

Chanzo: GPL
mbunge atakua ni ZZK
 
Mwigizaji Wema Sepetu ‘Madam’.
Mwandishi wetu

MJINI bwana! Habari nyingi huanzia kwenye mikeka, siku hizi wenyewe wamezimebatiza jina la ‘Ubuyu’ ambapo kwa sasa ishu kubwa inayozagaa mitaani ni mwigizaji Wema Sepetu ‘Madam’ kupachikwa mimba na mbunge maarufu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wa Bunge la 11 (jina kapuni kwa sasa), vyanzo vinasema.

Pitapita ya sikio la Gazeti la Ijumaa katika Jiji la Dar es Salaam, hivi karibuni ilikutana na Ubuyu huo kuwa mwigizaji huyo amenasa ujauzito wa mwanasiasa huyo ambaye ni kijana mwenye utajiri mkubwa anayetajwa kwa sasa kumiliki vilivyo penzi la Madam.
10954224_1534823986770647_1165745805_n.jpg

KUMBUKUMBU KABLA YA HABARI
Kwa muda mrefu, Wema amekuwa akihaha kusaka mtoto baada ya kupitia kwenye uhusiano na wanaume tofauti akiwemo Yusuph Jumbe, Steven Kanumba (marehemu), Nasibu Abdul ‘Diamond’ na CK (yule kigogo).

Akiwa kwenye uhusiano wa kimapenzi na wanaume hao kwa hesabu yake na nyakati tofauti, mara kadhaa msanii huyo maarufu amekuwa akikebehemiwa na mahasimu wake kuwa ni mgumba jambo ambalo limekuwa likimhuzunisha.

HABARI KAMILI
Ijumaa baada ya kuzinasa habari za ujauzito wa msanii huyo, lilijongea kwenye vyanzo vyake na kukutana na ushuhuda huu kutoka kwa rafiki wa karibu wa Wema ukisema: “Suala la mimba sijui lakini Wema na mheshimiwa wana uhusiano.
“Ukaribu wao ulianza wakati wa kampeni za uchaguzi mkuu (Wema alikuwa akimnadi mgombea urais wa CCM, John Magufuli), mpaka leo wanaendelea.”

MIMBA KABAAH!
Baada ya chanzo cha karibu na Wema kutoboa mfereji wa uhusiano na kuliacha suala la ujauzito kwenye sintofahamu, wachapakazi wa Ijumaa waligeuza masikio yao upande wa mheshimiwa mbunge ili kupata ubuyu mwingine ambapo suala la mimba lilitajwa waziwazi.
“Sitaki kunukuliwa ila mimi nimemsikia mheshimiwa akidokeza kuwa Wema ni mjamzito, kwangu mimi kama rafiki yake naona ni jambo jema, hiyo ndiyo kazi ya mwanaume kaka…hahahahaha!” Mmoja kati ya marafiki wa mbunge huyo alisema na kumalizia kwa kicheko.

WEMA NA MBUNGE FULL KICHEKO
Inaelezwa na vyanzo vyetu kuwa baada Wema na mbunge huyo kuwa wazazi watarajiwa wote kwa pamoja wamekuwa na furaha ya aina yake huku kila mmoja akimsisitiza mwenzake kuwa makini ili upepo mbaya usipite kati yao.

Aidha, katika hali inayoashiria kuwepo kwa kitu cha tofauti kwa msanii huyo aliyepata kuwa Miss Tanzania 2006, hivi karibuni aliandika kwenye akaunti ya Instagram kuwa anayo sapraizi ya nguvu kwa mashabiki wake.
Baadhi ya wadau wa masuala ya burudani wamehusisha sapraizi aliyoitangaza Wema na habari za ujauzito wake unaotarajiwa kumaliza kejeli juu yake kuwa yeye ni sawa na mti usiozaa kwamba hauna thamani.

MBUNGE NI TAJIRI MKUBWA
Mbali na umaarufu wa mbunge huyo timu ya Ijumaa ilijiridhisha kuwa mwanasiasa huyo ni tajiri anayemiliki migodi ya madini na kufanya biashara mbalimbali zikiwemo za usafirishaji mizigo na abiria anazofanya kupitia magari yake.
Kutokana na utajiri huo, habari zinadai kuwa mbunge huyo ndiye anayempa jeuri ya fedha Wema ambayo inamfanya aishi maisha ya ‘nyodo’ kama wasemavyo watoto wa mjini.
WEMA, MBUNGE WATAFUTWA
Katika kukamilisha weledi wa habari, gazeti hili lilimtafuta mbunge huyo kwa njia ya simu ili azungumzie ishu hiyo lakini hakuweza kupatikana hewani jambo ambalo limechangia kwa kiasi kikubwa jina lake kuhifadhiwa.

Kwa upande wa Wema naye hakuweza kupatikana kwa namba zake za simu sambamba na ile ambayo chanzo chetu kilisema ni mpya jambo linaloifanya habari hii kuwa na mwendelezo baada ya kujiridhisha kwa kupata kauli za pande zote mbili.

AUNT ANENA
Kama haitoshi gazeti hili lilimtafuta shosti wake wa karibu na Wema, Aunt Ezekiel ili naye afunguke kidogo juu ya madai ya ujazito wa rafiki yake ambapo mahojiano yalikuwa hivi:
Ijumaa: Mambo anti’ake?
Aunt: Safi cha umbea wangu, nipe mpya.

Ijumaa: Naona shosti yako Wema karudi ili umpe mafunzo ya kulea mimba, mpe hongera zake, kushika mimba ya mbunge si jambo dogo.
Aunt: Kwani kakuambia yeye mwenyewe? Kwanza niko naye hapa, anasema simu zako amekuwa anaziona lakini hataki kupokea.
Baada ya mazungumzo hayo ilisikika sauti ya Wema ikisema: “Tena mwambie ni ya miezi 6, tatizo nini?”

Chanzo: GPL
49% INAHUSIKA HAPA
 
Uwe na uhakika na ushahidi tu wa hiyo story

Then nenda Bamaga onana na yule mhariri mkuu..nimemsahau jina lake....
Oscar Ndauka ukitaka no take ya simuu usijali nunua ijumaa au risasi..angaliaa chombeza story jina la irene mwamfupe ndauka ni mkewe ila no.ni iyoo Oscar or anjelus....hadithi hutungaa yeye anamwandika mkewe..unaambiwaa jamaa akikutizama tu ivi anakutungua story..hana sehemu an a copy story hutype mwendelezo toka kichwanii kama hutaki kula ndimuuu
 
Wema anatafta kick tu hapo hana lolote, nshamchoka na story zake feki...
 
Back
Top Bottom