Mbunge ampa mimba Wema Sepetu

Heshima ni kitu cha bure na sidhani kama umetumia hata akili ndg tuu kumdhihaki na kumdhalilisha binti wa watu kwa kumuita malaya na demu wa chama! Jiheshimu kuna namna ya kuchangia mada na si kudhalilisha watu



This is crazy, yaani mtu unapiga pumbu Wema bila kinga, jamani hii hatari kweli?
 

Yaani huko ni hatari maana na picha za siku ya bday anarusha kuonyeshea ka vile ni za jana leo hataki kurusha za mchana, kaomba pleti namba hatoi

Ni tucheke sura zetu zisizeeke

Ila watu wana maneno hadi uwa nabaki midomo wazi vichambo hivyo duh
 
Hivi huyu mdada ndo ngozi yake haiwezi tena kurudi ktk hali ya kawaida? manake mkorogo umemuharibu kabisa
 
mbunge atakua ni ZZK
 
49% INAHUSIKA HAPA
 
Uwe na uhakika na ushahidi tu wa hiyo story

Then nenda Bamaga onana na yule mhariri mkuu..nimemsahau jina lake....
Oscar Ndauka ukitaka no take ya simuu usijali nunua ijumaa au risasi..angaliaa chombeza story jina la irene mwamfupe ndauka ni mkewe ila no.ni iyoo Oscar or anjelus....hadithi hutungaa yeye anamwandika mkewe..unaambiwaa jamaa akikutizama tu ivi anakutungua story..hana sehemu an a copy story hutype mwendelezo toka kichwanii kama hutaki kula ndimuuu
 
Wema anatafta kick tu hapo hana lolote, nshamchoka na story zake feki...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…