ifike wakati twendeni dodoma tuwatoa wabunge halafu tupige lock geti. hawana faida
Justification yako ni clueless.. Nje ya maada!Acha roho ya kimaskini, watu hatuwezi kufanana! Dunia nzima hakuna jamii ambayo watu wanafanana, na hiyo tofauti yetu ndiyo inafanya maisha yasonge mbele! Wewe ukipewa hizo hela utakataa? Watz bwana, ndiyo maana mnafurahia kuitwa wanyonge
Unataka watu wote tulingane kila kitu? What about watu wenye profession sawa, but sababu mmoja yupo TRA, NSSf but mwingine yupo Halmashauri or Wizarani basi kunakuwa na tofauti sana ya kipato? Hatuwezi kulingana mzee, never, na haitokuja kutokea. Gape la kipato will always be thereJustification yako ni clueless.. Nje ya maada!
Labda kama nawe ni Mbunge et al..
Tofauti ni kuwa hizi ni pesa za walipa kodi wote wa nchi hii, wakati huo hakuka chochote wanachokifanya kumpigania huyo mlipa kodi. Matumizi ya kodi lazima yahojiwe na walipa kodi.Acha roho ya kimaskini, watu hatuwezi kufanana! Dunia nzima hakuna jamii ambayo watu wanafanana, na hiyo tofauti yetu ndiyo inafanya maisha yasonge mbele! Wewe ukipewa hizo hela utakataa? Watz bwana, ndiyo maana mnafurahia kuitwa wanyonge
Acha roho ya kimaskini, watu hatuwezi kufanana! Dunia nzima hakuna jamii ambayo watu wanafanana, na hiyo tofauti yetu ndiyo inafanya maisha yasonge mbele! Wewe ukipewa hizo hela utakataa? Watz bwana, ndiyo maana mnafurahia kuitwa wanyonge
Ndiyo maana nimesema upo nje ya maada!!Un
Unataka watu wote tulingane kila kitu? What about watu wenye profession sawa, but sababu mmoja yupo TRA, NSSf but mwingine yupo Halmashauri or Wizarani basi kunakuwa na tofauti sana ya kipato? Hatuwezi kulingana mzee, never, na haitokuja kutokea. Gape la kipato will always be there
Hatutaki Watu wote tulingane,lakini walipe Kodi stahikiUn
Unataka watu wote tulingane kila kitu? What about watu wenye profession sawa, but sababu mmoja yupo TRA, NSSf but mwingine yupo Halmashauri or Wizarani basi kunakuwa na tofauti sana ya kipato? Hatuwezi kulingana mzee, never, na haitokuja kutokea. Gape la kipato will always be there
Nimeshangaa sana comment ya ovyo kabisa ni nje ya mada kabisaJustification yako ni clueless.. Nje ya maada!
Labda kama nawe ni Mbunge et al..
Hii nini tena kwenye uzi huu??[emoji15][emoji15][emoji34][emoji34][emoji34][emoji34][emoji34]Asante hayati rais Magufuli kwa kutuachia wosia wa kuacha hofu na kumtegemea Mungu kwa kila jambo.
Kimbunga Jobo na Corona wamekiona cha mtema kuni Tanzania.
Definitely uko sahihi kiongoziWakati mwingine unaweza ukajiuliza kwamba hivi huyu mtoa hoja anatatizo gani? Amelewa,dishi limeyumba au chupa inapoza kabisa. Kabla hawajaingia kwenye jengo hilo wangepimwa ulevi na utimamu wa akili
Inaumiza Sana mkuu Dumas the terrible sijui hawa nguchilo wanatuchukuliaje watanzaniaNimeandika nikafuta
Nimeandika tena nikafuta
Shikamooo mods
Ile ban ya wiki iliyopita ilinitia hasira sana,ila kwa hili mtanisamehe
Hivi hili bunge la bwana Ndu guy
Na hilo genge lake la CCM
Wanatuona sie wananchi makenge?
Yaani kuna mambo yanatia hasira sana sana sana hii nchi hii hii nchi hii
Anyway
Malofa!
B.W Mkapa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mkuu sijawahi kuona faida ya wabunge, mas*nge tu.ifike wakati twendeni dodoma tuwatoa wabunge halafu tupige lock geti. hawana faida
Watupwe bahariniPendekeza wafanyweje