ifike wakati twendeni dodoma tuwatoa wabunge halafu tupige lock geti. hawana faida
Ngoja tumalizane na mzee Jobo kwanza, baada ya hapo tuelezane ya:
1. Audit ya CAG zikiwamo BOT, TPA na tanroads.
2. Ripoti Tume ya Corona.
3. Uhalali wa wanyonyaji wasiolipa kodi ndani ya nchi.
Tutaelewana tu.