Mbunge anataka uwazi kwenye ajira Bila kutafakari mfumo wa uwazi katika Teuzi za Rais?

Mbunge anataka uwazi kwenye ajira Bila kutafakari mfumo wa uwazi katika Teuzi za Rais?

Resilience

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2023
Posts
1,096
Reaction score
4,948
Usiri uliopo kwenye ajira Tanzania unatokana na usiri uliopo katika mfumo wa uteuzi. Kama wakubwa wanapatikana Bila kuwepo mfumo rasmi basi hata wadogo nao watapatikana Kwa usiri mkubwa.

Kama tunataka uwazi katika ajira na kama tunataka ajira ziwe by merits basi tumshauri Mhe. Rais afanye uteuzi baada ya kuwepo mchakato WA wazi wakufikia ngazi ya uteuzi. Watu waombe kuwa viongozi Kwa vigezo, wafanyiwe live interview na mwisho watakaoingia Tatu Bora basi abaki na jukumu la kuchagua miongoni mwao.

Ukiwepo mfumo wa compitation katika ajira za juu basi watakaokabidhowa Ofisi ili wafanikiwe watatafuta cream yakufanya nayo KAZI na hivyo wataweka vigezo vitakavyopeleekea kupatikana MTU sahihi.

Tusimpomshauri Rais abadili katiba na sheria bado ajira zitaendelea kubaki kuwa zakufahamiana. Tanzania hakuna mfumo wa ajira ndio maana unapelekea hardcopy, unaandika barua Kwa mkono wako, NK means wapo watu wanaopokea na kuchambua na hapo Ndipo ubaguzi ulipo
 
Nchi hii mifumo ya ajira imeshikiliwa na makada wenye mamlaka ndani ya CCM. Hawa ndiyo huamua nani awe nani na sehemu gani. Suala la "merits" wala hawalijali, kwao cha msingi ni kutengeza mfumo wa kifisadi wenye maslahi kwao na katika chama chao.
 
Usiri uliopo kwenye ajira Tanzania unatokana na usiri uliopo katika mfumo wa uteuzi. Kama wakubwa wanapatikana Bila kuwepo mfumo rasmi basi hata wadogo nao watapatikana Kwa usiri mkubwa.

Kama tunataka uwazi katika ajira na kama tunataka ajira ziwe by merits basi tumshauri Mhe. Rais afanye uteuzi baada ya kuwepo mchakato WA wazi wakufikia ngazi ya uteuzi. Watu waombe kuwa viongozi Kwa vigezo, wafanyiwe live interview na mwisho watakaoingia Tatu Bora basi abaki na jukumu la kuchagua miongoni mwao.

Ukiwepo mfumo wa compitation katika ajira za juu basi watakaokabidhowa Ofisi ili wafanikiwe watatafuta cream yakufanya nayo KAZI na hivyo wataweka vigezo vitakavyopeleekea kupatikana MTU sahihi.

Tusimpomshauri Rais abadili katiba na sheria bado ajira zitaendelea kubaki kuwa zakufahamiana. Tanzania hakuna mfumo wa ajira ndio maana unapelekea hardcopy, unaandika barua Kwa mkono wako, NK means wapo watu wanaopokea na kuchambua na hapo Ndipo ubaguzi ulipo
Yaani unashauri The Green Mamba waache kula Nyama bali wale majani!!
Bila kuliondoa hili kokolo Tanzania itaendelea Sleeping Giant!
 
Usiri uliopo kwenye ajira Tanzania unatokana na usiri uliopo katika mfumo wa uteuzi. Kama wakubwa wanapatikana Bila kuwepo mfumo rasmi basi hata wadogo nao watapatikana Kwa usiri mkubwa.

Kama tunataka uwazi katika ajira na kama tunataka ajira ziwe by merits basi tumshauri Mhe. Rais afanye uteuzi baada ya kuwepo mchakato WA wazi wakufikia ngazi ya uteuzi. Watu waombe kuwa viongozi Kwa vigezo, wafanyiwe live interview na mwisho watakaoingia Tatu Bora basi abaki na jukumu la kuchagua miongoni mwao.

Ukiwepo mfumo wa compitation katika ajira za juu basi watakaokabidhowa Ofisi ili wafanikiwe watatafuta cream yakufanya nayo KAZI na hivyo wataweka vigezo vitakavyopeleekea kupatikana MTU sahihi.

Tusimpomshauri Rais abadili katiba na sheria bado ajira zitaendelea kubaki kuwa zakufahamiana. Tanzania hakuna mfumo wa ajira ndio maana unapelekea hardcopy, unaandika barua Kwa mkono wako, NK means wapo watu wanaopokea na kuchambua na hapo Ndipo ubaguzi ulipo
Upo tayari kwa Katiba Mpya?
 
Nchi hii mifumo ya ajira imeshikiliwa na makada wenye mamlaka ndani ya CCM. Hawa ndiyo huamua nani awe nani na sehemu gani. Suala la "merits" wala hawalijali, kwao cha msingi ni kutengeza mfumo wa kifisadi wenye maslahi kwao na katika chama chao.
Umemaliza kila kitu
 
Upo sahihi. Uozo unaanzia juu kabisa.

Nafasi za ukuu wa wilaya 98% UVCCM tuu halafu unataka huku chini wawe waadilifu.

Wateuliwa kutokana na itikadi fulani isngekua shida sana kama wangekua well qualified na wakipewa hizo kazi wanaonyesha competency na maturity! Ila pata picha vijana wetu wanaoteuliwa sasa… wakina “unanijua mimi ni nani”[emoji3]
 
Katika mazingira ambayo wakurugenzi wengi wa halmashauri ni watu waliokataliwa na wapiga Kura au kukataliwa kwenye kura za maoni tusitegemee miujiza.

Tunapaswa kutafakari mfumo wa siasa na ajira Kwa upana
 
Usiri uliopo kwenye ajira Tanzania unatokana na usiri uliopo katika mfumo wa uteuzi. Kama wakubwa wanapatikana Bila kuwepo mfumo rasmi basi hata wadogo nao watapatikana Kwa usiri mkubwa.

Kama tunataka uwazi katika ajira na kama tunataka ajira ziwe by merits basi tumshauri Mhe. Rais afanye uteuzi baada ya kuwepo mchakato WA wazi wakufikia ngazi ya uteuzi. Watu waombe kuwa viongozi Kwa vigezo, wafanyiwe live interview na mwisho watakaoingia Tatu Bora basi abaki na jukumu la kuchagua miongoni mwao.

Ukiwepo mfumo wa compitation katika ajira za juu basi watakaokabidhowa Ofisi ili wafanikiwe watatafuta cream yakufanya nayo KAZI na hivyo wataweka vigezo vitakavyopeleekea kupatikana MTU sahihi.

Tusimpomshauri Rais abadili katiba na sheria bado ajira zitaendelea kubaki kuwa zakufahamiana. Tanzania hakuna mfumo wa ajira ndio maana unapelekea hardcopy, unaandika barua Kwa mkono wako, NK means wapo watu wanaopokea na kuchambua na hapo Ndipo ubaguzi ulipo
Yeye mwwnyewe kapatikana kwa uwazi? Maana asiwe mnafiki.
 
Usiri uliopo kwenye ajira Tanzania unatokana na usiri uliopo katika mfumo wa uteuzi. Kama wakubwa wanapatikana Bila kuwepo mfumo rasmi basi hata wadogo nao watapatikana Kwa usiri mkubwa.

Kama tunataka uwazi katika ajira na kama tunataka ajira ziwe by merits basi tumshauri Mhe. Rais afanye uteuzi baada ya kuwepo mchakato WA wazi wakufikia ngazi ya uteuzi. Watu waombe kuwa viongozi Kwa vigezo, wafanyiwe live interview na mwisho watakaoingia Tatu Bora basi abaki na jukumu la kuchagua miongoni mwao.

Ukiwepo mfumo wa compitation katika ajira za juu basi watakaokabidhowa Ofisi ili wafanikiwe watatafuta cream yakufanya nayo KAZI na hivyo wataweka vigezo vitakavyopeleekea kupatikana MTU sahihi.

Tusimpomshauri Rais abadili katiba na sheria bado ajira zitaendelea kubaki kuwa zakufahamiana. Tanzania hakuna mfumo wa ajira ndio maana unapelekea hardcopy, unaandika barua Kwa mkono wako, NK means wapo watu wanaopokea na kuchambua na hapo Ndipo ubaguzi ulipo
True mfano marope na nepi huwa uwaziri walipATA KWA KU UNDUGU
 
Back
Top Bottom