Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,108
- 10,191
Mbunge wa Viti Maalum, Judith Kapinga amesema watu wanaofariki na kuacha fedha kwenye mitandao kama Tigo pesa, M-Pesa, Airtel Money nk wanazinufaisha kampuni za simu huku serikali ikiwa haipati kitu.
Ameishauri serikali iweke utaratibu ili ndugu wa karibu waweze kudai fedha hizo na serikali kunufaika kwa upande mwingine ili mitandao ya simu isinufaike peke yao kutokana na fedha nyingi ambazo waliofariki huziacha.
Ameishauri serikali iweke utaratibu ili ndugu wa karibu waweze kudai fedha hizo na serikali kunufaika kwa upande mwingine ili mitandao ya simu isinufaike peke yao kutokana na fedha nyingi ambazo waliofariki huziacha.