MURUSI JF-Expert Member Joined Jun 25, 2013 Posts 4,537 Reaction score 8,824 Jun 21, 2021 #21 FRANCIS DA DON said: Hili la muhimu sana, kwanza huwa wanadanganya kwa kusema line haina pesa Click to expand... Ukitaka ndugu warith pesa zako tunza Bank
FRANCIS DA DON said: Hili la muhimu sana, kwanza huwa wanadanganya kwa kusema line haina pesa Click to expand... Ukitaka ndugu warith pesa zako tunza Bank
tamuuuuu JF-Expert Member Joined Mar 10, 2014 Posts 21,329 Reaction score 28,063 Jun 21, 2021 #22 Vipi kwenye vikoba huko nako?unakuta mtu hajaoa wala kuolewa na alikuwa mwanachama kwny kikoba.
FRANCIS DA DON JF-Expert Member Joined Sep 4, 2013 Posts 38,920 Reaction score 44,970 Jun 21, 2021 #23 MURUSI said: Ukitaka ndugu warith pesa zako tunza Bank Click to expand... Hata bank baadhi ya watumishi wasio waadilifu wanamichezo michafu pia ya kushusha amount
MURUSI said: Ukitaka ndugu warith pesa zako tunza Bank Click to expand... Hata bank baadhi ya watumishi wasio waadilifu wanamichezo michafu pia ya kushusha amount