SIPENDI SIASA
JF-Expert Member
- Dec 28, 2024
- 791
- 1,199
- Thread starter
- #41
Umefafanua vema. Thanks..Sawa, lakini hata Waziri Mkuu anachaguliwa na watu wa jimbo lake tu, lakini anakuwa Waziri Mkuu wa nchi nzima kwa msingi wa kuwa mbunge aliyechaguliwa na watu wa jimbo lake tu. At least in theory.
Point ni kwamba angalau amepitia kizingiti cha kuchagukiwa na wananchi kuwa mbunge.
Mtu wa kuteuliwa tu anaweza kuwa hajapitia kizingiti cha kuchagukiwa hata na mtu mmoja.