Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Hilo jina la pili sasa, Ni Jesca Msambwa...Mbunge wa Iringa Mjinga , Mh Jesca Msambatavangu amewaponda wote wanaompiga majungu kwamba hajaolewa .
Akizungumza kwa jazba bungeni leo , Mbunge huyo amedai kwamba jambo kubwa linalopaswa kuangaliwa ni hoja zake bila kujali kama ameolewa au la
View attachment 2889716
Atoe hendo ya mumewe kwenye insta na tweeter.Mbunge wa Iringa Mjinga , Mh Jesca Msambatavangu amewaponda wote wanaompiga majungu kwamba hajaolewa .
Akizungumza kwa jazba bungeni leo , Mbunge huyo amedai kwamba jambo kubwa linalopaswa kuangaliwa ni hoja zake bila kujali kama ameolewa au la
View attachment 2889716
Mme wake ni mh Luvanda 🐼Hilo jina la pili sasa, Ni Jesca Msambwa...
Kamuoe basi wewe umfichie aibu,Aibu Sana 🐼
Kamuoeaibu kubwa sana hii
Nenda ukamuoe wewe sasa, unasubiri nini?Usikute hata hawajamsema kajishtukia mwenyewe
Kamuoe umuondolee huo ustupid fullStupid fool.
Kamuoe weweBunge la wapumbavu chawa wa mwendazake.
Nani aoe nungayembe hilo lililokwishafutwa kodi.Kamuoe
Njoo nikuoe weweNenda ukamuoe wewe sasa, unasubiri nini?
Matendo gani? Umeficha kapuniAtoe hendo ya mumewe kwenye insta na tweeter.
Watu wansema hivyo kutokana na matendo yake.