Faana
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 38,657
- 44,759
Upo sahihi kabisaUsikute hata hawajamsema kajishtukia mwenyewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Upo sahihi kabisaUsikute hata hawajamsema kajishtukia mwenyewe
😆😆😆Mada pendwa bungeni hapo
Hoja za mpina hawazitaki
Ova
Huyo kaolewa na Luvanda kitambo SanaKamuoe basi wewe umfichie aibu,
Imeandikwa na Isaya
Kuna kipindi kitafika wanawake 7 watamfuata Mwanaume mmoja alafu watakwambia tutakufanyia kila kitu Ila tu utufichie aibu hii
Wewe si umeona hajasemwa kajisemesha basi kamuoeSasa kwanini uniambie nikamuoe kama wewe siyo kuwadi wake
Hio nafaka ya mashine ndio nini?Nimekukoti wewe Au na wewe ni nafaka yake?
Duuuh umesema kuna nini kinaendelea?Huyo kaolewa na Luvanda kitambo Sana
Kinachoendelea sasa ni Friends of Lowasa kutoka mafichoni hilo ni trela tu Picha kamili yaja 🐼
Kumbe maza ni msagaji !!Nimekukoti wewe Au na wewe ni nafaka yake?
Huyo Luvanda yuko wapi , na kwanini Jesca asimtaje ila Umtaje wewe ?Huyo kaolewa na Luvanda kitambo Sana
Kinachoendelea sasa ni Friends of Lowasa kutoka mafichoni hilo ni trela tu Picha kamili yaja 🐼
Umeshapanic 😂Huyo Luvanda yuko wapi , na kwanini Jesca asimtaje ila Umtaje wewe ?
Hakuna bunge hapoMbunge wa Iringa Mjinga , Mh Jesca Msambatavangu amewaponda wote wanaompiga majungu kwamba hajaolewa .
Akizungumza kwa jazba bungeni leo , Mbunge huyo amedai kwamba jambo kubwa linalopaswa kuangaliwa ni hoja zake bila kujali kama ameolewa au la
Ikumbukwe kwa Mh Msambatavangu ndiye mbunge pekee anayehamasisha nguvu za kiume kwa vijana bungeni
View attachment 2889716
SijuiHio nafaka ya mashine ndio nini?
Sawa mkuuSijui
stupid kusanyiko la wajingaMbunge wa Iringa Mjinga , Mh Jesca Msambatavangu amewaponda wote wanaompiga majungu kwamba hajaolewa .
Akizungumza kwa jazba bungeni leo , Mbunge huyo amedai kwamba jambo kubwa linalopaswa kuangaliwa ni hoja zake bila kujali kama ameolewa au la
Ikumbukwe kwa Mh Msambatavangu ndiye mbunge pekee anayehamasisha nguvu za kiume kwa vijana bungeni
View attachment 2889716
Wapeni wanawake mahari yao kuwa ni kipawa, tunza iliyo safi. Na nyinyi hamna haki yoyote katika hayo mahari. Ikiwa hao wanawake kwa radhi ya nafsi zao wenyewe wakakubali kusamehe sehemu yoyote ya mahari mliyo kwisha ahadiana, basi hapo mnayo ruhusa kuchukua na mkatumia kwa kheri na salama. Quran tukufuWabunge wanaume wanamkimbia kwa kuogopa gharama za hela ya sabuni.
Kwahiyo ukiona mtu hajasemwa kuhusu kuolewa ndo unatakiwa umuoe?Wewe si umeona hajasemwa kajisemesha basi kamuoe
Hata Mbowe nae kaweka wasagaji ndani ya bunge aibu kubwa sana hii.Magufuli alituweza kweli kutujazia vilaza na makahaba ndani ya Bunge,aibu kubwa sana hii
Ndio wewe umuoe sasa, au unasemaje?Kwahiyo ukiona mtu hajasemwa kuhusu kuolewa ndo unatakiwa umuoe?
Yule mshenzi alituweza kweli kweli. Alijaza mijitu mijinga mijinga kama yeye bunge lote.Magufuli alituweza kweli kutujazia vilaza na makahaba ndani ya Bunge,aibu kubwa sana hii
HajanivutiaNdio wewe umuoe sasa, au unasemaje?